Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

Wakuu, juzi nimekwenda kuchumbia huko Kanda ya Ziwa, nikaambiwa mahari nitoe milioni mbili na nusu na bado kuna makorokoro mengine huenda ikafika hata milioni 3.

Umri wangu kwa sasa ni miaka 46, nimeamua tu hii pesa nikanunue eneo huko Mpanda Katavi nilime mpunga, nadhani ndani ya miaka yangu mitatu nikijikita na kilimo nitakuwa na uwezo wa kutoa mahari ya milioni 7[emoji16] badala ya kuja huku JamiiForums kulalamika.
Sema huna hela tu,mtu anakuzalia watoto unaleta shombo huku,watu wananunulia magari wake zao wewe hata pikipiki utaweza kweli?
 
Wakuu, juzi nimekwenda kuchumbia huko Kanda ya Ziwa, nikaambiwa mahari nitoe milioni mbili na nusu na bado kuna makorokoro mengine huenda ikafika hata milioni 3.

Umri wangu kwa sasa ni miaka 46, nimeamua tu hii pesa nikanunue eneo huko Mpanda Katavi nilime mpunga, nadhani ndani ya miaka yangu mitatu nikijikita na kilimo nitakuwa na uwezo wa kutoa mahari ya milioni 7😁 badala ya kuja huku JamiiForums kulalamika.
Kama unatumia hii 🐽🐖🐷🐷, ni mara 1000, ukasherekee huko, Bila kusahau ndizi + BALIMI, Achana na hao CHUMA ULETE 🤕🤕
 
Wakuu, juzi nimekwenda kuchumbia huko Kanda ya Ziwa, nikaambiwa mahari nitoe milioni mbili na nusu na bado kuna makorokoro mengine huenda ikafika hata milioni 3.

Umri wangu kwa sasa ni miaka 46, nimeamua tu hii pesa nikanunue eneo huko Mpanda Katavi nilime mpunga, nadhani ndani ya miaka yangu mitatu nikijikita na kilimo nitakuwa na uwezo wa kutoa mahari ya milioni 7😁 badala ya kuja huku JamiiForums kulalamika.
Wazo zuri sana
 
1. Nunua Mashine ya kufulia ya laki tano. Unafua mwenyewe bila kumtegemea Mwanamke.

2. Kupika siku hizi sio kazi. Nunua majiko ya kisasa ujipikie mwenyewe.

3. Sio kila Siku unafanya tendo la ndoa.
Ukiwa MTU mzima utahitaji kufanya tendo Kwa wiki mara moja tuu. Hivyo Kwa mwezi mara nne. Hivyo haitazidi laki moja kama ukinunua.
Tofauti na ukioa na ukimlisha Mwanamke na kumhudumia huku ukiparangana naye.
Kuoa ni ghali kuliko kuwa bachelor.

4. Watoto wanapatikana hata pasipo ya kuoa. Sio lazima Uoe ndipo upate Watoto.

5. Heshima ya mwanaume haitokani na yeye kuoa.
Heshima ya mwanaume ni kufanya kazi na kuwa mzalishaji ndani ya jamii.
Wapo Watu wenye majina makubwa ambao hawakuoa, mfano Yesu, Daniel n.k

6. Kama ulikuwa hujui ndoa nyingi Mkeo ndio adui yako namba moja hasa ukiwa katika nyakati ngumu. Hii ni kwa Sababu ndo za siku hizi ni Utapeli.

Kitu kikubwa kitakachokufanya uiendee ndoa ni Upendo tuu. Kama huo haupo ni Bora uwe bachela.
. MANENO YAKO YA DUMU, KWA AJILI YA VIZAZI VINAVYO KUJA. 🙏🙏🙏,
 
Miaka 46 hujaoa na wewe wamekuona ni gume gume liloshindikana ni haki wakunyime binti, pili miaka46 bado unaona mil2 ni kubwa miaka yoote ulikuwa wapi
mbona ni miaka michache tu ya ujanani? Tena hapo anaoa binti mbichi wa miaka ishirini. Age is nothing but a number.
 
