Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

Sema huna hela tu,mtu anakuzalia watoto unaleta shombo huku,watu wananunulia magari wake zao wewe hata pikipiki utaweza kweli?
 
Kama unatumia hii 🐽🐖🐷🐷, ni mara 1000, ukasherekee huko, Bila kusahau ndizi + BALIMI, Achana na hao CHUMA ULETE 🤕🤕
 
Wazo zuri sana
 
. MANENO YAKO YA DUMU, KWA AJILI YA VIZAZI VINAVYO KUJA. 🙏🙏🙏,
 
Miaka 46 hujaoa na wewe wamekuona ni gume gume liloshindikana ni haki wakunyime binti, pili miaka46 bado unaona mil2 ni kubwa miaka yoote ulikuwa wapi
mbona ni miaka michache tu ya ujanani? Tena hapo anaoa binti mbichi wa miaka ishirini. Age is nothing but a number.
 

Heshimu class, shida sio 2.5m, shida ni umefuata wanawake wa class tofauti, ni sawa sawa na ulalamikie bei ya fram le kariakoo, bora ukapange Tabata.
 
Yaani mbususu imetumika wee af uje kutoa mahari 2,500,000

Mwezi wa 11 mashamba ya mpunga yanaanza kukodishwa Kansamba kawekeze shambani 2.5M yako mkuu hautajuta

Hawana mchango wowote zaidi ya utelezi tu
 
Mkuu Bora uoe tu kama suala ni hela na mwanamke amekukubali toa nusu pengine mke ni baraka ukaoa Kuna faida nyingi za mke kuliko hasara maana 46 is enough kwa wewe kuoa,

Gawa hiyo hela kwa mwaka hata miaka miwili mke ni wako utatoa mdogo mdogo huku kilimo kinaendelea na mambo mengine, nadhani ni kupunguza risk nyingi

Achana na wale wa KATAA NDOA ,
 
Bado Niko 20s lakini naamini ndoa ni baraka

Kununua mbususu Kuna risk zake lakn pia kama mwanamke mnapendana nadhani Bora kuoa kuliko kununua mbususu maan ya kununua siyo ya kudumu,

Lakini hata hivyo kupamban kutafta hela ni muhimu ili likitokea la kutokea ulee watoto wako na usipate shida maana kibunda kipoo,

Tusake kibunda kama una kibunda mwanamke/mapenzi hayatakusumbua.
 
Sema huna hela tu,mtu anakuzalia watoto unaleta shombo huku,watu wananunulia magari wake zao wewe hata pikipiki utaweza kweli?
Piki piki used hata laki tano ipo au mpaka aseme [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…