Mahakama yazuia ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 kuguswa kuanzia leo Juni 27, 2022

Mahakama yazuia ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 kuguswa kuanzia leo Juni 27, 2022

Hili suala la hawa wanawake 19 mpaka sasa limeshaonesha CCM hawako serious kwenye main issues za nchi yetu.

Chadema wanapoteza muda, na rasilimali fedha, kuendelea kufuatilia kesi ambayo kimsingi dalili zote zimeshaonesha kuna mchezo mchafu unaochezwa na CCM na idara zake.

Watanzania wameshaona nia ovu ya CCM kwenye hili, Chadema wajitoe huko wawaache CCM waendelee na watu wao, na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Kweli cdm wajitenge na hayo mazungumzo waendelee kimpango wao. Wanapoteza Muda tu.
 
CCM inahusikaje?
Mhusika mkuu ni ccm hilo liko wazi hata mawakili wao ni ccm hilo liko wazi,Ndugai na chadema wapi na wapi,Magufuri na chadema wapi na wapi,Majaliwa na chadema wapi na wapi,Mahera na chadema wapi na wapi,Tulia Acksoni naye na chadema wapi na wapi,CCM wanatetea hao covid 19 ili wale waliowaita sana mabeberu waweze kuwakopesha hela,hapo shida ni hela tu na si kingine.
 
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….

Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!

Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!


Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Uongo utakusaidia nini wewe masikini ?
 
Nawapongeza kina mama shupavu 19 kupambania haki yao. Naipongeza mahakama kusimama kwenye haki. Spika kijana Tulia nae pia siwezi acha kumpongeza.
CCM hamkosi kuomba radhi na hilo ndiyo tatizo lenu mnakosea makusudi eti tukielekea kufa tutaungama kwa Padre,mnafikiri Mungu alishasinzia???Endeleeni na upuuzi baadaye oh hakuna mwanadamu asiyekosea,oh yalishapita tugange yajayo,oh tuungane pamoja tujenge nchi,UTAPELI,UTAPELI,UTAPELI,UTAPELI,UTAPELI TU.
 
Duh

Hii ni zaidi ya picha la kihindi

Ova
 
Hawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.
Rafiki punguza mahaba niue hukuzaliwa uwe ccm au chadema,bali ulizaliwa katika ardhi ya Tanzania ili uwe Mtanzania halali,unapoamua kuwa haramu sababu ya chadema au ccm basi wewe ni mwendawazimu,vyote hivi vyama vitakufa siku moja lakini Tanzania haiwezi kufa.
Ukitaka kujua wale wafuasi wa Magufuri mpaka sasa hawana raha na Samiah hata afanye jema kwao hafai,kuna siku kutakuwa mpasuko katika nchi kuanzia hicho chama cha madhambi mengi ccm ndipo mtakapogundua kuwa siasa za kukomoana hazina faida.
 
Hili suala la hawa wanawake 19 mpaka sasa limeshaonesha CCM hawako serious kwenye main issues za nchi yetu.

Chadema wanapoteza muda, na rasilimali fedha, kuendelea kufuatilia kesi ambayo kimsingi dalili zote zimeshaonesha kuna mchezo mchafu unaochezwa na CCM na idara zake.

Watanzania wameshaona nia ovu ya CCM kwenye hili, Chadema wajitoe huko wawaache CCM waendelee na watu wao, na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Huu upuuzi unaoendelea nataman uendelee watu wote waijue ccm na serkali vizuri labda watabadili approach ya kutafuta suluhisho.. KUPIGANA!
Nimeangalia mahudhurio ya Yanga kwenye jambo la kawaida kama lile nikajiuliza kwenye masuala ya mwelekeo bora wa nchi wanafeli wapi?
."..I LIKE THIS COUNTRY COZ ITS LAWLESS, BEER IS CHEAP AND WOMEN ARE WILLING!"
 
Mkuu 'denooJ', hii ndiyo nafasi/fursa nzuri kabisa kwa CHADEMA, hasa wale wasioamini uigizaji unaoendelea chini ya Samia huku akiimba nyimbo za maridhiano/maafikiano.

Utamjuaje mtu unayetafuta maridhiano naye kama siyo kwa mambo kama haya?

Acha Mbowe na wenzake wajionee ukweli wenyewe, halafu wajiridhishe kwamba watu wanaofanya nao maridhiano ni watu wa kuwaamini au hapana.

Acha CHADEMA wajiridhishe, halafu tuone watakavyoendelea na mchezo huu.
Kama mpaka leo bado hawajajionea..ok!
 
Ni heri aliyeamua kunyofoa kipengele cha ukomo mfalme mswati atawale milele chadema yao!
 
Tunajidhalilisha Kama taifa kwa kuwa na taasisi zisizosweza kujisimamia. Na huu ndo uduaifu alioutumia Magufuli kuyafanya yote Yale mazingaombwe aliyoyafanya kwa kuwa alijua taasisi zetu zi dhaifu kujisimamia.
 
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….

Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!

Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!


Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
Acha porojo please! Ni mjinga tu anayejifanya hajui ushenzi unaofanywa na Hawa washenzi. Na siku CHADEMA wakishinda mje muongee
 
..Nadhani uendawazimu.

..Kama kina Halima wangejitetea kule kwenye baraza kuu lakini wakafukuzwa halafu wakaenda mahakamani then kungekuwa na sababu ya kujibu hoja zao.

..Ndio maana nasema Cdm wasiende mahakamani.
I feel for you. Lakini wakati mwingine ni vizuri kuachilia mchezo wote uende mpaka mwisho wake. Kama ilivyokuwa kwa Mbowe.

Amandla...
 
CHAMA CHA MIHEMKO HICHO.
hawawezi kukuelewa.
Kama haukuwapeleka bungeni utawafukuza vipi ubunge?
Aliyewapeleka bungeni akawaapisha ndo anajua jinsi ya kuwafukuza ubunge
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….

Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!

Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!


Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
 
Back
Top Bottom