ndiyo laana zenyeweKwa mtu mwenye akili sawa, hata ukiwa unaimbisha kabinti dada yako wa damu akapita, stimu zinakata sasa sijui unaanzaje kushika hata chupi ya dada ako
[emoji1303][emoji1303][emoji1303]Mabinti siku hizi wanamavazi ya ajabu sana.
Niliwahi kuongea na ndugu mmoja,
Alinambia x anavaa vibaya sana.kwa mwanaume rijali yoyote hawezi kuvumilia uvaaji ule akamwacha apite salama.
Alinambia hajawahi fanya naye chochote,
Ila aliwahi mtamani kwa sababu ya mavazi yake anayovaaa
My take....wazazi wawe waangalizi na mavazi wanayovaa watoto mbele ya ndugu zao.kaka mmoja...
Acheni uzungu...
ushauri muruwa kabisa1. Usiruhusu Watoto wako wa kike na wakiume kulala chumba kimoja au kitanda kimoja hata kama ni wadogo kamwe usiwazoeshe kulala kitanda kimoja, weka mpaka kati ya wakike Na wakiume.
2. Zungumza Na wanao mara Kwa mara, wafumdishe maadili mema haswa ya kuheshimiana Na pia kujitambua , dada ni nani Na kaka ni nani.
3. Hakikisha wanao wanapata mafundisho ya kidi, nyumbani au kanisani au madrasa au msikitini bila kukosa.
4.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]mara nyingi hii inatokana na too much uzungu na jufungia watoto ndani..ni bora kumfungia kijana wa kiume na beki 3 ndani kuliko yeye na dada yake hususani kwa vijana waliopo kwenye kipindi cha balehe.......mwisho wa siku huwa wanakulana wenyewe kwa wenyewe...
jamani jambo la msingi ni kuwapa elimu ya afya ya uzazi na kuwapa freedom huku ukimonitor mwenendo wao..lasivyo utavuna viumbe visivyokuwa na majina....
[emoji1317][emoji1317][emoji1317]Dhambi yoyote ili iwe kubwa inatakiwa itendwe kwa kudhamiria, makusudi na iwe na athari kubwa.
kwa hiyo ni laana za baadhi ya kooHilo la kufuatilia ukoo nakubal asee..niliishi sehemu moja..
Kaka na Dada walikuwa wanakulana ikaleta shida.. Uncle yao mmoja akawa anwapa hela ya guest wasiwe wanafanyia nyumbani..
Kuja kuskia..karbia robo ya ukoo wanakulana..ko ishakuwa kama laana wao wanaona kawaida tu
Ila nasikia waarabu ruksa kula tunda ikiwa ni mtoto wa baba mkubwa na mdogo
DUMU KUBWA
Nadhani hivyo mkuu...inakua kama roho inafuatilia..uzao hadi uzao
hii stori nimeikuta Kule Nairaland kama ilivyo wanasema imetokea Lagos. Hii in ya kutunga kabisa. Haiwezekan na inasambazwa tuDuh wapi huko Mkuu?🙆🏽♂️
Nimekopi na kupest mkuu
Mimi pia nimeona familiia 4 za hivo....japo ni baba na wana..Mkuu Dunia imeisha, seriously wazee wanawavunjia ndoa mabinti zao sababu ya kuwagonga, mi Niko Pwani.
Nikujibu namba nne,ndugu wa damu kuoana iko kwenye prohibited degree na sheria ya ndoa ya 1971 inakataza walio katika hali hiyo kuoana.Ikitokea mkaoana basi hiyo inakuwa void abnitio yaaani ni jambo batili lisilotambulika uwepo wake.Mtu yeyote aweza lipinga mahakamani na likawa declared null and void.Habari ya jioni wakuu na tuendelee kuchukua tahadhari Corona ipo.
Niende kwenye mada. Nimekuwa nikisoma maandiko mbalimbali ya watu wanaoomba ushauri kuhusu suala la kaka na dada kuwa wapenzi na kupeana mimba.
KISA NO.1.
