Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Habari JF

leo Katika mada yangu kichwa tajwa hapo juu, Ningependa nishare nanyi Uzoefu wangu wa maisha ya marekani, maana nimeona watu wengi sana wakijadili namna watu wanavyoishi nje, ajabu kati ya mia, tano tu ndo wanaelewa maisha halisi ya marekani.

Licha mimi huwa sipendi kuishi Marekani, lakini fursa zilizopo ndo zinatufanya tuelendelee kunganagia haya maisha, ndomana maisha yangu ya uwekezaji Yapo africa lakini utafutaji ni marekani kwa vile tu sijafikia malengo yangu ya maisha.

Miaka 6 ndani ya nchi ya marekani, ninaishi kwa Green card, nina ruhusiwa sasa kuomba uraia lakini mimi kwangu huwa si kipaumbele, maana nina uwezo wa kutoa na kuingia na kukaa nje ya marekani muda wa miezi sita.

Nimeishi majimbo na kufanya kazi kampuni tofauti tofauti, Mara nyingi nafanya hivyo tu ili kujifunza maisha halisi ya marekani. Mwaka jana nimefanya kampani saba na kuishi majimbo matatu. kufanya kazi marekani huwa nafanya tu kukaa bila kazi. nilichokifanya miaka minne ya marekani niliweka nguvu kuwekeza nyumbani jambo ambalo nilifanikiwa na kunipa huakika wa kuishi hapa bila kuwa na kazi.

Katika Harakati zangu za kucompare africa na marekani sehemu nzuri ya kuishi, niligundua africa kinachotufelisha ni uchumi ila ukiwa na pesa napendekeza kuishi afrca badala ya marekani. Marekani ni sehemu tu ya utafutaji ikiwa africa huna cha kupoteza(maono yangu)

MAZURI YA MAREKANI.
naipenda nchi ya marekani ni nchi ambayo inamuwesha kila mtu bila kujali nchi uliotokea kufanya lolote na ukafanikiwa, tofauti na nchi kama vile urusi, china. marekani ni nchi ya kila mtu kufanya anachoweza yaani nchi ya fursa. ukitaka kuwa doctoe, nurse nk.. hata kama umefeli elimu katika nchi yako marekani kuna njia nyingi za kukuwezesha ukarudi shule na ukatimiza ndoto zako.

Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.

kazi na makazi, siwezi kushauri kuishi kwenye miji kama Chicago, New york, washington nk.. mara nyingi miji hii kazi zake ni professional. tena ina gharama kubwa ya rent. badala yake nenda kwenye majimbo kama dakota, kenctuky , mara nyingi ni kazi za viwanda au Entry job alafu rent iko chini.

Watu wengi kutoka nje ya marekani wanafanya ENRTY JOBS kutokana na lugha kuwa ngumu alafu pesa zinawachanganya hawataki kusoma.

Marekani kuna uraisi wa kumiliki nyumba gari na kufanya biashara unayotaka(biashara ya import chakula na kuuza kwenye maduka ya africa inalipa). hata kama huna huwezo huo. unaweza kutumia CREDIT yako na kupata nyumba, gari, au pesa baadae utalipa taratibu. kikubwa deal na Scores zako kuwa HIGH, na Credit ni kitu muhimu sana marekani.

Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.

Now kazi yangu ya sasa nafanya masaa ninayotaka nikisema kwamba nataka nipate $5000 mwezi huu inapatikana na gharama zangu za maisha ya marekani hazifiki hata $600(bills). So hapo nina kitu cha kufanya tayari africa. Imagine miez 12 ya kazi nikiruid africa huwez kusema tunarudi tumechoka.

Fursa nyingine ambayo kwangu huwa naona ni muhumu sana hapa marekani ni technology, Iphone ilipo marekani sio iliopo africa, chrome inavyofanya kazi marekani ni tofauti kabisa na africa, System za simu na Feature baadhi za Social Media ziko tofauti. kuna software kama vile Stripe huwezi kujiunga ikiwa unaishi africa, so mambo kama hayo ni muhimu sana na ni fursa kubwa.
Hat banl system ni tofauti kabisa zinavyotumika africa.

So kuishi marekani kuna fursa ya kuelimika pia, saivi ukimwabia banker maswala ya wallet pay, wireless pay, finger pay haya ni mambo mageni kwake au anasikiaga tu, ila wewe unaelimika kutoka na fursa ya mazingira unayoishi

ITAENDELEA.......
NO PM
Pamoja na mazuri yote nyuma ya pazia wamarekani wametengeneza system mgeni una kamuliwa mpaka unabaki makapi hence lazima uwe na kiasi or rat race inakuhusu.
 
Mabilionea wamejanzana mijini, nyie huko chato mbona hatuoni makampuni yakishamiri?
Usichokijua labda ni kwamba hao mabiliobea wengi pesa wanatafutia hukohuko mikoani unakokudharau..

Mfano mdogo tu, wabunge asilimia kubwa wakipata Ubunge wanahamia Dar. Hata matajiri pia, wengi wanavuna pesa mikoani na kuamia Dar. Ila bado msingi wa shughuli zao wanazifanya hukohuko mikoani..
 
Kuna mkoa wenye viwanda na makampuni makubwa Tz kama Dar? Inafuata Pwani au Moro.

Mabenki makubwa yote yapo dar, taasisi za kimataifa zipo dar, njia panda ya ulaya ipo dar.

