Maharage ana uwezo kweli kuendesha shirika la kitaalam kama TANESCO?

Maharage ana uwezo kweli kuendesha shirika la kitaalam kama TANESCO?

swali rahisi sana bado hujajibu, nionyeshe shirika moja la umma linaloendeshwa na watanzania 100% lenye ufanisi na la kuchukulia mfano.

Hapo umenipa mfano wa mtanzania mmoja anayekwenda kufanya kazi na WaUSA, WAFIN, WACAN nk.

Hata huyu Maharage kule DSTV alifanya vizuri bila shaka unajua DSTV alikuwa na akina nani, kaja TANESCO kwa manyani wenzake sana.
Onyesha shirika la kitanzania linaloperform
 
Onyesha shirika la kitanzania linaloperform
Tukijisteriotype na mawazo ya kujihalalisha, na kusema kwa vile shirika A limeshindwa basi mimi shirika B nikishindwa si ajabu.
Hayo ni mawazo na mindset ya kujidhalilisha.
 
Maharage has no technical know-how, no expertise, to critical issues and challenges facing Tanesco, so he is just a mere appointed political figure, i believe Mr. Dotto Biteko quickly will remove him within few months ahead.
 
View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Mkuu hawa ndiyo waliokaondolewa kabla ya kuletwa Maharage Chande kuchukua nafasi ya Tito Mwinuka kama Mkurugenzi na Dkt Kyaruzi kuondolewa nafasi ya mwenyekiti wa Bodi kuletwa Ndugu Issa.

Sasa tafuta CV zao mwenyewe hawa waliopo upate picha kamili.
Screenshot_2023-09-22-11-11-39-73_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2023-09-22-11-25-16-84_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Maharage has no technical know-how, no expertise, to critical issues and challenges facing Tanesco, so he is just a mere appointed political figure, i believe Mr. Dotto Biteko quickly will remove him within few months ahead.
Mkurugenzi wa Tanesco anateuliwa na Rais lakin
 
Siku tukiacha Utaalamu ufanye kazi badala ya Siasa, mashirika mengi yatafanya wonders kwenye Utendaji.

Shida ni Wanasiasa kuingilia utendaji.

Hiyo Tanesco mbona wakati wa Hayati haikuwa na hili tatizo la kukata Umeme kila Uchwao?

Shida ni Siasa
 
Mkuu hawa ndiyo waliokaondolewa kabla ya kuletwa Maharage Chande kuchukua nafasi ya Tito Mwinuka kama Mkurugenzi na Dkt Kyaruzi kuondolewa nafasi ya mwenyekiti wa Bodi kuletwa Ndugu Issa.

Sasa tafuta CV zao mwenyewe hawa waliopo upate picha kamili.View attachment 2757983View attachment 2757984
Serikali inawaondoa proffessinals wa fani na kuwaingiza vilaza kuendesha shirika la TANESCO.
Na ni vilaza kiwango cha waziri wao January Makamba.
Chini ya Makamba muda mfupi tu, sasa hatuna nishati ya umeme wala nishati ya mafuta.
Pathetic.
 
Tukijisteriotype na mawazo ya kujihalalisha, na kusema kwa vile shirika A limeshindwa basi mimi shirika B nikishindwa si ajabu.
Hayo ni mawazo na mindset ya kujidhalilisha.
Ndicho ninaxhopinga

Kuna Fala mmoja anadai Hakuna shirika liliongozwa na mtanzania likaweza , Basi aonyeshe la mzungu aliyeongoza hapa Tanzania akafaulu

Matatizo Mengi ni ya mfumo

But maharage is transforming tanesco positively
 
Ndicho ninaxhopinga

Kuna Fala mmoja anadai Hakuna shirika liliongozwa na mtanzania likaweza , Basi aonyeshe la mzungu aliyeongoza hapa Tanzania akafaulu

Matatizo Mengi ni ya mfumo

But maharage is transforming tanesco positively
Unamsema Maharage huyu huyu anayefukuzwa mikutanoni ili akafanye kazi?
 
