Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

aliekutuma uwe freemason nani? ww ni seat ya mbele kabisa kuzimu
 
Ulichotakiwa kugundua kwenye huo mfano ni kwamba, ukishindwa kujua uwepo wa kitu fulani haimaanishi hicho kitu hakipo. Ni wewe tu umeshindwa kutambua uwepo wake.
Sasa wewe unayetambua uwepo wa hicho kitu, Kithibitishe basi?

Mbona unaruka ruka tu?

Thibitisha Akili ipo.

Thibitisha Mungu yupo

Wewe si unadai vipo?

Vithibitishe basi.
 
Ulichotakiwa kugundua kwenye huo mfano ni kwamba, ukishindwa kujua uwepo wa kitu fulani haimaanishi hicho kitu hakipo. Ni wewe tu umeshindwa kutambua uwepo wake.
Mungu angekuwepo kweli haya mazungumzo hapa hata yasingekuwepo hizo ni nadharia tu na kadri mda unavyokwenda itapotea.
 
Mungu yupo mkuu na kuna umuhimu wa kumuabudu mkuu, kuna tatizo nilikuwa naonaa ni gumu kushughulika Bali leo nikatoa sala mida ya sita ila saa kumi jion nimeona Matokeo ya ile sala mkuu ingawa sitotaja ni jambo gani lilikuwa gumu kwangu ila mungu yupo na mambo yote niliyofanya kwa kumshirikisha mungu nimeona majibu yakee mkuu ni hivo tu

Povu ruksa
 
Sasa wewe unayetambua uwepo wa hicho kitu, Kithibitishe basi?

Mbona unaruka ruka tu?

Thibitisha Akili ipo.

Thibitisha Mungu yupo

Wewe si unadai vipo?

Vithibitishe basi.
Sasa kama havipo ina maana na akili haipo, kama akili haipo unakubali kua wewe huna akili (maana umesema haipo) , je unakubali hilo kwanza kisha nikupe prof ya uwepo wa akili na Mungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…