makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
😂 😂 😂Hahaha aling'ang'ana kwenda kwaya me nkamwambia asiende namhitaj mda huo. Nlijua kabisa ataenda ...aliporudi akakutana na kibuti saaafii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂Hahaha aling'ang'ana kwenda kwaya me nkamwambia asiende namhitaj mda huo. Nlijua kabisa ataenda ...aliporudi akakutana na kibuti saaafii
Ukatili huo jamaa anakupenda usimfanyie hivyoUsiku mmoja
Nilitongozwa nkatumiwa kanyimbo ka dedication
Usiku huo huo akaniombe kesho niende kwake akanigegede
Bado sijamjibu namtafutia jibu kenge yule…
Akawapende wengine me sitaki mkuuUkatili huo jamaa anakupenda usimfanyie hivyo
Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafutaWakuu habari zenu,
Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....
Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.
Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.
Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
HahahahhaaahahahNilishawahi kuwa kwenye mahusiano, sijui yana husiana na nini.
STAMINA.
Kwa nn sasa???Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Duuh kilo 2 nyingine alibeba nyumani au [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Kisa kg 2 kitimoto na ndizi 6... 🤣🤣🤣🤣Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
Hukumgegeda mwanawane? 🤣🤣🤣👍Nilianzisha mahusiano na bint wa chuo akiwa mwaka wa pili Dar, mdada mrembo sana wa Kihaya,jioni ya siku hiyo tukatoka for dinner,mwanachuo akaagiza kitimoto kg mbili na ndizi sita,mi nikaagiza kuku nusu na ndizi moja pale pale after dinner sikuwa na story nae na no nikafuta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilimtongoza akanikubalia. Ktk chatting akaniuliza jina nalotumia insta nikamtajia, na yeye akanitajia la kwake. Akani-follow. Nikaangalia watu anaowafollow, lahaula nikamkuta Joyce Kiria pale!
Nikaanza fatilia post za Kiria nikakuta mamaa ana-comment kwa kuonyesha anasupport harakati za yule mwanadada. Sikua na jinsi zaidi ya kumtema. Ilichukua dakika 20.
Wanawake hawawapendi wanaume wanaowapenda bali wanawapenda wale ambao wapo busy to chase a bag.Mie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
Sasa binti unaishi kwa baba na mama, huo muamala unataka kuupeleka wapi , au unataka kuhongwa na wewe ukamhonge kimwanaume chako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wanaume wafanye kazi...
Lakini jaman ss ke tukiwa hatupigiwi simu huwa tunalalamika..tukipigiwa pia tatizo...
Akiuliza umekula inabidi awe ametuma muamala ws chakula
Watu kama wewe wanakuwaga wahuni wahuni.Aka siko hivyo bwana...ntagegedana je na kila mtu? We komaa.
Yani ile serious sana kwakweli sitaki. Watu ni waongo sana.
Nkisema nakupenda lazima nibakishe kilinda moyo
Acha kutongoza mademu wa uswahilini.Hahahaaaaa!!! umesema gas imeisha na sijui nafanyaje hapa, umenikukumbusha kitu, hivi kwanini wadada wengi gas huwa inaisha na siku zao za kuzaliwa zinakuwa jmosi ijayo pale tu mkianza mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo kukupigia simu mara kwa mara ndio lilikuwa kosa lake?,Ila Kweli wanawake hamueleweki,mpo km chura haijulikani mmechuchumaa au mmekaa.Mwanaume akuonesha kukujali mnasema msumbufu,akikupigia simu mara mojamoja,mnasema hawajali,sasa mnataka tufanyeje?.Mie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
😀 😀 😀 😀bora hukusave namba maanaNlienda Mbweni kuzuga jioni na bia mbili tatu kiwanja inaitwa Club belcanto nikaweka pose sehemu nikaona kuna dada mmoja kapendeza anagonga heinken taratiibu nikamthaminisha nikaona anafaa kulumangiwa na ugali,
nimstue mhudumu ampe namba yangu, yule demu akantext tukachat nika mwagizia zingine mbili baridi akaniita nikae nae pale mezani.
Story mbili tatu nikaanza kumshika mapaja demu katulia alivaa kigauni kifupi na Rasta zake hadi kiunoni, baada kumpapasa kwa muda manzi akapata moto akanambia niende kwake nikapafahamu sio mbali na hapo basi tukaenda akamuamsha beki tatu wake akafungua geti nikazama hadi room,
tukaoga kumbe yule manzi mme wake yupo Kaburu (South Africa) so anaishi na ndugu zake pamoja na watoto,
Yeye ana duka la jumla la madawa baridi K,Koo. Kidume nikisikia demu ananyege alafu ni mke wa mtu hua sifanyi makosa nikamsugua mashine kiustadi hadi akatosheka nikaoga tukalala mie saa 9 usiku nikaaga nikasepa bahati mbaya namba yake siku save mpaka leo sikumuona tena ila kwake napafahamu ni penzi la masaa tu.