Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, mm nimechagua kwa Mungu, nae sitanii wala cmjaribu Mungu, naimani atanipiganiaKaka hongera sana kwa story nzuri, ila kwa kuongezea, kwenye biashara unatakiwa uchague mambo 2.
Moja, biashara yako imtegemee Mungu
Pili, biashara zako imtegemee shetani.
Uzuri wa Mungu hana fake blessings na mafanikio ya Mungu hayana Majuto, mafanikio ya shetani lazima yaambatane na majutoAsante mkuu, mm nimechagua kwa Mungu,nae sitanii wala cmjaribu Mungu,naimani atanipigania
Watu wengi wanatamani wawe na mke kama wako, msikilize mkeo hutaweza kurudia uchafu tena.Amiin mkuu, nashukuru sana kwa dua zako,ila wkt mwingine uniombee na mm nisije nikathubutu kutamani kurudia uchafu wa nyuma,
Andika ya kimwili piaKaka hongera sana kwa story nzuri, ila kwa kuongezea, kwenye biashara unatakiwa uchague mambo 2.
Moja, biashara yako imtegemee Mungu
Pili, biashara zako imtegemee shetani.
Ukitaka namba 2, nenda kwa mganga atakupa masharti na jitahidi uyatekeleze.
Ukitaka namba 1, tekeleza masharti haya 4 ndio utafanikiwa:
1. Usizini
Biashara na uzinzi havipikiki Chungu kimoja, chagua kuwa malaya au biashara. Siku utakapozini, ndio siku utakapofirisika. Kwenye ulimwengu wa roho utakuwa umefirisika, ila kimwili inaweza kuchukua Muda hata mwaka, maana mtaji huwa unapukutika kidogokidogo.
2.Usidhulumu
Sijajua kwa nini, lakini Dhuluma na kufanikiwa kwa njia za kimungu hazifungamani. Hata uwe mtoa sadaka na zaka, maombi na kukesha kanisani, kama hiyo biashara umeanza kudhulumu, jua umekaribisha roho ya kufirisika. Ni mara mia usubiri faida ndogo ndogo halali, itakuchukua Muda lakini biashara itastawi kila siku.
3. Toa sadaka na zaka
4. Sali
Hii ya kusali haiitaji kuomba kutwa makanisani, ni kuwa na mahusiano mazuri na Mungu wako kwa maana ya kumpelekea Haja zako. Kwa hiyo hata kama usipoenda kanisani, jitahidi uwe na hata nusu saa kwa siku na Mungu wako.
Note:
Hizi ni sheria za kiroho ili utoboe kibiashara kwa kumtegemea Mungu, kama hutaki kuzifuata na unataka kutoboa kibiashara please kimbilia kwa waganga. Full stop
Ikikupendeza, nitaandika masharti ya kimwili, hayo yalikuwa ya kiroho
Nitaaribu uzi wa watuAndika ya kimwili pia
Hayo makubaliano yanawezekana siku mbili za mwanzo, siku zinazofuata ni majangaKuna ambaye nimemweka blacklist maana nilishamwambia usitume SMS wala kupiga simu tofauti na SAA kumi...yy haelewi
Na lalamiko lake ni hilohilo hajawahi kukojoleshwa,mbaya zaidi anapenda hela hataree
Wewe andika uponye watu Kuna watakaofaidika na Hilo darasa huru ndani ya uziNitaaribu uzi wa watu