Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maoni yngu: Alietuumba na kutuwekea system ya DNA pamoja na Natural Intelligence yupo tena anajulikana kama MKUU wa ENZI rejea bandiko la Pro. Singano Jr la "Niliemdhania kahaba kumbe bikra" Tulicho Miss sisi wanadamu ni Njia sahihi ya kumwendea! Njia karibu zote tunadanganywa, lakn trust me Kuna watu tayar wanaijua the actual path na hawako tayari kuisema hio kweli, Ukweli tumefichwa badala yake wamebaki kutuletea hadthi tuu za watu Mambo waliofanya!! Kama Jesus alipaa na alitembea juu ya maji, akabadilisha maji kuwa Divai Aminini kuwa Kuna watu wanaweza kufanya hivyo vyote mpka Leo na wapo! Lakn wanaijua Njia sahihi ya kuwa purified mpka kufika kwenye Realm ya kufany hivyo. Lakin vingi kati ya hivyo vipo Vatican vimefichwa kweny maktaba zao
Jaman Hivyo wanavyovisema vipo! Mungu yupo na kila kitu kipo Kasoro tuu hizo njia wanazozitumia na kutuaminisha sio za kweli
 
Kwa mfano wewe binafsi akili yako ina doubts 😛 😛 😛 sio rahisi kumshawishi mtu .

Ugomvi na matatizo ni pale utakapomlazimisha mwngine juu ya imani yako...Kama hayupo basi unakaa kimya unaishi hakuna mtu atakufanya chochote sheria za nchi zipo.
 
Kuna sehemu nimekushikia fimbo kukulazimisha au kumlazimisha mtu Mungu hayupo?

Na wewe kama unajua huyo Mungu yupo kaa kimya, umwache huyo Mungu ajiongelee mwenyewe kama yupo.

Kwa nini unahangaika kumuongelea huyo Mungu?

Kwa nini unahangaika kuelezea wengine juu ya uwepo wa huyo Mungu?

Kwa nini Hukai kimya, Huyo Mungu ajiongelee mwenyewe kama yupo?
 
Binafsi fikra kuwa MUNGU yupo zinanipa amani, naaply hoja yako namba 8 na ninapofika kwenye sehemu ambayo nimefeli na sina la kufanya, fikra kuwa MUNGU yupo inanipa amani na sijui huwa kuna siri gani kati ya matumaini na uhalisia, always ninapobaki na tumaini tu baada ya kufanya waibu wangu na kila kitu kushindikana, tumaini hugeuka uhalisia kwa kuvuka linalonisibu kupitia fikra kuwa sasa namwachia MUNGU afanye sehemu yake maana nimeshafanya yangu.

Kwangu imani ya uwepo wa MUNGU ni muhimu mno mno mno na siku ikithibitika kuwa hayupo, somehow saikolojia yangu itakuwa challanged na nitahitaji akili za ziada kuikubali hiyo hali.

NB: Mimi Sio mtu mfia dini.
 
Mtu kama wewe unatakiwa upelekwe Mtwara ama Tanga ama Kigoma Sasa ukishapata KUJUA kuwa kuna ulimwengu halisi kabisakabisa wa roho, hapohapo unapata KUJUA kuwa MUNGU yupo...
Average mind ajaribu kufanya mambo makubwa bila Mungu au ndumba akitoboa aje na hizi ngonjera. Kamwe hauwezi thamini nuru kama hujawai kaa gizani
 
👇Swali langu kwako ni hilo. Usitunge maswali
Akili ni neno la kufikirika tu.

Nomino yenye kuonyesha utendaji kazi wa ubongo.

Huwezi kuthibitisha uwepo wa akili, Akili si kitu cha kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Hata ukipasua kichwa huwezi kuthibitisha uwepo wa akili kwenye ubongo.

Hivyo akili ni neno la kufikirika tu, si kitu cha kuonekana kuthibitishika kipo.

Una elewa hilo?
 
Ku'reply comments zote naona unapata tabu , moyo unaenda mbio ...kuwa na msimamo kama wenzio 😛 😛
 
Kuna tofauti kati ya akili ni nini na kuthibitisha kama una akili.
Mimi nimetaka unithibitishie kuwa una akili, sio unielezee akili ni nini.
 
Kipindi nimejitambua kwenye hicho kifungo nilifuatwa na viongozi wa dini mno , kidogo nirushe ngumi , nilikua tayari kukichafua kuliko kurudi kwenye hilo gereza la fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…