Kama si wiki hii basi ni wiki jana kuna sms ilikuwa inazunguka mitandaoni mama mzazi wa watoto akiomba ushauri kuhuhu kijana wake wa kuzaa kuwapa mimba dada zake 2 double likizo hii ya corona.
Nieleze kwa ufupi.
Mama mmoja alijitambulisha kama mfanyakazi wa umma ambaye anasimulia kuwa ana watoto 3, wakiume miaka 17, wa kike 15 na wa kike tena 13.
Mama yule anakiri kuwa karibu sana na binti zake na amekuwa msaada kwao kipindi cha period kuwapa care zaidi.
Anaendelea kusema kipindi hiki cha likizo ya corona umepita muda bila binti yake mkubwa kuomba msaada wa mama kuwa yuko period kama ilivyokuwa ada siku zote.
Mama alipata hofu kimya kimya akaomba mkojo wa binti na kuupima mimba ikasoma positive, Anasema alihamaki ila akajipa ujasiri, akakaa na binti yake kwa upole aeleze mhusika, Binti akathibitisha kuwa ni kazi ya kaka yao, mama anapokwenda kazini wao hubaki na ligi nyumbani ya sex na kaka yake.
Mama huyo alipata hofu pia kuhusu,mtoto wa miaka 13 ambaye alivunja ungo akiwa na miaka 11, baada ya kumpima na yeye alibainika ana mimba pia na wote kawashugulikia kaka yao mkubwa, baada ya kumhoji kaka mtu alikubali na kutoroka home.
Mama huyo alikuwa anaomba ushauri afanyeje na suala la kutoa mimba hakulipa kipaumbele kwa kusema ni mcha Mungu.
KISA NO.2
Kuna kaka pia alikuwa anaomba ushauri kuhusu dada yake kumng'ang'ania amuoe.
anadai kuwa alizaliwa na dada yake wakiwa 2 na maisha kwao yalikuwa mazuri na yalikuwa ya geti kali kiasi kwamba hawakupata muda wa kuzurula sana.
Mwaka sikumbuki vzr akiwa form 5 na dada yake akiwa form 4 akampa mimba walivyoanza mapenzi hakusimulia sana.
Timbwili timbwili liliendelea ila dada yule baada ya kipigo cha baba yake alikiri kuwa mimba ni ya kaka yake, mama yao kwa mshituko alipoteza maisha.
Baadaye kijana alikimbilia dar kutafuta maisha, binti alijifungua baadaye baba yao pia alifariki.
Baada ya siku kwenda yule kaka anadai maisha yaliendelea poa DSM na akawa na uwezo wa kuendesha maisha na hatimaye dada yake akamfuata DSM alipofika dada yake akataka show tena kuwa haina jinsi maana ameshamzowea na alipofika aliharibu mahusiano yote ya kaka yake na wanawake wengine kwa kudai yeye ni mke wake. Na kaka yule alikiri kumhudumia dada yake haikuwa na jinsi.
MASWALI NISIYOYAPATIA MAJIBU.
1.Dada yako mnaanzaje mazoea mpaka unafikia hatua ya kumgegeda??.
2. Au ni roho za kishetani zinawakumba
3. Je ikishatokea wakazaa na mtoto kuaoana ni halali??
4. Kwa nchi yetu ni kosa kisheria au imeakaaje.
5. dada yako naye unapiga style zote hata zile kama za mieleka maana style nyingine kama vita ya 3 ya dunia.
Naomba kuwasilisha, Poleni kwa uzi mrefu , mwenye kisa pia anaweza kutupa uzoefu.
Nimekupat bossNikujibu namba nne,ndugu wa damu kuoana iko kwenye prohibited degree na sheria ya ndoa ya 1971 inakataza walio katika hali hiyo kuoana.Ikitokea mkaoana basi hiyo inakuwa void abnitio yaaani ni jambo batili lisilotambulika uwepo wake.Mtu yeyote aweza lipinga mahakamani na likawa declared null and void.
Sent using Jamii Forums mobile app