Mainjinia wa Maji wa Mikoa watakuwa wameenda field usiku huu kuhakikisha sehemu zote hatuna shida ya Maji

Tatizo vijana wa siku hizi akiajiriwa anataka awe na gari kali na nyumba ndani ya Mwaka.
Yaani unakuta kuanzia top boss Hadi mtu wa chini anawaza kupiga tu.
Bora awe na gari na nyumba,lakini kazi ionekane.Siovhawa mangumashi.
 
Hao wastaafu walifanya ya maana yapi Hadi warudishwe kazini kwa mkataba.?.

Hao ndio walikuwa wapigaji wakubwa enzi zao.
Walifanya haya unayoyaona sasa hivi au labda hapo ulipo hakuna mradi wowote wa maji kama haupo kuna maeneo ipo.Halafu unajua wastaafu wengi waliajiriwa enzi za awamu ya 1 na 2 upigaji haukuwepo
 
Mama Samia ukipita hapa hawa mainjia wa maji hasa kwa pale Dodoma %kubwa wana majibu ya shombo sijapata kuona weka watu wako wafuatilie kwa karibu ni tatizo kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…