Mahakama yazuia ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 kuguswa kuanzia leo Juni 27, 2022

Mahakama yazuia ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 kuguswa kuanzia leo Juni 27, 2022

Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….

Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!

Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!


Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Acha kelele zako ulishasema hawatotimuliwa mbona walitimuliwa? Huko kuwalinda mahakamani ndio hawafukuziki? 2025 watagombea kwa ulazima?

Mlimjaza hivi hivi zitto na lijualikali Leo yakwapi? Walivuna nini?
 

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.

Chanzo: MwanaHalisi


===========


Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.

Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.


Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.

Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.

Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.

Mbona huweleweki.
 
Acha
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….

Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!

Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!


Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca

At the end chadema will win.
 

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda la kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale itakaposikiliza maombi ya rufaa yao.

Chanzo: MwanaHalisi


===========


Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27, 2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka pale Mahakama hiyo itakaposikiliza maombi ya Rufaa yao.

Hatua hiyo imekuja baada ya CHADEMA kupitia kwa mawakili wake akiwemo Peter Kibatala, kuwasilisha pingamizi la awali wakipinga maombi mapya ya akina Mdee dhidi yao ambapo wanaiomba mahakama hiyo iwape kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.


Mdee na wenzake wamefungua maombi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa) wakiomba ridhaa ya kufungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema.

Sambamba na maombi hayo ya ridhaa namba 27 ya mwaka 2022, pia wamefungua maombi ya amri ya zuio dhidi ya NEC na Spika, kutochukua hatua dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama.

Maombi hayo yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Mustapha Ismail yametajwa leo Jumatatu Juni 27,2022, ndipo mawakili wa Chadema wakaibua pingamizi, dhidi ya maombi hayo ya zuio.
Wenye akili tulijua! Shetani hajawahi mshinda Mungu au siyo OKW BOBAN SUNZU na Retired
 
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….

Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!

Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!


Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca

Mbona walishafukuzwa chadema. Wanabebwa na Bunge na Mahakama.
 
Huu upuuzi unaoendelea nataman uendelee watu wote waijue ccm na serkali vizuri labda watabadili approach ya kutafuta suluhisho.. KUPIGANA!
Nimeangalia mahudhurio ya Yanga kwenye jambo la kawaida kama lile nikajiuliza kwenye masuala ya mwelekeo bora wa nchi wanafeli wapi?
."..I LIKE THIS COUNTRY COZ ITS LAWLESS, BEER IS CHEAP AND WOMEN ARE WILLING!"
Hakuna mtanzania wa kupigana kisa CHADEMA. Kama una hamu ya kupigana kalisaidie jeshi la DRC dhidi ya M23. Halafu kama mmiliki wa chama Mh. Mbowe hana noma na CCM wala Mama Samia iweje wewe kijakazi ujifanye una uchungu sana?
 
CHAMA CHA MIHEMKO HICHO.
hawawezi kukuelewa.
Kama haukuwapeleka bungeni utawafukuza vipi ubunge?
Aliyewapeleka bungeni akawaapisha ndo anajua jinsi ya kuwafukuza ubunge

Kwa hivyo Leo mtu anaweza kuamka asubuhi akaenda bungeni bila kuthaminuwa na Chama. Waache kutumia Jina la chadema wajiite wabunge wa mahakama.
 
Hizi sarakasi zina baraka zote za Mr Chair, Binti yetu alitafutiwa mpaka kakibarua pale lunyang'auni naye akaenda kukutana na Mr Chair pale naniliu Nairobi akiwa na swahiba wake damu damu (wanapendana hao, maswahiiiba!)

hahahahaaha nyama choma za Carnival taamu sana, sijui ilikuwa crocodile ile kitu white kwenye plate...

Hizi ni sarakasi mpaka 2025, sio mbali ni hapo tu, mabinti watapata msamaha halafu tunarudi kwenye kale kamkataba ketu ka zawadi kuanzia Kawe, Bunda, Tarime pale nk baaasi after "uchafuzi halali" 2025 rutakuwa tunademka kama kawa pale chakochako......hahahahaha....
 
Hakuna mtanzania wa kupigana kisa CHADEMA. Kama una hamu ya kupigana kalisaidie jeshi la DRC dhidi ya M23. Halafu kama mmiliki wa chama Mh. Mbowe hana noma na CCM wala Mama Samia iweje wewe kijakazi ujifanye una uchungu sana?

Chama sio Cha Mbowe, chama ni Mali ya wanachama. Kati ya watu wanao ididimiza Chadema ni Mbowe. Wewe mtu kafukuzwa chama unahangaika kumtafutia kazi unaa maana gani?
 
Hizi sarakasi zina baraka zote za Mr Chair, Binti yetu alitafutiwa mpaka kakibarua pale lunyang'auni naye akaenda kukutana na Mr Chair pale naniliu Nairobi akiwa na swahiba wake damu damu (wanapendana hao, maswahiiiba!)

hahahahaaha nyama choma za Carnival taamu sana, sijui ilikuwa crocodile ile kitu white kwenye plate...

Hizi ni sarakasi mpaka 2025, sio mbali ni hapo tu, mabinti watapata msamaha halafu tunarudi kwenye kale kamkataba ketu ka zawadi kuanzia Kawe, Bunda, Tarime pale nk baaasi after "uchafuzi halali" 2025 rutakuwa tunademka kama kawa pale chakochako......hahahahaha....

Naona temporary injunction imewafanya kuwa manabii.
 
Hili suala la hawa wanawake 19 mpaka sasa limeshaonesha CCM hawako serious kwenye main issues za nchi yetu.

Chadema wanapoteza muda, na rasilimali fedha, kuendelea kufuatilia kesi ambayo kimsingi dalili zote zimeshaonesha kuna mchezo mchafu unaochezwa na CCM na idara zake.

Watanzania wameshaona nia ovu ya CCM kwenye hili, Chadema wajitoe huko wawaache CCM waendelee na watu wao, na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Nakubaliana nawe kwa 200%
 
Nawapongeza kina mama shupavu 19 kupambania haki yao. Naipongeza mahakama kusimama kwenye haki. Spika kijana Tulia nae pia siwezi acha kumpongeza.

Pongezi kwa taarifa ya kuambiwa. Umesoma maamuzi ya mahakama?
 
Hawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.

DJ yupi? Watu wanaongelea haki mahakamani wewe unaleta stori za dj?
 
Back
Top Bottom