Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

Nani anaemteua? Halafu kwani Maharage Chande ndio kaleta ukame? Maharage ndio mtoa pesa za kuanzisha vyanzo vipya? Upuuzi.

Ila Sasa Kwa Afrika Jamaa wanaodhalilisha hivi na kuongea ndio huonekana Viongozi Sasa [emoji16][emoji16]
Kabla ya maharage ukame ulikiwepo na miundombinu ya umeme ni hiyo hiyo. Mtu anateuliwa kwa recommendations za mtu mmoja, february. Halafu kila akiongea anamkingia kifua na kutoa vijembe eti "tulipomteua kuna watu hawakupenda"
Bwawa la JNHPP lipo, wamepunguza kasi ya ujenzi, ilikuwa mwaka huu june liwe tayari. Kwa nn limecheleweshwa? Wanaona sifa zitaenda kwa Magu? Au kulikuwa na njama za kumhujumu mama ili 2025 wamwambie "watu hawakukubali" so usigombee ili kuokoa chama?
Hawa kina Pape na February wanadhani wana hati miliki ya uwaziri. JPM alishawaona hawa. Rais alifanya makosa makubwa kuwarudisha. Mtu ni waziri anafikia kusema " msitetee legacy" 'chama kimerudi kwa wenyewe" halafu mnakaa kimya!
Angalia watu wakitoa maoni tofauti wanavyoswekwa ndani! Haya si ndo mlituaminisha mnayakataa awamu ya tano?
 
Nasubiri ile treni ya umeme ya SGR, yani hii nchi tunaweka siasakwenye kila kitu. Nakumbuka tuliambiwa tutalipwa zaidi ya dola bilioni 100 kwa udhallimu wa mkataba mbovu wa madini na bado watu wakaamini. Aisee tusiweke siasa kwenye vitu muhimu tuambiane tu ukweli na tusipulize vidonda tuvitibu.
 
Kabla ya maharage ukame ulikiwepo na miundombinu ya umeme ni hiyo hiyo. Mtu anateuliwa kwa recommendations za mtu mmoja, february. Halafu kila akiongea anamkingia kifua na kutoa vijembe eti "tulipomteua kuna watu hawakupenda"
Bwawa la JNHPP lipo, wamepunguza kasi ya ujenzi, ilikuwa mwaka huu june liwe tayari. Kwa nn limecheleweshwa? Wanaona sifa zitaenda kwa Magu? Au kulikuwa na njama za kumhujumu mama ili 2025 wamwambie "watu hawakukubali" so usigombee ili kuokoa chama?
Hawa kina Pape na February wanadhani wana hati miliki ya uwaziri. JPM alishawaona hawa. Rais alifanya makosa makubwa kuwarudisha. Mtu ni waziri anafikia kusema " msitetee legacy" 'chama kimerudi kwa wenyewe" halafu mnakaa kimya!
Angalia watu wakitoa maoni tofauti wanavyoswekwa ndani! Haya si ndo mlituaminisha mnayakataa awamu ya tano?
Unaongea upuuzi tuu na blaa blaa zisizo na msingi.

Kwa akili Yako unadhani Umeme haupo Kwa sababu ya MD?
 
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake. Siku tatu zinamtosha kweli au ndo wanamkomoa baba wa watu?

Na Biteko ikaja kujua dili za Luku atamla kichwa mazima.

Kaambiwa nenda kashughulikie Umeme. Alikuwa high Table amekaa kwenye Maonesho yanayoendelea ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

Tarehe 25 Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka

Kutokana na Mgao Mkubwa wa Umeme unaoendelea Nchini, Maharage anadai hakuna Mgao bali ni Upungufu wa umeme.

Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Maharage Chande aliwaomba Wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho kuna Upungufu wa Umeme unaosababisha baadhi ya Maeneo kuwa na Umeme na mengine kukosa Huduma hiyo

Maharage alisema "Katika Mtandao wa Umeme hitilafu huwa zinatokea mara kwa mara na pale zinapotokea Wateja wetu huwa tunawataarifu. Tunapopata upungufu sio Nchi nzima inakuwa haina Umeme ila ni kwa baadhi ya maeneo na huwa tunatoa taarifa"

Sasa baada ya kwambiwa aende kushughulikia umeme, nulijua ataenda site. Cha ajabu yupo Ofisini kwake Ubunge kaka huku tai ameilegeza, inaonekana ana mawazo sana.

Tumuombee presha yake isipande.

Baadhi ya Watanzania wamesema mgao wa umeme umekuwa ukisababisha hasara katika biashara zao mara kwa mara. Na wamelitaka shirika la umeme (TANESCO), kutoa taarifa rasmi ya jinsi mgao huo unavyoendeshwa. Je, kwa sasa Tanesco inazalisha kiwango gani cha umeme? Ni upungufu wa aslimia ngapi?
Haya majitu yanafanya usanii tu. Hakuna jipya. Yameshindwa kila kitu. Huyo Majaliwa na Biteko na bosi wao ndiyo tatizo na walitakiwa kutimuliwa wao kwanza.
 
Lucas mwashambwa acha tabia ya kuwa na double standard! Just imagine Hata huyo unayem praise sana anakufikiriaje! Ungetueleza Maharage ashughulikie tatizo kwa namna gani ukizingatia taasisi nayo ilishakuja na jibu la kwamba shortage inatokana na kuchelewa kwa mvua/upungufu wa maji. And what if kwenye hiko kikao alikuwa na alternatives za ku present. By the way hata ningekuwa mimi ningemtimua tu kwenye hiko kikao kwasababu Maharage was fulfilling his responsibilities on behalf of the one who suggested him to the appointer.
Kwa hiyo mvua hainyeshi Tanzania?Na kama hakuna mvua Tanzania tufanyeje ili tupate umeme?
 
Nimekuuliza Maharage ndio ameleta ukame?

Maharage ndio mtoa pesa za kujenga miradi Nje ya vyanzo vya maji huko Tanesco?

Alishaleta Serikalini kinachotakiwa ni swala la kina Biteko na wenzie kuleta pesa Tanesco sio kukikosha Kwa maigizo ya kijinga.

Mwisho Biteko akiwa MD wa Tanesco anaweza leta Umeme?
Wewe nawe una matatizo sana tena umetawaliwa na utegemezi kwa kiwango kikubwa,unalalamikia mvua je Mungu akichukia akaamua kutoleta mvua kwa miaka mitatu sisi wanadamu tulioumbwa kwa mfano wa Mungu tutakaa tu kusubiria muujiza wa Mwenyezi Mungu?
 
Nani anaemteua? Halafu kwani Maharage Chande ndio kaleta ukame? Maharage ndio mtoa pesa za kuanzisha vyanzo vipya? Upuuzi.

Ila Sasa Kwa Afrika Jamaa wanaodhalilisha hivi na kuongea ndio huonekana Viongozi Sasa 😁😁
Labda mwizi wamejua kwaiyo wananyooka nae taratibu arudishe alicho kwapua kwawatumishi wa tanesco mkuu
 
Usije ukakuta hata vitendea kazi vya kufanya umeme usikatike hawajampatia,viongozi huwa wanatabia ya kujionyesha wema machoni pawananchi,ukifuatia unakuja kugundua
kuwa chanzo cha tatizo ni wao.

Vitendea kazi hana tangu 2021 anafanya nini ofisini? Analipwa mshahara wa nini? Aachie nafasi
 
Back
Top Bottom