Sasa unalaumu kitu gani wakati hata kupost hauwezi mkuu? Kula unachopata kama hauna uwezo wa kutafuta unachotaka🤔Soma na uelewe usikulupuke,,kuna sehemu nimesema nilikuwa naposti?humu zamani watu wamepona magonjwa,,watu walipata ushauri ,,watu walipata kazi kupitia humu,,siku hizi mtu analeta habari za akina Giggy money na mwijaku
Jidanganye 😂Hawawezi natumia kopyuta yoyte nikiwa kazini na simu hii natumia saivi.
Mengine ni juu Yao ila kama ni hivyo kazi wanayo sio kidogo
Kujua ni ngumu nakuambia.Jidanganye 😂
Wewe mbona huleti hayo madini??Jf ilikuwa zamani jamani,,,kulikuwa na madini yakutosha,,,ulikuwa unapata story ,ushauri na watu walijitoa sana,,,ila siku hizi naweza nikakaa miezi nisikumbuke kama kuna Jf
Kujua ni rahisi nakuambia😂Kujua ni ngumu nakuambia.
Au tuite mods waje watuonjeshe ban kidogo. Hata masaa😂😂Hata mimi pia huwa najifikiria hivyo, au labda unakuwa huwezi kupost content yyte au hata kuangalia pia huwezi
Anataka upigwe ban tenaMi nimeshapigwa Ban mara kibao tu na nimekuja kkutana na nyie hapa haya sasa unatakaje.
Asante sana.Hongera nawe pia,
Wewe sio mkorofi kama mwafulani. 😂
Nitukane uone kubigwa ban kukoje.Hongera sana. Mimi pia ban siijui kabisa.
Hadi natamani siku niiombe nijue nikipigwa ndio inakuwaje nikitaka ku log in.
Mimi naweza kukutukana na nisipigwe ban. Mimi nakutukana kisomi hata mods wakija hawaoni kosa sana sana watafuta comment😂😂Nitukane uone kubigwa ban kukoje.
Basi kata keki kwa kutopigwa ban.Pia usisahau unaweza usipigwe ban ila ikawa wapo wanao waza kukufikisha ununio.Uzi huu ni kwa wale ambao hatujawahi pigwa ban toka tujiunge na JF tukutane hapa.
Kwa jf ya saivi hata nikipigwa ban bariidi tuUzi huu ni kwa wale ambao hatujawahi pigwa ban toka tujiunge na JF tukutane hapa.
Mi bado ni mpya kabisaa,hivi niwaulize nyie wazoefu wa kupigwa ban,uwa ni kipi chapelekea kupigwa ban?,na admin wa jf ni kina nani hasa?,naipenda sana jf,miaka ya nyuma nilikuwemo humu lkn kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu,nilitoweka Kama miaka sita sasa imepita ndo narudi tena,mungu akijaalia ntakuja kutoa ushuuda wangu humu,manufaa gani nilipata wakati huo kwa kujiunga na jf,ngoja nitulie kwanzaHongera sana. Mimi pia ban siijui kabisa.
Hadi natamani siku niiombe nijue nikipigwa ndio inakuwaje nikitaka ku log in.