Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

Labda tusubiri hawa wateule wapya
Ndugu Maharage washamsafisha
Muda wa kwenda kuuza line na bando hiyo kazi ataweza
 
Hii point ya msingi sanaaa,
Ila muda mzuri wa kusafisha sio wakati wa mvua? Ili usafishe maji yajae mengi?
Anyway, walio ingia sasa wakasafishe tu hata jioni ya leo mwakani hatutaki hizi porojo za maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…