Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Jamaa una visa vizito sana, ila ndo ubinadamu sometimes inabid upitie hayo ili ujifunze na ufunze wengine kupitia kwako.
 
Naahukuru mkuu,yalishapita hayo,Nashukuru Mungu nilitoka salama japo kwa mbinde
 
Mwanzoni kabisa amesema hataki ushauri maana ni mambo yaliyokwishapita.
Exactly, hapa nimeamua tu kuwashirikisha watu wajifunze wao,mm kwangu yalishapita na nikishajifunza na sasa namshukuru Mungu nimeacha,naomba Mungu anijaalie niache moja kwa moja
 
Kiukweli wake za watu wanaliwa sana tena sana ....
narudia tena wake za watu wepesi kulika kiulaini na wanaliwa mnooooo na masela kitaa.
Jamani eee sijui kama mnanielewa yaani now days mbususu za wake za watu zinachakatwa vilivyo.
Kama umeoa shukuru sana mke wako hujamkamata ila amini nawaambia wanawake hawa ni wanjanja mno kutuzidi sisi wanaume!
 
Daah,we jamaa kiboko.Hujapata Ukimwi kweli?
Ukweli wa moyo namshukuru Mungu aliniepusha maana ningemuua mke wangu mwema,nadhani kilichosaidia ni kutumia condom sana,ni wanawake wawili tu nilienda nao kavu na namshukuru nilipita salama
 
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.

Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.

Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
Kuwa na imani mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…