babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Wapenda kesi,bila kesi hamna ruzuku.
Yule mzee kule ushirombo hapati kisusio
Yule mzee kule ushirombo hapati kisusio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kidogo ninakubaliana nawe, lakini kikubwa sikubaliani kabisa na dhana yako.Maridhiano makubwa yameshafanyika, chadema hawataki vile viti na hata kama wakitolewa still hawatapeleka watu wengine
Ni kama swala la ruzuku Tu mpaka Leo hawataki Kwa sababu zao binafsi
Viongozi wakuu wamefaidika na maridhiano ya kwao Kwa manufaa yao
Lisu kalipwa pesa zake mbowe nae biashara zake zimefunguliwa vizuri
Kitu ambacho cdm hawajui Ni kuwa wamefika hapo kwa uwezo wa Mungu tu...hawakustahili kuwa hapo. Wakitaka kusubiri fadhila za CCM wakamuacha Mungu wao aliowapigiania kipindi chote Cha shida wamekwisha! Warudi njia walikuwepo ndo Ina Mungu wao.Kweli cdm wajitenge na hayo mazungumzo waendelee kimpango wao. Wanapoteza Muda tu.
Hahaha..... tatizo siyo Chadema bwashee
Hizi kumbukumbu zitabaki milele lakini Chadema inaweza Kufa
..Nadhani uendawazimu.
..Kama kina Halima wangejitetea kule kwenye baraza kuu lakini wakafukuzwa halafu wakaenda mahakamani then kungekuwa na sababu ya kujibu hoja zao.
..Ndio maana nasema Cdm wasiende mahakamani.
Kujari = kujali. Ukiona umeweza kuandika vizuri urudi tujadili haya mambo ya kitaifa.Mimi nimejikita zaidi demokrasia na utawala wa sheria.
Mdau uko kichama zaidi bila kujari wabunge haramu wanatumia kodi yako na yangu. Na ni ishara ya uovyo ngazi ya nchi.
CDM inaweza hata kufa lakin Taifa lipo tu. Onyesha bas unajari sheria, kanuni na taratibu bila kujari siasa za vyama. Usipende sana uovyo!
Hope una watoto. Unataka wawe na namna gani ya kufikiri na kutenda?
Hivi kwani kesi imesikilizwa?Hahaha..... tatizo siyo Chadema bwashee
Hizi kumbukumbu zitabaki milele lakini Chadema inaweza Kufa
Sasa jamani kwani kesi imeanza?Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
We kweli jinga, yaan mtu atumie vyeti vyoko kupata ajira halafu na wewe ukae tu usubiri mwajiri amfukuze.CHAMA CHA MIHEMKO HICHO.
hawawezi kukuelewa.
Kama haukuwapeleka bungeni utawafukuza vipi ubunge?
Aliyewapeleka bungeni akawaapisha ndo anajua jinsi ya kuwafukuza ubunge
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Mambo mengine kama yapi?? Taja ambako kodi inatumika hovyo.Ww Una uchungu na Kodi yako Kwa watu 19 Tu? Mbona hulalamiki Kodi yako Kwa mambo mengine?
Wakina mdee wakitoka Kodi yako itakuwa itakuwa imejenga barabara ?
mmmh
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Huna akili wewe! Uanachama ni pesa ule? Cha msingi kwao ni Ubunge tu. Kweli Halima na wenzake ni mpango wa MunguPole ya Nini? Wewe ndio nikupe pole kwa kudhani temporary injuction ndio hukumu. Mnasema ubunge usiguswe je uanachama?
Ndio mfumo wa sheria. Kususia ni ushamba wa kujua sheria...Nashauri Cdm wasusie hii kesi.
..Kuendelea nayo kunaipa uhalali.
..Ni kuendekeza upuuzi tu.
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.
Chanzo: MwanaHalisi
===========
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.
Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.
Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.
Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Hata pardm za watu ambao wanakwenda mkoa mwingine just kusalimia families zao si Kodi yako?Mambo mengine kama yapi?? Taja ambako kodi inatumika hovyo.