Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Mkuu yaani story iwe ukweli ama kutunga Ila nashukuru Sana imenipa SoMo. Ubarikiwe Sana mkuu Sina Cha kujilipa.kuna watu utakuwa umewaokota ujue
Km umepata somo bac hio ndio furaha yangu,ila sikushurutishi kuamini km ni uongo ama ukweli,ukihisi ni uongo bac iache hapo itawafaa wengine,Nina kazi zangu mkuu,nimetumia karibu wiki nzima kuiandika kabla cjaileta humu,kwa nn nitumie muda wangu na mb zangu kuleta uongo?....kwani nalipwa hapa mkuu,??,,ni moyo wangu tu umetaka kutoa ushuhuda,na Leo najihisi mwepesi sana mwili wangu,huu mzigo nimeutua leo
 
Thanks for sharing your story with us bro
Mwenye kujifunza na ajifunze

Mungu amekutunuku mke mwema bro usije ukarudi kuumiza hisia zake kaka
Nashukuru sana Valentina ,Ninaingia mwaka wa pili sasa bila kushiriki zinaa,nimekuja kugundua kuwa mke anatosha kabisa,halafu kumbe mke wa ndoa ni mtamu zaidi nilikuwaga cjajua,
 
Sehemu ya mwisho...........
........................

Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola nikaamua kuchanja kwa miguu hadi bamaga,bamaga nikakata kulia ile njia inayopita mabatini moja kwa moja,nikatembea kwa miguu hadi Biafra, muda huo nafika Biafra ni mchana SAA tisa,nikaingia kwa wakala nikatoa laki 3 crdb,nikapanda boda kurudi sinza tena maana nishachoka kutembea kwa miguu,nikafika mahali nikaona kibao cha massage nikaingia.kufika ndani nakuta mabinti kibao wote nusu uchi,udenda ukanitoka,nikaulizia bei ya
Daaah!! Maisha yana zaidi ya changamoto kwa kweli.. pole sana mdau, hakika nimechukua yaliyobora [emoji1374]
 
Sehemu ya mwisho...........
........................

Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola nikaamua kuchanja kwa miguu hadi bamaga,bamaga nikakata kulia ile njia inayopita mabatini moja kwa moja,nikatembea kwa miguu hadi Biafra, muda huo nafika Biafra ni mchana SAA tisa,nikaingia kwa wakala nikatoa laki 3 crdb,nikapanda boda kurudi sinza tena maana nishachoka kutembea kwa miguu,nikafika mahali nikaona kibao cha massage nikaingia.kufika ndani nakuta mabinti kibao wote nusu uchi,udenda ukanitoka,nikaulizia bei ya
Dah leo nimepata big lesson, kuna vtu unaweza kuvichukulia poa lakn kumbe ndivyo vinavyokupelekea ur downfall Thanks bro

Lesson well learned [emoji18]
 
Sijatoka kapa nimejifunza kitu kikubwa sana aise, mechi ya kesho wacha niihairishe. Naamuru ashindwe yule binti kesho asikumbuke ila akikumbuka daaah itakavyokuwa basi tena.
 
Masha'Allah umepata mke mtiifu mwenye kukumbuka ibada Mashaa'Allah,nimeishia hapo kwenye sifa za mkeo.mie ni mvivu kusoma.
 
Nashukuru sana Valentina ,Ninaingia mwaka wa pili sasa bila kushiriki zinaa,nimekuja kugundua kuwa mke anatosha kabisa,halafu kumbe mke wa ndoa ni mtamu zaidi nilikuwaga cjajua,
"kumbe mke wandoa ni mtamu zaidi"

Ni afadhali umegundua hilo kaka, ni vile muda mwingine tunaruhusu mambo mengi kutuzonga kiasi cha kushindwa kutambua thamani/uzuri wa kile tulichonacho kwa wakati huo
 
Dah imenigusa hii japo mm ni kijana wa miaka 24 na huu umri ndo nimeanza kulala na mwanamke japo sijaoa ila nikasalitiwa na huyu mwenza wangu...Naomba Allah aniepushe na hizi tamaa mbaya Alhamdulillahi
 
Mkuu Hawa walishaachana na mme wake mwezi wa nne sasa na anakusaka kweli utimize ahadi yako ya kumchukua kama mke wa pili
 
Kaka hongera sana kwa story nzuri, ila kwa kuongezea, kwenye biashara unatakiwa uchague mambo 2.
Moja, biashara yako imtegemee Mungu
Pili, biashara zako imtegemee shetani.
Ukitaka namba 2, nenda kwa mganga atakupa masharti na jitahidi uyatekeleze.
Ukitaka namba 1, tekeleza masharti haya 4 ndio utafanikiwa:
1. Usizini
Biashara na uzinzi havipikiki Chungu kimoja, chagua kuwa malaya au biashara. Siku utakapozini, ndio siku utakapofirisika. Kwenye ulimwengu wa roho utakuwa umefirisika, ila kimwili inaweza kuchukua Muda hata mwaka, maana mtaji huwa unapukutika kidogokidogo.
2.Usidhulumu
Sijajua kwa nini, lakini Dhuluma na kufanikiwa kwa njia za kimungu hazifungamani. Hata uwe mtoa sadaka na zaka, maombi na kukesha kanisani, kama hiyo biashara umeanza kudhulumu, jua umekaribisha roho ya kufirisika. Ni mara mia usubiri faida ndogo ndogo halali, itakuchukua Muda lakini biashara itastawi kila siku.
3. Toa sadaka na zaka
4. Sali
Hii ya kusali haiitaji kuomba kutwa makanisani, ni kuwa na mahusiano mazuri na Mungu wako kwa maana ya kumpelekea Haja zako. Kwa hiyo hata kama usipoenda kanisani, jitahidi uwe na hata nusu saa kwa siku na Mungu wako.
Note:
Hizi ni sheria za kiroho ili utoboe kibiashara kwa kumtegemea Mungu, kama hutaki kuzifuata na unataka kutoboa kibiashara please kimbilia kwa waganga. Full stop

Ikikupendeza, nitaandika masharti ya kimwili, hayo yalikuwa ya kiroho
 
Kaka hongera sana kwa story nzuri, ila kwa kuongezea, kwenye biashara unatakiwa uchague mambo 2.
Moja, biashara yako imtegemee Mungu
Pili, biashara zako imtegemee shetani.
Ukitaka namba 2, nenda kwa mganga atakupa masharti na jitahidi uyatekeleze.
Shusha nondo, Mkuu
 
Hivi wanawake wenyewe wanasemaje wamerizika kabisa tunavyoamua kuwafungia Vioo [emoji1787][emoji1787]
Shida iko hapo, wenyewe awakubali sisi tuwe wema na family zetu
Inabd tufunge vioo hakuna namna wapambane kivyao.
 
Mwanamke km hajaamua kukuacha yeye,mara nyingi hata ukiamua umpige chini inakuwa ngumu sn kuachana nae..tena km mkiwa mnafanya kazi pamoja au watu mnaoonana mara Kwa mara,ni ngumu sn kuchomoa

Kwa nijuavyo Mimi mwanamke ndy anaacha

Nimejaribu kumuacha binti Fulani mara kadhaa tena na mikwara mizito lkn akilia lia kidogo tu namrudia
Mimi huwa siachi nawasahau tu, badae nkiwa n genye namtafuna
 
Back
Top Bottom