Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Nilimtongoza akanikubalia. Ktk chatting akaniuliza jina nalotumia insta nikamtajia, na yeye akanitajia la kwake. Akani-follow. Nikaangalia watu anaowafollow, lahaula nikamkuta Joyce Kiria pale!

Nikaanza fatilia post za Kiria nikakuta mamaa ana-comment kwa kuonyesha anasupport harakati za yule mwanadada. Sikua na jinsi zaidi ya kumtema. Ilichukua dakika 20.
 
Wakuu habari zenu,

Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....

Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.

Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.

Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
 
Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Kwa nn sasa???
 
Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Duuh kilo 2 nyingine alibeba nyumani au [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Kisa kg 2 kitimoto na ndizi 6... 🤣🤣🤣🤣
Huyo alikuwa hali yeye ni majini
 
Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Hukumgegeda mwanawane? 🤣🤣🤣👍
 
Nilimtongoza akanikubalia. Ktk chatting akaniuliza jina nalotumia insta nikamtajia, na yeye akanitajia la kwake. Akani-follow. Nikaangalia watu anaowafollow, lahaula nikamkuta Joyce Kiria pale!

Nikaanza fatilia post za Kiria nikakuta mamaa ana-comment kwa kuonyesha anasupport harakati za yule mwanadada. Sikua na jinsi zaidi ya kumtema. Ilichukua dakika 20.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
Wanawake hawawapendi wanaume wanaowapenda bali wanawapenda wale ambao wapo busy to chase a bag.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wanaume wafanye kazi...
Lakini jaman ss ke tukiwa hatupigiwi simu huwa tunalalamika..tukipigiwa pia tatizo...
Akiuliza umekula inabidi awe ametuma muamala ws chakula
Sasa binti unaishi kwa baba na mama, huo muamala unataka kuupeleka wapi , au unataka kuhongwa na wewe ukamhonge kimwanaume chako.
 
Aka siko hivyo bwana...ntagegedana je na kila mtu? We komaa.
Yani ile serious sana kwakweli sitaki. Watu ni waongo sana.
Nkisema nakupenda lazima nibakishe kilinda moyo
Watu kama wewe wanakuwaga wahuni wahuni.
 
Hahahaaaaa!!! umesema gas imeisha na sijui nafanyaje hapa, umenikukumbusha kitu, hivi kwanini wadada wengi gas huwa inaisha na siku zao za kuzaliwa zinakuwa jmosi ijayo pale tu mkianza mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kutongoza mademu wa uswahilini.
 
Nlienda Mbweni kuzuga jioni na bia mbili tatu kiwanja inaitwa Club belcanto nikaweka pose sehemu nikaona kuna dada mmoja kapendeza anagonga heinken taratiibu nikamthaminisha nikaona anafaa kulumangiwa na ugali,
nimstue mhudumu ampe namba yangu, yule demu akantext tukachat nika mwagizia zingine mbili baridi akaniita nikae nae pale mezani.
Story mbili tatu nikaanza kumshika mapaja demu katulia alivaa kigauni kifupi na Rasta zake hadi kiunoni, baada kumpapasa kwa muda manzi akapata moto akanambia niende kwake nikapafahamu sio mbali na hapo basi tukaenda akamuamsha beki tatu wake akafungua geti nikazama hadi room,
tukaoga kumbe yule manzi mme wake yupo Kaburu (South Africa) so anaishi na ndugu zake pamoja na watoto,
Yeye ana duka la jumla la madawa baridi K,Koo. Kidume nikisikia demu ananyege alafu ni mke wa mtu hua sifanyi makosa nikamsugua mashine kiustadi hadi akatosheka nikaoga tukalala mie saa 9 usiku nikaaga nikasepa bahati mbaya namba yake siku save mpaka leo sikumuona tena ila kwake napafahamu ni penzi la masaa tu.
 
Mie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
Kwa hiyo kukupigia simu mara kwa mara ndio lilikuwa kosa lake?,Ila Kweli wanawake hamueleweki,mpo km chura haijulikani mmechuchumaa au mmekaa.Mwanaume akuonesha kukujali mnasema msumbufu,akikupigia simu mara mojamoja,mnasema hawajali,sasa mnataka tufanyeje?.
 
Nlienda Mbweni kuzuga jioni na bia mbili tatu kiwanja inaitwa Club belcanto nikaweka pose sehemu nikaona kuna dada mmoja kapendeza anagonga heinken taratiibu nikamthaminisha nikaona anafaa kulumangiwa na ugali,
nimstue mhudumu ampe namba yangu, yule demu akantext tukachat nika mwagizia zingine mbili baridi akaniita nikae nae pale mezani.
Story mbili tatu nikaanza kumshika mapaja demu katulia alivaa kigauni kifupi na Rasta zake hadi kiunoni, baada kumpapasa kwa muda manzi akapata moto akanambia niende kwake nikapafahamu sio mbali na hapo basi tukaenda akamuamsha beki tatu wake akafungua geti nikazama hadi room,
tukaoga kumbe yule manzi mme wake yupo Kaburu (South Africa) so anaishi na ndugu zake pamoja na watoto,
Yeye ana duka la jumla la madawa baridi K,Koo. Kidume nikisikia demu ananyege alafu ni mke wa mtu hua sifanyi makosa nikamsugua mashine kiustadi hadi akatosheka nikaoga tukalala mie saa 9 usiku nikaaga nikasepa bahati mbaya namba yake siku save mpaka leo sikumuona tena ila kwake napafahamu ni penzi la masaa tu.
😀 😀 😀 😀bora hukusave namba maana
 
Back
Top Bottom