Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Sasa hivi sayansi imefikia mbali pia,Hakuna mbinu ya kuelezea kitu ambacho hakipo.
Kwa sababu hakipo kwa mbinu au namna yoyote ile ya kuelezeka.
Umeishiwa hoja unaanza VirojaSasa hivi sayansi imefikia mbali pia,
Mambo ambayo wewe na mwenzako Kiranga pamoja na wengineo mnasema hayapo na hayamake sense
Wanasayansi wanaona ina make sense na wanayafanyia tafiti sasa hivi kila uchwao
Sasa wewe jamaa unayetokea shitombo unakuja na majibu mepesi kwamba vitu kama roho havipo na uwezekano wa kuwepo hakuna, Nakuona ni mtu uliyepagawa
Sasa kama hapa nikujibu nini ? Maana naona unaruka ruka mule mule alafu unaona kama ni hoja za maanaHakuna mbinu ya kuelezea kitu ambacho hakipo.
Kwa sababu hakipo kwa mbinu au namna yoyote ile ya kuelezeka.
Hoja yangu ipo kwenye maswali yangu, Sijapata majibu kutoka kwakoUmeishiwa hoja unaanza Viroja
Jikite kwenye mada.
Thibitisha uwepo wa huyo Mungu unayedai yupo.
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea Mungu ambaye hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe wala kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Kwa nini uhangaike kumuongelea Mungu ambaye yupo?
Kwanza huyo Mungu angekuwepo kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake au kubishana uwepo wake.
Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe yupo na kujiongelea yeye kama yeye.
Sio nyie kuhangaika kumuelezea.
Huko mbinguni ni wapi?Hoja yangu ipo kwenye maswali yangu, Sijapata majibu kutoka kwako
Msingi wa maswali ni kupata majawabu, Lakini maswali nliyokuuliza sijapata hayo majibu zaidi ya viroja na vitimbwi
Umejuaje na una uhakika gani kuwa Mungu hashikiki ? Umejuaje kuwa hayupo ?
Umewahi kwenda mbinguni ulimkosa ?
Huja thibitishia huyo Mungu yupo.Sasa kama hapa nikujibu nini ? Maana naona unaruka ruka mule mule alafu unaona kama ni hoja za maana
Unaandika vitu havieleweki na unarudia rudia wakati maswali nayokuuliza hakuna kitu cha maana unachojibu
Una uhakika gani kuwa ni hadithi za kusadikika ?Huko mbinguni ni wapi?
Wewe unayedai huyo Mungu yupo, Ulishawahi kwenda huko mbinguni ukamuona huyo Mungu?
Au unaleta stori zako na hadithi za kusadikika?
Una uhakika gani kuwa ni hadithi za kusadikika ?Huko mbinguni ni wapi?
Wewe unayedai huyo Mungu yupo, Ulishawahi kwenda huko mbinguni ukamuona huyo Mungu?
Au unaleta stori zako na hadithi za kusadikika?
Hilo swali ilibidi utafute kioo ujiangalie then ujiulize wewe, Kuwa upo timamu kweli ?Huja thibitishia huyo Mungu yupo.
Halafu unataka kuuliza maswali kwa kitu ambacho hakipo !!
Hivi wewe uko timamu kweli huko kichwani mwako?
Pole sana kwa kupotea mazima.Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! [emoji854]
Ndugu, kila kitu huwa na chanzo then kinaenezwa kote, ulianza fika kwa wenzetu then tukapata nasi. Utumwa uko wapi mwamini MUNGU tu utaishiHongera sana kwa kujivua utumwa wa dini.
Karibia wote tumekulia kwenye utumwa wa uongo wa wazungu na waarabu (dini)..kujitoa huko ni utimamu wa akili ya mtu.
Ndio maana nikakwambia masuala ya Mungu ni next, advanced level/scope nyingine hauwezi kulinganisha na phenomena za duniani.Imani si uthibitisho, imani ni kukosa uthibitisho.
