Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

[emoji1787] ila wanaume na hiyo kauli yenu ya sitofanya kitu kabisa huwa inaniacha hoi
Mm hata cku moja siwez mdanganya dem eti stofanya ktu hapaaana huwa spendi kupotezeana muda. Kuna cku nimepata looseball nkaingia nalo geto. Mida ya kulala ananiambia yy analala kwny kiti, nkamwambia haiwesekani ulale kwenye kiti akat kitanda kpo. Akakaza kwamba nkitaka alale ktandan bas nimuahid kwamba atutafanya ktu. Nkamwambia live "mm siwez lala na mwanamke afu nisimt.o.m.be. bas bwana kukawa na kaubish ka hapa na pale mwishoe nkamwambia bas fanya hv kwa kua saiz bado mapema (ilikua saa 6 ucku) wacha nkurudishe nlikokutoa mana nsije nkakubaka buree. Akakubali nkamrudisha
 
Mimi yalikua ya week 2 na msambaa mmoja wa Tegeta iyo siku nimetoka kumnyandua narud zangu mabibo niko kwny traffic ya mwenge akaanza kupga simu kipuuz me nikamwambia hiz calls hata ziwe nyingi vip haziwez kuungana kuwa wimbo tulia,ndo km tukakaushiana mazma, alikua mtamu sana anarotate kila upande,iyo cku nimempga akaona simwagi ikabid aanze blow job nikammwagia mdomoni nyieeee Tanga mapenz yapo sio hadithi za kusadikika
Inategemeana na mtu tu braza.Kuna limoja nilikutana nalo tena huko huko tanga yan zitoo kama gogo la Mbuyu
 
Tumekutana kazini kwake
nikakasemesha kakasemeka, jioni nikaombwa zawadi nikapeleka,kesho nikuombwa bando nikaunga kesho nikaombwa 50,000 isiyo hata na maelezo.
Nikaona hapa kuna hesabu za kuzidisha tu nikatulia.
Hivi wanawake wanaomba omba at the beginning huwa wanafikiria nini ambacho wengine hatukijui labda??
Ahahahah....hii ilikua geometric progression mkuu 😂😂😂
 
Tulikutana mgawani macho yakakutana,nikamkonyeza akanirudishia mkonyezo..!
Haikuwa rahisi kumfuata alipokaa bali nilipomaliza nilienda kwa cashier nikalipa vyake na vyangu, kisha nikatoka nje nikamsubiri
Miaka hiyo hakukuwa na boda hivyo nilikodi baiskeli ya kumsindikiza aendako(alikuwa teyari keshatangulia)

Safari yetu iliishia shamba la migomba.. Kufumba na kufumbua alishasaula na kulala chini huku kachanua miguu.. Ilinichukua sekunde chache kujua ni chizi fuleshi
Mbio nilizotimua baada ya hapo sitakaa nikimbie vile tena maana kugeuka nyuma kaniungia uchi wa mbuzi huku akipiga kelele kwamba lazima nimuoe..[emoji24][emoji24][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mshana jr nilete vitumbua?
 
Si mseme mnauza ili tujue moja.
Nimekutongoza umekubali, ndani ya saa 1 unaanza kuniambia umeme umeisha, gesi sijui unadaiwa n.k
Huwa inakata stimu sana. Utakuta mwanamke anakuomba 50K unamwambia hauna anakasirika wakati yeye hana hiyo hela.
Na hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??

Mbona mnapenda kujiona watakatifu sana,,wakati chanzo ni nyie

Ukitulia na hizo hamu hakuna atakae kuomba pesa zaidi ya dada zenu.
 
😀 😀 😀changamoto sana ndo maana hata mwanamke wa kubebishana sana sijui kutumiana msg siku nzima yani hatudumu hata siku moja
Ahahahaha....braza hata mimi nilikua kama wewe ila bwana nina almost mwez sasa nachatishwa na katoto hapa mpaka najishangaa ndio mimi au 😂😂😂😂..naweza chat almost siku nzima weekend..Af nashaangaa sijaombwa bado hela ndio nashangaa hapa kuna kitu lazima hakiko sawa nsije shtukiwa napigwa na kitu kizito chenye ncha kali bila kutegemea maana siku hiz aahh hapana
 
Wakuu habari zenu,

Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....

Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.

Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.

Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
Wewe wiki?
Mimi Jana niliingia kwenye mahusiano na mdada mmoja maeneo ya Kimara golani. Tulikaa meza moja nikaagiza kitimoto tukashirikiana kula, baada ya beer tulihamia Gest ya jirani kufika saa tano usiku akavunja mahusiano kisa anawahi watoto wake. Yeye ni single maza
 
Late mama alinipatia story moja kwamba wakati mapenzi yakiwa moto hawajafunga ndoa bado wakifika hotelini baba alikuwa anatoa hela yeye ili alipe lakini mama akawa anakataa anamwambia hata yeye (mama) Ana mshahara hivyo atalipa yeye.
Lakini hapa angalau baba alikuwa anaonesha uanamume wake kwa kutaka kulipa ndipo bi mkubwa akawa anakataa
 
Wewe wiki?
Mimi Jana niliingia kwenye mahusiano na mdada mmoja maeneo ya Kimara golani. Tulikaa meza moja nikaagiza kitimoto tukashirikiana kula, baada ya beer tulihamia Gest ya jirani kufika saa tano usiku akavunja mahusiano kisa anawahi watoto wake. Yeye ni single maza
Hahaha
 
Wakuu habari zenu,

Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....

Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.

Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.

Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
Alikupiga pumb.u mara ngapi huyo jobless,
 
Mimi week moja tu , yule mhaya alikuwa na shepu moja matata sana , chocolate calor , ila shida ilikuwa sura naona baba ake alikamia shoo hadi akatoa copy Kwa binti yake nilipopata utelezi nikasepa Kwa speed ya mwanga, tukikutana hadi leo ananilaumu japo amoelewa.

Mimi nabaki kumsingizia shetani wa watu kumbe tamaa zangu tu.
 
Back
Top Bottom