Wakuu, juzi nimekwenda kuchumbia huko Kanda ya Ziwa, nikaambiwa mahari nitoe milioni mbili na nusu na bado kuna makorokoro mengine huenda ikafika hata milioni 3.

Umri wangu kwa sasa ni miaka 46, nimeamua tu hii pesa nikanunue eneo huko Mpanda Katavi nilime mpunga, nadhani ndani ya miaka yangu mitatu nikijikita na kilimo nitakuwa na uwezo wa kutoa mahari ya milioni 7😁 badala ya kuja huku JamiiForums kulalamika.

Heshimu class, shida sio 2.5m, shida ni umefuata wanawake wa class tofauti, ni sawa sawa na ulalamikie bei ya fram le kariakoo, bora ukapange Tabata.
 
Yaani mbususu imetumika wee af uje kutoa mahari 2,500,000

Mwezi wa 11 mashamba ya mpunga yanaanza kukodishwa Kansamba kawekeze shambani 2.5M yako mkuu hautajuta

Hawana mchango wowote zaidi ya utelezi tu
 
Wakuu, juzi nimekwenda kuchumbia huko Kanda ya Ziwa, nikaambiwa mahari nitoe milioni mbili na nusu na bado kuna makorokoro mengine huenda ikafika hata milioni 3.

Umri wangu kwa sasa ni miaka 46, nimeamua tu hii pesa nikanunue eneo huko Mpanda Katavi nilime mpunga, nadhani ndani ya miaka yangu mitatu nikijikita na kilimo nitakuwa na uwezo wa kutoa mahari ya milioni 7[emoji16] badala ya kuja huku JamiiForums kulalamika.
Mkuu Bora uoe tu kama suala ni hela na mwanamke amekukubali toa nusu pengine mke ni baraka ukaoa Kuna faida nyingi za mke kuliko hasara maana 46 is enough kwa wewe kuoa,

Gawa hiyo hela kwa mwaka hata miaka miwili mke ni wako utatoa mdogo mdogo huku kilimo kinaendelea na mambo mengine, nadhani ni kupunguza risk nyingi

Achana na wale wa KATAA NDOA ,
 
1. Nunua Mashine ya kufulia ya laki tano. Unafua mwenyewe bila kumtegemea Mwanamke.

2. Kupika siku hizi sio kazi. Nunua majiko ya kisasa ujipikie mwenyewe.

3. Sio kila Siku unafanya tendo la ndoa.
Ukiwa MTU mzima utahitaji kufanya tendo Kwa wiki mara moja tuu. Hivyo Kwa mwezi mara nne. Hivyo haitazidi laki moja kama ukinunua.
Tofauti na ukioa na ukimlisha Mwanamke na kumhudumia huku ukiparangana naye.
Kuoa ni ghali kuliko kuwa bachelor.

4. Watoto wanapatikana hata pasipo ya kuoa. Sio lazima Uoe ndipo upate Watoto.

5. Heshima ya mwanaume haitokani na yeye kuoa.
Heshima ya mwanaume ni kufanya kazi na kuwa mzalishaji ndani ya jamii.
Wapo Watu wenye majina makubwa ambao hawakuoa, mfano Yesu, Daniel n.k

6. Kama ulikuwa hujui ndoa nyingi Mkeo ndio adui yako namba moja hasa ukiwa katika nyakati ngumu. Hii ni kwa Sababu ndo za siku hizi ni Utapeli.

Kitu kikubwa kitakachokufanya uiendee ndoa ni Upendo tuu. Kama huo haupo ni Bora uwe bachela.
Bado Niko 20s lakini naamini ndoa ni baraka

Kununua mbususu Kuna risk zake lakn pia kama mwanamke mnapendana nadhani Bora kuoa kuliko kununua mbususu maan ya kununua siyo ya kudumu,

Lakini hata hivyo kupamban kutafta hela ni muhimu ili likitokea la kutokea ulee watoto wako na usipate shida maana kibunda kipoo,

Tusake kibunda kama una kibunda mwanamke/mapenzi hayatakusumbua.
 
Back
Top Bottom