Chances za sperm kuwa fertilized ni tukio ambalo sikuwa na control nalo kama binadamu,Sayansi hapa inasema ulichagua kuishi, ktk sperm kuna mamilioni ya sijui chromosome/gene hushindana mbio kuingia kwenye yai la mwanamke, so mbio zako zilikuponza, make uliwazidi wale wengine milioni kadhaa.
pole mkuu!!Kuishi ni ngumu kuliko kufa Mimi leo asubui ningekua marehem pia Dah maisha haya ila tuwe makini barabaran jamani
Asante mkuupole mkuu!!
Lengo ni kumfanya mtoto asiwe na masononeko.Mwanao anaongea mantiki na wewe unaongea siasa , ati ecosystem balance! , aliyeeumba huo ulimwengu hakujua kwamba tutazaliana ? Alikuwa na kila kitu at disposal kwa nini aumbe kifo ?, shetani alikuwa na ulazima gani kuumbwa?: Kwan hata angeumba bao moja tu ndo litoe mtoto baada ya hapo yanayofuata ni kwa ajili ya burudani , mbona tungezaliana kwa wastani tu .
Ndo na mimi nataka kuuliza maana nimesikia kuna mzee kwenye baiskeli aligongwa na costa kibaoniKibaoni ya hapa Dar Kigamboni mkuu!
This is deep and thoughtfullyHad it been clearly posted kabla haujazaliwa na tukawa na option za kuchagua tuzaliwe ama la , ningeamua kutozaliwa.
Huwa napita makaburini na kushangaa kwa masikitiko , hayaonyeshi tofauti ya nani alikuwa hodari au maarufu, kaburi la profesa aliyestruggle na elimu akajifunza kusoma hadi kuaandika thesis , linalingana sawa tu na la marehemu babu yangu ambaye hata kusoma hakujua!
Why woud someone create a wolrd so unfair like this ? Soma unavyojua kusoma pata pesa unavyojua kupata ukifa ndo kila kitu kimeishia hapo. And I, sincerely hate this idea
😢😢😢😢, that's home, KigamboniNdo na mimi nataka kuuliza maana nimesikia kuna mzee kwenye baiskeli aligongwa na costa kibaoni
Inauma sana kwa kweli lakini ndio dunia. Furaha kidogo majonzi kibao!Wakuu, hapa mtaani kwangu kuna ndugu yetu nyumbani kwake kulikuwa na harusi(mtoto wake alikuwa anaoa). Ndoa imefungwa vizuri kabisa,
watu tumekula ubwabwa mpaka basi, na wanywaji wamekula bia mpaka basi.
Cha kusikitisha leo asubuhi mzee wa watu kaenda Kibaoni kununua pumba za kuku wake, akagongwa na gari na kupoteza maisha hapo hapo.
Watu tunamalizia kuosha vyombo vya harusi, zinakuja taarifa za msiba.
So sad kwakweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sayansi hapa inasema ulichagua kuishi, ktk sperm kuna mamilioni ya sijui chromosome/gene hushindana mbio kuingia kwenye yai la mwanamke, so mbio zako zilikuponza, make uliwazidi wale wengine milioni kadhaa.