Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

Mahari hiya ukigawanya kwa mwaka tu je ni hela nyingi? Dah ukiwa huna hela unakuwa mtu wa ajabu

1. Kupeleka nguo kwa dobi kufua wakati unafuliwa - incase unafuliwa

2. Kula kwa mama ntilie mwaka mzima wakati unapikiwa

3. Kununua mbususu na kuhonga hela wakati ipo tu nyumbani

4. Kukuzalia watoto wazuri ambao wanakupa jeuri. Unajiona baba wa kimataifa

5 kukupa heshima kwenye jamii wewe ni kichwa cha familia. Huwezi kiwa single father ukajiita kichwa cha familiar

6. Kuwa na rafiki ambae shida zake ships zako. Aibu yake aibu yako

7. Need I say more?
 
Ni Jambo jema kuoa

Umri ukishasonga kwenye ndoa mama ndo huwa finaΕ‚ say sio mume tena! Chunguza hilo

Ila 46yrs jiandae kupelekeshwa na huyo kiumbe after 5yrs na sijui kama hiyo familia utaweza kuitiisha (sio mama wala watoto watakupuuza tu)
kwa kila jambo jitahidi uwe na kiakiba chako asikijue mwanafamilia ye yote! La sivyo utakoma tu!
 
Umri wote huo Bado huna 2.5 mln tuu? Aisee una Hali mbaya uzeeni
 

Baada ya kuoa mahari 2.5M

1. Kwani sabuni na maji kwa ajili ya kufulia atakuwa anapata bure

2. Kwani chakula anachopikiwa atakuwa anapata bure?

3. Kwani huyo mwanamke atakuwa hapewi pesa za mahitaji yake?

Sent from my HW-01K using JamiiForums mobile app
 
Bado Hujasemaa na UtasemaaπŸ˜…πŸ˜…πŸ‘Œ
 
Miaka 46 hujaoa na wewe wamekuona ni gume gume liloshindikana ni haki wakunyime binti, pili miaka46 bado unaona mil2 ni kubwa miaka yoote ulikuwa wapi
Watu wanajua kuchamba balaaπŸ˜…πŸ˜…
 

1. Nunua Mashine ya kufulia ya laki tano. Unafua mwenyewe bila kumtegemea Mwanamke.

2. Kupika siku hizi sio kazi. Nunua majiko ya kisasa ujipikie mwenyewe.

3. Sio kila Siku unafanya tendo la ndoa.
Ukiwa MTU mzima utahitaji kufanya tendo Kwa wiki mara moja tuu. Hivyo Kwa mwezi mara nne. Hivyo haitazidi laki moja kama ukinunua.
Tofauti na ukioa na ukimlisha Mwanamke na kumhudumia huku ukiparangana naye.
Kuoa ni ghali kuliko kuwa bachelor.

4. Watoto wanapatikana hata pasipo ya kuoa. Sio lazima Uoe ndipo upate Watoto.

5. Heshima ya mwanaume haitokani na yeye kuoa.
Heshima ya mwanaume ni kufanya kazi na kuwa mzalishaji ndani ya jamii.
Wapo Watu wenye majina makubwa ambao hawakuoa, mfano Yesu, Daniel n.k

6. Kama ulikuwa hujui ndoa nyingi Mkeo ndio adui yako namba moja hasa ukiwa katika nyakati ngumu. Hii ni kwa Sababu ndo za siku hizi ni Utapeli.

Kitu kikubwa kitakachokufanya uiendee ndoa ni Upendo tuu. Kama huo haupo ni Bora uwe bachela.
 
Mzee una chuki na wanawake, ulitendwa nini?
 
Aisee..
!!
 
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“ ushauri wa huku ulikua unajua fika utakua wa namna gani πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…