Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Wakuu, juzi nimekwenda kuchumbia huko Kanda ya Ziwa, nikaambiwa mahari nitoe milioni mbili na nusu na bado kuna makorokoro mengine huenda ikafika hata milioni 3.

Umri wangu kwa sasa ni miaka 46, nimeamua tu hii pesa nikanunue eneo huko Mpanda Katavi nilime mpunga, nadhani ndani ya miaka yangu mitatu nikijikita na kilimo nitakuwa na uwezo wa kutoa mahari ya milioni 7😁 badala ya kuja huku JamiiForums kulalamika.
 
Miaka 46 hujaoa na wewe wamekuona ni gume gume liloshindikana ni haki wakunyime binti, pili miaka46 bado unaona mil2 ni kubwa miaka yoote ulikuwa wapi
Si alikiwa anatafuta hela[emoji23][emoji23]
 
Chibabu unazingia[emoji23][emoji23][emoji23], toa nusu chukia mke.
 
Kwani unailipa yote kwa pamoja,sisi unaweza lipa hadi ukipata mjukuu Haina deadline
 
Back
Top Bottom