Kuamini kitu ni kukubali kitu bila ya kuwa na uthibitisho, hiyo ndiyo definition ya imani.
Ila wewe unaandika kuhusu imani bila kujua hata definition ya imani.
Na ninachotaka mimi si uthibitisho kwa vigezo vyangu.
Ninataka uthibitisho kwa vigezo vya mantiki, kwa logical consistency, bila contradiction, vigezo vilivyokuwepo maelfu na maelfu ya miaka kabla sijazaliwa, hivyo si vigezo vyangu.
Mkuu mimi sina la ziada.Usiku wa Leo nimestuka usingizini baada ya kuota nipo na CANTER mbovu imechoka balaa kila nikijitahidi kuiendesha inanishinda nikirekebisha hiki kinaregea kingine nikiweka sawa hiki kile kinavurugika, ghafla ndoto ika-shift Nikajikuta nipo na pikipiki hio ndio imechoka zaidi nilikua nataka kuitumia sasa kila nikipakia mzigo stand inatenguka pikipiki liko legelege nimeangaika nalo weee!? Nikachemka kufanya nilichokua nakifanya nikiwa nimechoka na nimekata tamaa, wazo likanijia niombe msaada kwa watu wazuefu wakutengeneza hizi pikipiki(hapa wazo lilibadilisha ndotoni kua sio kukitumia /kuendesha tena pikipiki ile bali kukitengeneza) wakati huo najiwazia moyoni kwanini nahangaika/nang'ang'ana ilihali mimi sio fundi /mtaalam /mzoefu na haya mambo. Nikiwa nimechoka nakukata tamaa watu mbalimbali waliokua wananiangalia pale nikiwa na wazo la kuomba msaada kwa wazoefu nikastuka.
Sina uhakika saana na maana yake ila nadhani nilikua na hallucinate tu.
Tatizo linaanza Watu wanapochanganya Nguvu Kuu ya asili(Mungu) na Dini.DINI INATUWEKA MBALI NA MUNGU β
DINI NI BIASHARA β
HAKUNA MUNGU β HAPO SIKUBALIANI NA WEWE
Kwa sababu hakuna uthibitisho wowote wa huyo Mungu.Una uhakika gani kuwa ni hadithi za kusadikika ?
Kuwepo kwa Galaxy haimaanishi ndio kuna Mungu.Kuna Galaxy mabillion ipi kati ya hizo umewahi kufika ulimkosa ?
Roho ni nini?Mimi nasafiri kiroho kwenda popote nkufundishe na wewe ?
Hujathibitisha huyo Mungu yupo unaruka ruka tu.Una uhakika gani kuwa ni hadithi za kusadikika ?
Kuna Galaxy mabillion ipi kati ya hizo umewahi kufika ulimkosa ?
Mimi nasafiri kiroho kwenda popote nkufundishe na wewe
Hilo swali ilibidi utafute kioo ujiangalie then ujiulize wewe, Kuwa upo timamu kweli ?
Maana unaleta sarakasi zako humu huwezi kujibu maswali unaforce vimajibu vyako uchwara havina muelekeo
Utumwa ni wewe kudhibitiwa au kupangiwa maisha yako na dini uliyoletewa na watu wa jamii nyingine, wakati huo huo wakikuaminisha kwamba utamaduni wako ni wa kishenzi na usiofaa.Ndugu, kila kitu huwa na chanzo then kinaenezwa kote, ulianza fika kwa wenzetu then tukapata nasi. Utumwa uko wapi mwamini MUNGU tu utaishi
Kama kila kitu kina chanzo, Eleza chanzo cha huyo Mungu ni nini?Ndugu, kila kitu huwa na chanzo then kinaenezwa kote,
Hata ambao hatumwamini huyo Mungu tunaishi vilevile.ulianza fika kwa wenzetu then tukapata nasi. Utumwa uko wapi mwamini MUNGU tu utaishi