Tatizo la umeme sio Tanesco bali watunga sera za nchi, wao ndo walipendekeza ujenzi wa mabwawa badala ya kutafuta umeme ambao hautatusumbua
 
Unamsema Maharage huyu huyu anayefukuzwa mikutanoni ili akafanye kazi?
Kwa akili ndogo that would suit you

Kwa akili kubwa ningesema management ya tanesco na wizara waliagizwa kutokuwepo ili watatue changamoto za umeme
 
View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Naomba kupingana na wewe.. Kuhusu Technical Background huyu MD Maharage Chande yupo vizuri sana.. Amekuwa anafanya na Private Sectors kadhaa kuanzia Benki, Mashirika ya Simu na hata Multi Choice kwa level ya juu sana kwa Africa.

Kama atashindwa basi atakuwa ameshindwa kwa upande wa Siasa hasa atakapokuwa anaingiliwa na wanasiasa.

Kuna zaidi ya hizo sababu ulizosema ila kuhusu Technical Background na utendaji wake ni superb...
 
Hapo kwenye Magufuli aliwaza mbali umekosea. Kama Magufuli angekuwa na akili angeendeleza phase 3 & 4 za Kinyerezi.

Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 alizoziacha Jakaya Kikwette zina kidhi mahitaji ya umeme kwa 65% maana kila moja inazalisha 400MW.

Magufuli aliwajaza ujinga kwa kwenda kufufua mradi uliofanyiwa feasibility study mwaka 1978 wakati wa Nyerere. Hayo makaratasi yalikuwapo RUBADA ila kwa taarufa yako kati ya 1978 ilipofanywa feasibility study na 2017 Dikteta Magufuli alipolazimisha JNEHP Dam ijengwe maji ya mto Ruaha na Kilombero ambavyo ndivyo vinailisha Rufiji yalikuwa yamepungua kwa 40%. Sababu za upungufu ni mabadiliko ya tabia nchi na shughuli za kibinadamu along the river basin
Hayo unayoongea yanamsaidia nini mtanzania wa kawaida ambaye anataka umeme ili kazi zake ziende, viingerezq vingi bila matokeo yoyote ni bure, Magufuli tulimwelewa kwa sababu ya matokeo, umeme haukukatika sio bla bla
 
TATIZO ni kula kwa urefu wa kamba.

Tamko lilikuwa rasmi.

Kilichobakia ni utekelezaji tu.

Kuanzia fundi mpaka mtendaji mkuu watu wanawazia kupiga tu.

Umeme utawaka saa ngapi??

Hao ATCL wenyewe ilikua ni aibu tupu.

Shiraka lina wafanyakazi zaidi ya 200 lakini ndege ni moja tu.

Tukiacha ubinafsi na wizi wizi basi tutapiga hatua.
 
Naomba kupingana na wewe.. Kuhusu Technical Background huyu MD Maharage Chande yupo vizuri sana.. Amekuwa anafanya na Private Sectors kadhaa kuanzia Benki, Mashirika ya Simu na hata Multi Choice kwa level ya juu sana kwa Africa.

Kama atashindwa basi atakuwa ameshindwa kwa upande wa Siasa hasa atakapokuwa anaingiliwa na wanasiasa.

Kuna zaidi ya hizo sababu ulizosema ila kuhusu Technical Background na utendaji wake ni superb...
Hujaeleza his technical prowess!!
 
Kwa huyo hamna kitu. Hapo aliwekwa ‘mshkaji wetu’ basi.
 
View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Tanesco ni sawa na Jeshi la Ulinzi la Taifa. Ikipewa uzito kitaifa itaenda hata ukiweka tofali pale kuwa MD itaenda
 
Mama Abdul anatupeleka shimoni!
Anamuondoa Mwenyekiti wa Bodi Engineer Kyaruzi anamuweka Omar Isa(former CEO of BRN) na January Makamba anateua Bankers kuwa Board members;akina Mafuru na Mchechu et al!
Wanapeleka mawazo kwa Rais eti wanataka kufumua gridi ya taifa kwa trilioni 11!!
Nyie....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HIvi zile habari za tilion 11 zilishiaga kupewa ngapi ...au Mama aliamua kumpotezea kijana .!
 
Bwana Maharage Ally Chande, rasmi sasa AMEONDOLEWA TANESC0 na Rais Samia Suluhu na kupelekwa TTCL, mahali pa mawasiliano(ina shabibiana na DSTV).
Asante mama, unapitia maoni mitandaoni(hasa JF) ingawaje watu kama Nape wanaidharau.
 
Back
Top Bottom