Mahakama yazuia ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 kuguswa kuanzia leo Juni 27, 2022

Tatizo lipo kwa hawara wa mwenyekiti yule mama Joyce Mukya. Ndo anafosi baby wake amuondoe Mdee ili yeye apate nafasi.
 
Tatizo lipo kwa hawara wa mwenyekiti yule mama Joyce Mukya. Ndo anafosi baby wake amuondoe Mdee ili yeye apate nafasi.
Hilo jina unajiita halafu unakuwa mjinga wa kiwango hiki ni kumdhalilisha mwenye jina
 
Kwa hiyo hoja yako ni nini?

Yaani wenzio wamepata walivyokuwa wameibiwa halafu wewe unalalama "kwanini wamepata!!??". You must be very stupid..!!

Na kwani wamepata vya kuhongwa au haki na mali ya jasho lako?

Wamechukua vya kwao walivyokuwa wamenyang'anywa kwa nguvu na kwa hila na huyo SUKUMA GANG mwenzetu mwendazake Jiwe..
 
Hawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.
Umeandika ujinga mtupu
 

Vipi mkuu unaji cc mwenyewe? Ama ndio back up!
 
Tukutane 2025 😂😂
 
Kwani aliyeandika kitabu cha 'MFALME JUHA' alilenga nini? Ni mambo halisi ambayo dola inaona sio sahihi lakini inalazimisha yawe sahihi.
Kesi ya kijuha ni ngumu sana kuiamua, inasubiri waamuzi na sio sheria.
Ova
 
Chadema wametimiza wajibu wao, nao ni kuwafukuza uanachama basi. Kazi ya kuwatoa bungeni ni ya mamlaka nyingine. Aliyewaingiza bungeni (serikali) ndio yenye jukumu la kuwatoa. Ningeweza kushawishika kuwa Chadema walihusika na kuwaingiza bungeni lakini serikali ilichemka Sana ilipojisahau na kumuingiza mtu aliyekuwa jela Nusrat, bungeni. Chadema hawana ubavu wa kumtoa mtu jela tena usiku. Tena kipindi cha Magu siyo Kweli. Ninashauri Chadema waendelee kufuatilia jambo hili huko mahakamani hata hivyo wategemee maamuzi tofauti. Serikali/ccm inawataka wabunge wa upinzani kwa maslahi yao na hawaiamini Chadema kama itakubali kuleta majina mapya bungeni, na ikikataa ni kuendeleza msimamo kuwa hakukuwa na uchaguzi huru 2020, hali itakayosababisha kukosa baadhi ya misaada au kukosa kuungwa mkono kwa serikali ya Samia na wadau wa demokrasia duniani kitu wanachokihitaji mno hasa awamu hii.
Issue ya hao wabunge Ni aibu tupu kwa bunge na serikali yake. Hivyo siyo kazi nyepesi kuwaondoa.
Kumbuka majibu ya Ndugai pamoja na ushauri wa busara wa spika Mstaafu Mzee Msekwa kuwa akina Halima hawapaswi kuwa bungeni yeye alijibu,nitawalinda kwa gharama zozote, hiyo kauli haikutoka kwake,yuko aliyemtuma na bila shaka anajuta huko aliko. Mbunge anapaswa kudhaminiwa na chama Cha siasa ndo katiba inavyosema. Haijalishi ubovu wa katiba ya vyama ilimradi chama kimesajiliwa na kiliwasilisha katiba yake kwa msajili mkuu wa vyama naye akaipokea na kuikubali itumike na hicho chama huwezi kuhoji matumizi yake kwa kuwa maamuzi yamegusa maslahi ya chama tawala.
 
Kumbe sarakasi zote na Halima na genge lake ni ubunge (matumbo yao) tu,ok fine,ila Chadema haina ishu na ubunge wao kwani hela inayochezewa kuwalipa mishahara na posho zao ni za Watanzania wote,Ila wasitumie jina la Chadema kwani siyo wanachama wetu tena..
 
Haya mawazo ya ajabu sijui umeyatoa wapi.

Hao wanawake wameenda kinyume na taratibu za chama chao, wameadhibiwa, ajabu lawama zako unampelekea Mbowe!

Listen man, usitoe hukumu kwa kukariri, hii scenario yako ilitumiwa na Samia kumkandamiza Ndugai kule CCM, usiipeleke Chadema.

Suala la Chadema ni separate kabisa, halifanani na mambo ya CCM na tabia zao, na wala halina uhusiano wowote na Mbowe kukaa madarakani muda mrefu.
 

Eewaaaaaa sasa hayo ndio maridhiano so na nyie mridhie mambo mengine ambayo ccm wamefanya ambayo maybe yaliwaumiza

Msiwe kama watoto yatima kila kitu mnataka nyie ndio msikilizwe
 
HAYA NDIYO MAAJABU NDANI YA TAIFA HILI, HAWA WATU CHAMA CHAO KIMESHAWAVUA UBUNGE, SIFA YA KUWA MUNGU NI LAZIMA UPATE RIDHAA YA CHAMA CHAKO,.
>Mambo mengine ni ya ajabu na aibu za wazi kabisa kwa vyombo vyetu tegemewa kwa taifa.
 
Chadema ni nyumba moja na hao kina Halima kaeni pamoja na muyamalize, hichi ni kitu kidogo sana, ehh mijamaa acheni kuonyeshana ubabe uwiii [emoji3062]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…