Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Wasichana =Wanawake. Ni Umri tu ndo unowatofautisha."Chanzo cha mabaya ni Pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T" -Fid Q
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasichana =Wanawake. Ni Umri tu ndo unowatofautisha."Chanzo cha mabaya ni Pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T" -Fid Q
ukiona hivyo wewe ni wake hatumii nguvu yoyote kukipata, atakushawish ukabet kesi imeishaNa sisi ambao hatupati pisi kabisa ni kuwa shetani hatuhitaji kabisa au anatuogopa. Maana kama kufika hafiki,sijawahi kuonana nae.
anatumia wanawake kuwaangusha wanaumeShetani ni mwanaume.
Naona unafanya kazi ya kunilisha maneno.Mada yenyewe sio ngumu ila kichwa chako ndo kigumu umeshindwa kuelewa kinachoongelewa
Members wengi wote wameelewa mada isipokuwa kilaza mmoja tu ambaye ndo wewe
Kwahiyo wanaume wanawatumia wanawake kujiangusha. Safi sana.anatumia wanawake kuwaangusha wanaume
Against who? (Women or Satan)?Deterrence
Nikuulize, ni mahali gani hapo ambapo shetani hawezi kufika?Hapana , mtoa mada sio mjinga. Mbona amesema "Mahali ambapo Shetani hawezi kufika....?" ina maana mahali ambapo Shetani anaweza kufika hatamtuma mwanamke bali ataenda yeye mwenyewe. Umeelewa sasa?
Hapana shetani huwatumia wanawake kuangusha wanaumeKwahiyo wanaume wanawatumia wanawake kujiangusha. Safi sana.
Hakuweza kumfikia Samsoni kupitia wafilist, hakuweza kumfikia Ayubu, hawezi kuwafikia watumishi wa Mungu waliosimama sawa sawaNikuulize, ni mahali gani hapo ambapo shetani hawezi kufika?
Mkuu; Labda nitoe mifano michache tu lakini kwa nia njema:Nikuulize, ni mahali gani hapo ambapo shetani hawezi kufika?
Unataka tupate picha gani kuhusu mama Abdul ?Case studies zipo nyingi Sana Sina haja ya kurudia.
Uzi tayari.
Ufala huu. Wanawake ni maua yetu, bila wao dunia ingekuwa mbaya mnoooooo. Mbaya sanaaaa. Da, kwanza hata kuimagine haifai.Of course a woman is a devil incarnate if not the devil himself
Ikulu ni mahali patakatifu.Nikuulize, ni mahali gani hapo ambapo shetani hawezi kufika?
MenAgainst who? (Women or Satan)?
And the converse is also true. A woman is an excellent devil destroyer if not the best weapon against Devil.Of course a woman is a devil incarnate if not the devil himself
How?
Mwe, mwe, mweeee. Dah! Na Kulia kote huko nyie bado hamuoni kwamba wanaumia? Hv Shetani huwa anawalipaga nini kwa kazi hiyo ya kuwatuma nyie ili tuone kama inawezekana kumpiku? (Samahani lakini-Naomba ukitumwa kwangu ukatae ili ucje kwangu).Bado hamjasemaaaaa......
hadi tuwatoe roho.
Kwani kuna karne haijawahi kuwa nao lukuki?Jichunguze vizuri brother inaezekana na wewe ni mwanamke na labda hujijui😅
Mwanaume kamili unakosaje pisi kwa karne hii ya 21 iliyosheheni wanawake lukuki