Mtu aondoke Marekani aje kulima njegere chato. Kisa fursa.
Kama market kwann asilime.
Kwani madini yapo dar
 
Tatizo ukiugua, halafu siamini kuwa katika miaka sita uliyokaa Marekani umeweza kuwekeza huku nyumbani,basi ulikuwa muuza sembe bila shaka,kwa kazi ipi hadi miaka 6 uwekeza home,umesoma muda gani hadi kuwa professional mwenye wage ya uhakika

IMG_4028.jpg

hiyo hapo ni malipo yangu ya kazi kwa muda wa wiki pili, fikiria kila baada ya wiki mbili nipe napata hiyo pesa muda wa mwaka mmoja nitashindwa kuwekeza marekani.

Bima za afya hata kazini kwako.

Alafu ukienda hospital huna bima, kuna mashirika mengi yanaweza kukulipia ila hii ni kwa watu wenye kipato kidogo. kama kipato chako kinalipa kwanini usichukue bima hata $50
 
Niwape usia mnaotaka kuzamia nje. Kwanza uwe na professional ingia hata veta piga ujuzi wowote tu udereva ni lzm. Piga capentry, nursing, umeme, ujenzi, nk.
Jifunze lugha kuu
Ingia nchi yeyeto kihalali, njia sahihi tumia gia ya kwenda kusoma Ili upate connection na wenyeji.
Ukifika kule usibague Kazi, tii sheria za nchi yaani mtu akikupiga shavu la kushoto mpe na la kulia kabisa.
Kuwa makini kabisa na masuala ya mapenzi, bora ukanunue kama umeshindwa funga zipu, wekeza Sana kwenye uaminifu na uchapakazi. Usifanye vitu haramu.
Fanya saving
Angalizo ni hatari sana kutuma pesa bongo sijui kwa ndugu Ili akufanyie maendeleo wengi wameonyeshwa misingi na nyumba za watu.
Bora utunze pesa likizo ndo uje ufanye maendeleo.
Ushauri mzuri.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mtu ameandika kabisa No Pm sasa usichoelewa ni nini?

Halafu hebu punguza munkari, tafuta pesa kwanza, hela huna halafu unataka uende Marekani unaendaje?

Tena sasa hivi ubalozi wa Marekani wanatowa viza kama njugu.
Huyu jamaa huwa uelewa wake nautilia mashaka sana.
 
Kempton Park kaka, unapanda bus za kuelekea Sangweni, afu unashuka sehem fulan wanaita China Gate (kama sikosei, kuna kiwanda kama kile cha pale urafiki, Dar na pia kuna maduka ya wachina ndani) maana sijawahi kuingia nakuwekea na picha hapa uone mahali pa kushukia. Afu ukishashuka ndo unatembea kwa mwendo kama wa dakika 15 hivi au ishirini kuifika hiyo area. Pia wakati unatembea maeneo ya kulia na kushoto kuna apartment mbali mbali ambazo wanaishi wenye pesa. Pia nitakuwekea picha chini mkuu.

View attachment 2205927

View attachment 2205928

View attachment 2205935
Mkuu,hivi nikitoka Tz na Elimu yangu ya Masters nije hapo Bondeni Kuna kazi naweza kufanya itakayo niwezesha kuishi Bondeni vizuri ?
 
Mkuu,hivi nikitoka Tz na Elimu yangu ya Masters nije hapo Bondeni Kuna kazi naweza kufanya itakayo niwezesha kuishi Bondeni vizuri ?
Sheria za hapa ni ngumu kidogo kwa mgeni kuja na vyeti vyake hapa akapata kazi na ukizingatia hawa jamaa ni wabaguzi sana. At least uwe umesoma shule zao na kupata vyeti vyao hapa. But kwa upande wa private sector unaweza kubahatika kuangukia kwenye kampuni ya mzungu akakuajiri kutokana na taaluma yako ukapiga pesa ndefu.
 
V
Wengi hawajui mpaka sasa hii dunia inamilikiwa na nani.

Obama kwenye kampeni zake za Urais aliposema anaunga mkono ushoga si mjinga anajuwa alichokuwa anahitaji.

Mark mmiliki wa Facebook na kampuni la Meta anaunga mkono ushoga, kumbuka hawa ni watu wenye akili kubwa wanaijuwa hii dunia.

Tundu Lisu alibanwa kuhusu hoja ya ushoga akaruka kimanga na kuijibu kisheria kwamba hawezi kuingilia faragha za watu, yani maana yake huwezi kuwapinga mashoga.

Kama Taifa kwenye mikataba mbalimbali ni lazima usaini mkataba wa haki za binadamu, ukisaini maana yake hata mashoga ni binadamu na wana haki zao.

Mtoto mdogo kama Makonda asiyekuwa na elimu yoyote akapigana vita asiyojuwa anapambana na nani, matokeo yake leo hao wenye nguvu ndio ilibidi wampe hifadhi ulaya au Marekani lakini hatakiwi amepigwa ban, alikuwa anashindana na nguvu asizozijuwa.

Na wabongo wengi hawana elimu kwamba shoga ni hata yule basha anayempelekea moto mwenzake naye anaitwa shoga wote hawa ni gays, hapa ndipo Wabongo wengi panawachanganya hawaelewi.
Vipi wewe unaeelewa,unaiunga mkono life style hiyo ya ushoga?
 
Back
Top Bottom