Umerudi kwenye kipengele cha utii wa jeshi kwa Rais.Genge la ccm hulijui. Liko backed na wahuni wengine humohumo.kwenye vyombo vinavyoitwa vya dola.
Subiri Mabeyo aongee na Samia kwanza.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Wanaoonekana mbele ni maccm. Nyuma kuna wahuni wengine pia. Sio utii.Umerudi kwenye kipengele cha utii wa jeshi kwa raisi.
Kama jeshi linatii maagizo ya Rais hakuna muhuni wa kufanya lolote.Wanaoonekana mbele ni maccm. Nyuma kuna wahuni wengine pia. Sio utii.
Sawa.Kama jeshi linatii maagizo ya raisi hakuna muhuni wa kufanya lolote.
Baada ya kuapisha VP, Rais atavunja baraza la mawaziri asubuhi na mida ya mchana atapeleka jina la PM (Majaliwa) bungeni na kesho yake bunge litamthibitisha.Elias John Kuandikwa for VP ndiyo dokezo Hilo ...!
MmhSequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
😂😂😂😂😂😂😂😂Hapo no 5. Rais anawawahi anavunja bunge. Mchezo kwisha
Ndiyo hivyo ni issue ya "timing" tu.
Shikamoo mzee. Kwahiyo unamaanisha mhimili wa rais ni mtu mmoja tu mzee.
Mnadai katiba mpya wakati hii iliyopo hamuijui
Mungu atuepushie. Hatutaziweza hizo gharama za misiba ikiwemo kuzungusha maiti mikoa kadhaa, siku mbili za mapumziko, maombolezo siku 21, magwaride ya kurudiarudia, vyombo vyote vya habari kutumia airtime yote kwenye msiba (sijui wanafidiaje lost revenue), vifo vya waombolezaji wanaokanyagana wakigombea fursa ya kuona maiti nk. Hapana, Mungu awajaalie waishi tu.
Kile kiti cha amiri jeshi ni dhaifu tu endapo jeshi halikutii. Kinyume na hapo hakuna mbunge wala waziri anayeweza kumtoa raisi madarakani kwa mtindo wowote ule ukiondoa kifo au umaututi. Labda raia tena kwa maandamano makubwa sana yanayoambatana na vifo ndo wenye uwezo huo.