zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Acha kelele zako ulishasema hawatotimuliwa mbona walitimuliwa? Huko kuwalinda mahakamani ndio hawafukuziki? 2025 watagombea kwa ulazima?Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Mlimjaza hivi hivi zitto na lijualikali Leo yakwapi? Walivuna nini?