Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

Mtoto pendwa haaa anazunguka kwenye mambo ya nje tu.
 
Nimeishia kucheka

Alienda kufanya nn na waziri yupo ,katibu mkuu pengine yupo

Yeye mkurugenzi !! Halali afukuzwe
 
Kama umeme hautoshi, iweje Mtoto wa mama Abdul aende UG kuwauzia umeme wetu?
 
Kama umeme hautoshi, iweje Mtoto wa mama Abdul aende UG kuwauzia umeme wetu?
Mkuu unatakiwa uwe na taarifa sahihi...
Hatuna uwezo wa kuuza Uganda kwa sasa bali tunanunua kwao kupitia Masaka Mtukula na sehemu nyingine ni Mulongo..
Huyo sijui Abdul amekwenda mwenyewe kama mwekezaji wa kutaka kuanzisha kampuni ya umeme huko Ug.. Terms na makubaliano sijayajua bado
 
Alaa!!
 
Ndiyo maana leo umeme unaenda "masaa" 13 sasa bila kukatwa leo hapa mtaani.

Mara ya mwisho ilikuwa 15th August 2023 ndiyo tulipata umeme 24hrs hapa mtaani.

Alaaniwe yule jamaa.
 
Rais Dkt Samia tulimuonya sana tena sana hakutusikia. Yaani huwezi fanikiwa kiuongozi kwa kukomoa uliowakuta. Maharage na Jan ndicho walikifanya. Kibaya kabisa Maharage kavuruga maslahi ya watumishi TANESCO, yaani ananikumbusha sawa na HR mmoja aliingia na kuharibu maslahi ya CRDB kilichotokea CRDB ingekufa maana watu hawakuwa na moyo wa kazi. Mh. Biteko akitaka kufanikiwa amfukuze saa saba mchana Maharage na arejeshe uongozi ulioondolewa na ateue bodi mpya kwa sababu iliyopo sasa ni ya kundi la watu wanaofaidika na mgao wa umeme. Maharage afungwe mpiga dili
 
Labda alikuwa na bifu nae si unajua wabongo kwa kulipiza
Ujinga Mtupu February ameondoka amemfundisha Propaganda za kishamba eti hakuna mgao ispokuwa ni upungufu wa Umeme, ameshusha welevu wake wa Technolojia akajitwika Ujinga wa aliyekuwa waziri wake February Marope!!.
 
Maharage ni Pro makamba ameletwa pale na Makamba, Biteko achague Watu wake aanze Fresh start, MD na Board haviwezi kumpa matokeo hata kidogo
 
Nani anaemteua? Halafu kwani Maharage Chande ndio kaleta ukame? Maharage ndio mtoa pesa za kuanzisha vyanzo vipya? Upuuzi.

Ila Sasa Kwa Afrika Jamaa wanaodhalilisha hivi na kuongea ndio huonekana Viongozi Sasa 😁😁
Wewe acha upumbavu kukosa uwajibikaji na mipango mikakati kwa mkurugenzi mkuu TANESCO ndio chanzo cha tatizo la umeme msisingizie maji , kwanza wana deal lao la mita za LUKU na mwenzie makamba.
 
Maharage ni Pro makamba ameletwa pale na Makamba, Biteko achague Watu wake aanze Fresh start, MD na Board haviwezi kumpa matokeo hata kidogo
Sana, kibaya kabisa kabisa Maharage kaharibu mno kama jinsi yalivyo maharage. Na Mh. Biteko asipojua pakubonyeza he will never get better results. Kalemani alikuwa siyo kiongozi mzuri ila kwenye motisha ya kazi aliwaacha ila sasa huyu kaja na theory zake za eti kutoa gawio serikalini wakati watumishi wako hawana hata morali ya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…