kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka una hofu kapita na shemeji? Au kuna mke wa mtu kipande hicho ana umeme?Aiseee..... Hujawahi kutia na mke wa mtu anayeishi mitaa ya Sakina silent?
Mwanzoni kabisa amesema hataki ushauri maana ni mambo yaliyokwishapita.Mkuu lete mzigo wote hapa, bado tunanguvu za kusoma. Lakini pia itatoa fursa ya kuweza
kukushauri vizuri!
Ingawa kutokana na hiki ulichoandika naweza kukushauri ni kuwa, achana mahusiano kabisa na hao mademu, ni wazi wanaume hatutosheki na mwanamke mmj hata awe na sifa zote za kuitwa mke lakin ni vyema kama unachepuka chepuka kwa umakini mkubwa sana.
Una mke mzuri na mcha Mungu, una bahati sana, wengi wanaochepuka chanzo huwa ni migogoro ndani ya nyumba kutokana na mke/mume kuwa pasua kichwa, sasa wewe nyumba yako iko stable lakini bado unatafuta cha mtemakuni kwa kufanya mahusiano ya kizembe. Achana na habari za kutumiana mameseji ya mara kwa mara.
Mwisho huyo mwanamke atakapochoka atakuchia uchizi sababu atakuacha au kufanya tukio likalo acha kovu milele.
Mjuba kasema anachezeaga Kisongo, Tengeru na usa river, sasa huko Sakina aje kufanya nini bwashee usihofu hapitagi hukoAiseee..... Hujawahi kutia na mke wa mtu anayeishi mitaa ya Sakina silent?
Tena unaweza kuanza nae bikra akaja kupata moto nje wa maana unaozidi wa uliyembikiri, akagundua kumbe mambo iko huko akaanza mauzauza ukashangaa.mwanamke yoyote unaoa bwana acha jidanganya na bikra mkuuu
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.Yani mbongo bana akipata kitu lazima awatese wenzie, sasa huyu mwamba anasema kabisa stori anayo ni ya kupaste tu lakini mpaka atuzunguushee....dah yani ndio maana hii nchi kuendelea kazi sana
Kuchepka ni hulka tu tulionayo wanamume. Haijalishi mkeo ametulia au hajatulia. Na tunavyochepuka sio kwamba hatuwapendi wake zetu.Mkuu lete mzigo wote hapa, bado tunanguvu za kusoma. Lakini pia itatoa fursa ya kuweza
kukushauri vizuri!
Ingawa kutokana na hiki ulichoandika naweza kukushauri ni kuwa, achana mahusiano kabisa na hao mademu, ni wazi wanaume hatutosheki na mwanamke mmj hata awe na sifa zote za kuitwa mke lakin ni vyema kama unachepuka chepuka kwa umakini mkubwa sana.
Una mke mzuri na mcha Mungu, una bahati sana, wengi wanaochepuka chanzo huwa ni migogoro ndani ya nyumba kutokana na mke/mume kuwa pasua kichwa, sasa wewe nyumba yako iko stable lakini bado unatafuta cha mtemakuni kwa kufanya mahusiano ya kizembe. Achana na habari za kutumiana mameseji ya mara kwa mara.
Mwisho huyo mwanamke atakapochoka atakuchia uchizi sababu atakuacha au kufanya tukio likalo acha kovu milele.
Daaahh wadau mnajua kufanya ufafanuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.
Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.
Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
Vipi tena Vale..?Aise
Wanawake wengi sana, wanalalamika kwa michepuko yao suala la kukojoleshwaKuna ambaye nimemweka blacklist maana nilishamwambia usitume SMS wala kupiga simu tofauti na SAA kumi...yy haelewi
Na lalamiko lake ni hilohilo hajawahi kukojoleshwa,mbaya zaidi anapenda hela hataree