IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,915
- 5,233
Sio ustaarabu kuweka uzi ndani ya uzi,unaharibu maudhui ya primary threadWewe andika uponye watu Kuna watakaofaidika na Hilo darasa huru ndani ya uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ustaarabu kuweka uzi ndani ya uzi,unaharibu maudhui ya primary threadWewe andika uponye watu Kuna watakaofaidika na Hilo darasa huru ndani ya uzi
Umezingua na excuse yako banaSio ustaarabu kuweka uzi ndani ya uzi,unaharibu maudhui ya primary thread
PoleUmezingua na excuse yako bana
Nimependa sana jinsi ulivyomalizia, kiukweli kabisaa hakuna dhambi mbaya kama uzinziSehemu ya mwisho...........
........................
Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.
Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.
Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787]Exactly, hapa nimeamua tu kuwashirikisha watu wajifunze wao,mm kwangu yalishapita na nikishajifunza na sasa namshukuru Mungu nimeacha,naomba Mungu anijaalie niache moja kwa moja
No mkuu ain't serious at all..mi nakutania bana[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]😳 nimeacha 4 real witnessj
Story tamu[emoji12]Inaendelea 5.,........,...
..............
Nikawa kama ndio nimeuwasha moto kwa wake za watu,Nakumbuka mahali nilipojenga na kuhamia kuna jirani yangu ambae mkewe alikua rafiki wa mke wangu,huyu nampa nick name Mwajuma,
Duh!!Inaendelea 8.............
Nikajilaumu sana kwa kutokuwa makini maana nilishachoka kuwa na mahusiano na wake za watu,nikajiona ni mjinga nisiokuwa makini,lkn nikajiuliza tena,hata kama Hawa alinidanganya mbona kwa muda wote huu nimekuwa nae na tumekuwa tunajivinjari tu bila woga?
Mashaa'AllahSehemu ya mwisho...........
........................
Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola nikaamua kuchanja kwa miguu hadi bamaga,bamaga nikakata kulia ile njia inayopita mabatini moja kwa moja,nikatembea kwa miguu hadi Biafra, muda huo nafika Biafra ni mchana SAA tisa,nikaingia kwa wakala nikatoa laki 3 crdb,nikapanda boda kurudi sinza tena maana nishachoka kutembea
Oooohh kukesha kusoma story,oooh nimemaliza[emoji23][emoji23]Sehemu ya mwisho...........
........................
Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola nikaamua kuchanja kwa miguu hadi bamaga,bamaga nikakata kulia ile njia inayopita mabatini moja kwa moja,nikatembea kwa miguu hadi Biafra,