Mahakama yazuia Vijiji vya Ngorongoro Kufutwa
Nguvu ya mahakama ilikufa rasmi awamu ya 5,,tena baada ya wabunge Covid 19 kubaki bungeni wakati sheria ilikuwa imevunjwa..

Nilisoma mahali Andrew Jackson,raisi wa zamani wa Marekani aliwahi kuiambia Supreme Court ya nchi hiyo kuwa waje na bunduki wamzuie kuwaondoa native Indians kwenye ardhi yao. Hiyo ni baada ya mahakama kumwambia aache mara moja kuwasumbua hao wahindi.

His direct words were - "John Marshall has made his decision; now let him enforce it"

Chief Hangaya akisema mahakimu waliofanya hayo maamuzi waje wamzuie , je kuna atakayethubutu?.Tumeshuhudia spika akijiuzulu na kupotea kimya kimya baada ya kukingiana kifua na executive

Power resides where people believe it resides.do we as Tanzanians believe the court can overrule executive authority??
 
Kama Hakimu Mwanadamu aliye chini ya Jua ameweza kuona udhaifu kwenye maamuzi ya serikali ya Samia, je aliyeko juu? Mama Samia jipe muda ujitafakari.
 
Nguvu ya mahakama ilikufa rasmi awamu ya 5,,tena baada ya wabunge Covid 19 kubaki bungeni wakati sheria ilikuwa imevunjwa..

Nilisoma mahali Andrew Jackson,raisi wa zamani wa Marekani aliwahi kuiambia Supreme Court ya nchi hiyo kuwa waje na bunduki wamzuie kuwaondoa native Indians kwenye ardhi yao. Hiyo ni baada ya mahakama kumwambia aache mara moja kuwasumbua hao wahindi.

His direct words were - "John Marshall has made his decision; now let him enforce it"

Chief Hangaya akisema mahakimu waliofanya hayo maamuzi waje wamzuie , je kuna atakayethubutu?.Tumeshuhudia spika akijiuzulu na kupotea kimya kimya baada ya kukingiana kifua na executive

Power resides where people believe it resides.do we as Tanzanians believe the court can overrule executive authority??
Hapo sasa ndio patamu 🙌😅
 
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Mahakama inaanza kujitambua bado wale wa kugonga meza
 
Nasubiria tangazo la hakimu kufutwa Kazi. Ameuabisha muhimili uliojichimbia chini zaidi
 
Serikali ya Tanzania haita kuwa na muda wa kusikiliza upuuzi wa mahakama na majaji njaa.

Pesa za waarabu ni tamu sana.
 
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.

Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.

Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.

MBWA WAMEANZA KUBWEKA

View attachment 3076651
Safi sana.

Walewe kwamba Chadema huwa tunasimama kwenye mstari ulionyoka
 
Back
Top Bottom