Onyesha shirika la kitanzania linaloperformswali rahisi sana bado hujajibu, nionyeshe shirika moja la umma linaloendeshwa na watanzania 100% lenye ufanisi na la kuchukulia mfano.
Hapo umenipa mfano wa mtanzania mmoja anayekwenda kufanya kazi na WaUSA, WAFIN, WACAN nk.
Hata huyu Maharage kule DSTV alifanya vizuri bila shaka unajua DSTV alikuwa na akina nani, kaja TANESCO kwa manyani wenzake sana.
Tukijisteriotype na mawazo ya kujihalalisha, na kusema kwa vile shirika A limeshindwa basi mimi shirika B nikishindwa si ajabu.Onyesha shirika la kitanzania linaloperform
Mkuu hawa ndiyo waliokaondolewa kabla ya kuletwa Maharage Chande kuchukua nafasi ya Tito Mwinuka kama Mkurugenzi na Dkt Kyaruzi kuondolewa nafasi ya mwenyekiti wa Bodi kuletwa Ndugu Issa.View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.
Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.
Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?
Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?
Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.
At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Mkurugenzi wa Tanesco anateuliwa na Rais lakinMaharage has no technical know-how, no expertise, to critical issues and challenges facing Tanesco, so he is just a mere appointed political figure, i believe Mr. Dotto Biteko quickly will remove him within few months ahead.
Serikali inawaondoa proffessinals wa fani na kuwaingiza vilaza kuendesha shirika la TANESCO.Mkuu hawa ndiyo waliokaondolewa kabla ya kuletwa Maharage Chande kuchukua nafasi ya Tito Mwinuka kama Mkurugenzi na Dkt Kyaruzi kuondolewa nafasi ya mwenyekiti wa Bodi kuletwa Ndugu Issa.
Sasa tafuta CV zao mwenyewe hawa waliopo upate picha kamili.View attachment 2757983View attachment 2757984
Ndicho ninaxhopingaTukijisteriotype na mawazo ya kujihalalisha, na kusema kwa vile shirika A limeshindwa basi mimi shirika B nikishindwa si ajabu.
Hayo ni mawazo na mindset ya kujidhalilisha.
Unamsema Maharage huyu huyu anayefukuzwa mikutanoni ili akafanye kazi?Ndicho ninaxhopinga
Kuna Fala mmoja anadai Hakuna shirika liliongozwa na mtanzania likaweza , Basi aonyeshe la mzungu aliyeongoza hapa Tanzania akafaulu
Matatizo Mengi ni ya mfumo
But maharage is transforming tanesco positively
Kwa akili ndogo that would suit youUnamsema Maharage huyu huyu anayefukuzwa mikutanoni ili akafanye kazi?
Naomba kupingana na wewe.. Kuhusu Technical Background huyu MD Maharage Chande yupo vizuri sana.. Amekuwa anafanya na Private Sectors kadhaa kuanzia Benki, Mashirika ya Simu na hata Multi Choice kwa level ya juu sana kwa Africa.View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.
Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.
Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?
Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?
Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.
At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Hayo unayoongea yanamsaidia nini mtanzania wa kawaida ambaye anataka umeme ili kazi zake ziende, viingerezq vingi bila matokeo yoyote ni bure, Magufuli tulimwelewa kwa sababu ya matokeo, umeme haukukatika sio bla blaHapo kwenye Magufuli aliwaza mbali umekosea. Kama Magufuli angekuwa na akili angeendeleza phase 3 & 4 za Kinyerezi.
Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 alizoziacha Jakaya Kikwette zina kidhi mahitaji ya umeme kwa 65% maana kila moja inazalisha 400MW.
Magufuli aliwajaza ujinga kwa kwenda kufufua mradi uliofanyiwa feasibility study mwaka 1978 wakati wa Nyerere. Hayo makaratasi yalikuwapo RUBADA ila kwa taarufa yako kati ya 1978 ilipofanywa feasibility study na 2017 Dikteta Magufuli alipolazimisha JNEHP Dam ijengwe maji ya mto Ruaha na Kilombero ambavyo ndivyo vinailisha Rufiji yalikuwa yamepungua kwa 40%. Sababu za upungufu ni mabadiliko ya tabia nchi na shughuli za kibinadamu along the river basin
Hujaeleza his technical prowess!!Naomba kupingana na wewe.. Kuhusu Technical Background huyu MD Maharage Chande yupo vizuri sana.. Amekuwa anafanya na Private Sectors kadhaa kuanzia Benki, Mashirika ya Simu na hata Multi Choice kwa level ya juu sana kwa Africa.
Kama atashindwa basi atakuwa ameshindwa kwa upande wa Siasa hasa atakapokuwa anaingiliwa na wanasiasa.
Kuna zaidi ya hizo sababu ulizosema ila kuhusu Technical Background na utendaji wake ni superb...
Tanesco ni sawa na Jeshi la Ulinzi la Taifa. Ikipewa uzito kitaifa itaenda hata ukiweka tofali pale kuwa MD itaendaView attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.
Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.
Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?
Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?
Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.
At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
HIvi zile habari za tilion 11 zilishiaga kupewa ngapi ...au Mama aliamua kumpotezea kijana .!Mama Abdul anatupeleka shimoni!
Anamuondoa Mwenyekiti wa Bodi Engineer Kyaruzi anamuweka Omar Isa(former CEO of BRN) na January Makamba anateua Bankers kuwa Board members;akina Mafuru na Mchechu et al!
Wanapeleka mawazo kwa Rais eti wanataka kufumua gridi ya taifa kwa trilioni 11!!
Nyie....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ndy mtaalam wa mambo ya telecomunicationBwana Maharage Ally Chande, rasmi sasa AMEONDOLEWA TANESC na Rais Samia Suluhu na kupelekwa TTCL, mahali pa mawasiliano(ina shabibiana na DSTV).
Asant mama, unapitia maoni ingawaje watu kama Nape wanaidharau.