Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Mwanzoni kabisa amesema hataki ushauri maana ni mambo yaliyokwishapita.
 
Mtu ukianza umalaya na kuchepuka kuacha inakuaga ngumu sana wake zetu watuvumilie tu
Mi hapa nimepata kitoto kidogo ndio kimemaliza form six mwaka huu ni mtoto wa mjeda hili ni janga naona kipigo kinanukia kwangu
 
Yani mbongo bana akipata kitu lazima awatese wenzie, sasa huyu mwamba anasema kabisa stori anayo ni ya kupaste tu lakini mpaka atuzunguushee....dah yani ndio maana hii nchi kuendelea kazi sana
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.

Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.

Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
 
Kuchepka ni hulka tu tulionayo wanamume. Haijalishi mkeo ametulia au hajatulia. Na tunavyochepuka sio kwamba hatuwapendi wake zetu.
 
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.

Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.

Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
Daaahh wadau mnajua kufanya ufafanuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…