Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Ndiyo hivyo, unaondoa proffessionals na kuweka mediocre characters, Makamba, Maharage et al!Mama Abdul anatupeleka shimoni!
Anamuondoa Mwenyekiti wa Bodi Engineer Kyaruzi anamuweka Omar Isa(former CEO of BRN) na January Makamba anateua Bankers kuwa Board members;akina Mafuru na Mchechu et al!
Wanapeleka mawazo kwa Rais eti wanataka kufumua gridi ya taifa kwa trilioni 11!!
Nyie....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
... wakipewa "DP World" si mtapinga ninyi? Tena hii ndio itakuwa mbaya kuliko TPA kwa huo upinzani na kejeli.Tutalaumu sana lakini hata aje nani lile shirika na serikali hawana uwezo wa kuzalisha umeme wa uhakika na kusambaza kwa bei nzuri nchi nzima, dawa ni moja tuu, waruhusu makampuni binafsi washiriki hiyo biashara na kuiondolea TANESCO monopoly.
Sio lazima wauze TANESCO, waruhusu tuu private sector na waweke sera nzuri za kuwalinda wanunuzi, mashirika ya umeme na wadau wote wa umeme bila upendeleo, nakuhakikishia tatizo la umeme litakuwa ni kama kuongelea stone age, tatizo la kukosa umeme au maji dunia ya leo ni kwa watu wasio na akili tuu
kwa taarifa yako chande ndio analiendesha shirika kitaalamu haswaaaView attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.
Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.
Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?
Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?
Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.
At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Kwa utaalam wa kuuza vocha za DSTV au siyo?kwa taarifa yako chande ndio analiendesha shirika kitaalamu haswaaa
Kwa utashi huu wa kufikiria Tim Cook CEO wa Apple inabidi awe fundi simu kwanza.
Amueni kama taifa, Tanesco liendeshwe kibiashara, then u need hao bankers etc. Kama Tanesco iendeshwe kama SUKITA then weka hao maInjinia wako.
Thinking ya Mama Abdul makes sense. Make Tanesco Profesional private company that it state owned.
Au kama vipi toeni monopoly ya Tanesco mruhusu kampuni binafsi ziuze umeme.
Mmemnanga Kipara weee,
Mediocre.......!!🤣🤣🤣🤣View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.
Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.
Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?
Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?
Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.
At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Nilivo ona tu Genge la Wafanyabiashara Limepewa Board ya Tanesco na Ujio wa MD ambae Ni Cartel nae niliona hapa Kilio hakipo mbali, Uzuri Muda huwa haudanganyi , Tanesco ni state Owned company unawekaje Genge la wapiga Deal kuendesha Board? Na ManagementMama Abdul anatupeleka shimoni!
Anamuondoa Mwenyekiti wa Bodi Engineer Kyaruzi anamuweka Omar Isa(former CEO of BRN) na January Makamba anateua Bankers kuwa Board members;akina Mafuru na Mchechu et al!
Wanapeleka mawazo kwa Rais eti wanataka kufumua gridi ya taifa kwa trilioni 11!!
Nyie....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ULIVYO NA HEKIMA NDOGO YA KIROHO unasema ETI HATA ALETWE MALAIKAMatatizo ya umeme nchini ni historical, nchi imekua, watu wameongezeka lakini vyanzo vya umeme vikabaki vile vile.
Sasa kwa hali ya sasa hata awekwe malaika kuongoza tanesco mgao ama upungufu wa umeme uko pale pale kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko vyanzo vya uzalishaji.
Magufuli aliwaza mbali kuona kwamba hakuna namna nyingine zaidi ya kujenga mwalimu Nyerere HPP. Ndie mtu pekee kwenye kizazi hiki na kijacho aliyethubutu kuhakikisha anakabiliana na changamoto za umeme.
Kwa sasa mkombozi ni JNHPP hakuna a.namna nyingine hata aletwe malaik
Ame deploy mifumo ambayo imesainiwa Kwa bei kubwa sana kuna ile Contract na Tech mahindra aisee sijui ununuzi wa Softwares, Sasa unaendesha Shirika kisasa ile hali hata Generation hapako vyema hujuma kibao mwisho wa siku unakuwa na Mifumo mizuri wakati Nishati huna, Watanzania wanataka umeme bra bra za Mifumo ya Kipigaji hawazitakikwa taarifa yako chande ndio analiendesha shirika kitaalamu haswaaa
Kama yalivyo mabucha ya nyama na samaki. Nishati nayo iwe huria.Lazima tuwe na forward looking na strategic Energy policy.
Tukiendelea kukumbatia vilaza wa kisiasa, haya ndio matokeo yake.
Mkamba kawaweka mediocre performers katika wizara sensitive na sasa tunaona, umeme hamna, fuel(diesel na petroli) hakuna,
Sasa tuambiwe nini kuelewa kuwa matatizo ni watu tuliowaweka?
Ajili ya kuiba na siyo kuleta ufanisiHuyo fala alikuwa anafanya kazi DStv,alafu analetwa kuongoza Shirika zito na nyeti la TANESCO.
Kalemani aliwezaje? ukiwa mla rushwa hutapawezaTanesco ni kama elimu... Kuna mgomo baridi. Hata uende wewe utafeli tu!
Mradi usiwe mla rushwa uwe msafi uachane na dili za kijinga, ukiweka uzalendo mbona hata wewe unapiga kazi freshTz hata ukiwa mkurugenzi mfano wasafi fm au clouds media,unaweza kuwekwa ukaiendesha tanesco
Ova
Wakati wa jpm umeme ulikuwa unakatwa ila kuna msemo ukipenda kipofu utamwita ana chongoView attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.
Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.
Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?
Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?
Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.
At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Lakini si kwa prolonged period of time!Wakati wa jpm umeme ulikuwa unakatwa ila kuna msemo ukipenda kipofu utamwita ana chongo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app