Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Kuna watu huwa wanasema haitaweza kufa,Hahaha..... tatizo siyo Chadema bwashee
Hizi kumbukumbu zitabaki milele lakini Chadema inaweza Kufa
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu huwa wanasema haitaweza kufa,Hahaha..... tatizo siyo Chadema bwashee
Hizi kumbukumbu zitabaki milele lakini Chadema inaweza Kufa
Tatizo lipo kwa hawara wa mwenyekiti yule mama Joyce Mukya. Ndo anafosi baby wake amuondoe Mdee ili yeye apate nafasi.Niwaonavyo hawa makamanda bado ni loyal kwa CDM na wanaendelea kuwa na mapenzi na chama chao. Shida pekee iliyopo ni kwamba wana tofauti za kimtazamo na top brass ya CDM.
Vikao vya maamuzi vya vyama yetu vya kisiasa huwa ni rubber stamp tu ya kurasimisha decisions za wenyeviti. Yeyote anayekosana na mwenyekiti huwa hasilimiki. Historia imesheheni mifano mingi ya hao wahanga. Sasa hivi Ayatollah Mbowe akiachia kiti, akakichukua mtu mwingine ambaye hana mtazamo tofauti na kina Mdee, utashangaa wajumbe wa CC na BK watakavyobadili gia angani. Wanaweza kutangaza msamaha usiokuwa na masharti yoyote kwa Mdee na wenzake.
Wenyeviti wa vyama vya siasa waache selfishness na kuweka maslahi ya vyama vyao mbele. Hulka zao za dictatorship hazina manufaa yoyote kwa vyama vyao.
Hilo jina unajiita halafu unakuwa mjinga wa kiwango hiki ni kumdhalilisha mwenye jinaTatizo lipo kwa hawara wa mwenyekiti yule mama Joyce Mukya. Ndo anafosi baby wake amuondoe Mdee ili yeye apate nafasi.
Ajidhaniaye amesimama na angalie asianguke. Usije ukawa wewe ndiye umeshajikojolea..!!Amka kutoka usingizini acha kuota utajikojolea
Kwa hiyo hoja yako ni nini?Maridhiano makubwa yameshafanyika, chadema hawataki vile viti na hata kama wakitolewa still hawatapeleka watu wengine
Ni kama swala la ruzuku Tu mpaka Leo hawataki Kwa sababu zao binafsi
Viongozi wakuu wamefaidika na maridhiano ya kwao Kwa manufaa yao
Lisu kalipwa pesa zake mbowe nae biashara zake zimefunguliwa vizuri
Umeandika ujinga mtupuHawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Tukutane 2025 😂😂
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Wale ni wabunge wa CHADEMA mzee😁Ni wabunge wa CCM wanaotumia mwavuli wa Chadema.
SawaUmeandika ujinga mtupu
Chadema wametimiza wajibu wao, nao ni kuwafukuza uanachama basi. Kazi ya kuwatoa bungeni ni ya mamlaka nyingine. Aliyewaingiza bungeni (serikali) ndio yenye jukumu la kuwatoa. Ningeweza kushawishika kuwa Chadema walihusika na kuwaingiza bungeni lakini serikali ilichemka Sana ilipojisahau na kumuingiza mtu aliyekuwa jela Nusrat, bungeni. Chadema hawana ubavu wa kumtoa mtu jela tena usiku. Tena kipindi cha Magu siyo Kweli. Ninashauri Chadema waendelee kufuatilia jambo hili huko mahakamani hata hivyo wategemee maamuzi tofauti. Serikali/ccm inawataka wabunge wa upinzani kwa maslahi yao na hawaiamini Chadema kama itakubali kuleta majina mapya bungeni, na ikikataa ni kuendeleza msimamo kuwa hakukuwa na uchaguzi huru 2020, hali itakayosababisha kukosa baadhi ya misaada au kukosa kuungwa mkono kwa serikali ya Samia na wadau wa demokrasia duniani kitu wanachokihitaji mno hasa awamu hii.
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Haya mawazo ya ajabu sijui umeyatoa wapi.Niwaonavyo hawa makamanda bado ni loyal kwa CDM na wanaendelea kuwa na mapenzi na chama chao. Shida pekee iliyopo ni kwamba wana tofauti za kimtazamo na top brass ya CDM.
Vikao vya maamuzi vya vyama yetu vya kisiasa huwa ni rubber stamp tu ya kurasimisha decisions za wenyeviti. Yeyote anayekosana na mwenyekiti huwa hasilimiki. Historia imesheheni mifano mingi ya hao wahanga. Sasa hivi Ayatollah Mbowe akiachia kiti, akakichukua mtu mwingine ambaye hana mtazamo tofauti na kina Mdee, utashangaa wajumbe wa CC na BK watakavyobadili gia angani. Wanaweza kutangaza msamaha usiokuwa na masharti yoyote kwa Mdee na wenzake.
Wenyeviti wa vyama vya siasa waache selfishness na kuweka maslahi ya vyama vyao mbele. Hulka zao za dictatorship hazina manufaa yoyote kwa vyama vyao.
Kwa hiyo hoja yako ni nini?
Yaani wenzio wamepata walivyokuwa wameibiwa halafu wewe unalalama "kwanini wamepata!!??". You must be very stupid..!!
Na kwani wamepata vya kuhongwa au haki na mali ya jasho lako?
Wamechukua vya kwao walivyokuwa wamenyang'anywa kwa nguvu na kwa hila na huyo SUKUMA GANG mwenzetu mwendazake Jiwe..
HAYA NDIYO MAAJABU NDANI YA TAIFA HILI, HAWA WATU CHAMA CHAO KIMESHAWAVUA UBUNGE, SIFA YA KUWA MUNGU NI LAZIMA UPATE RIDHAA YA CHAMA CHAKO,.
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
>Mambo mengine ni ya ajabu na aibu za wazi kabisa kwa vyombo vyetu tegemewa kwa taifa.
Anza kulipigia kelele, ila utaoneka umaskini unakusumbuaHata pardm za watu ambao wanakwenda mkoa mwingine just kusalimia families zao si Kodi yako?
Then lipa Kodi Kwa wajibu usilipe Kwa kutaka kujua Kodi yako inaenda kutumikajeAnza kulipigia kelele, ila utaoneka umaskini unakusumbua