Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Saa nne tena tupia nyingine mkuu

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Mh
 
hao ndio kina konda msafi wazee wa kuharibu nyuzi za watu

ukimwambia akuletee hiyo the so called link anakimbia mazima
Kumbe😁 Sasa ndo nmekuelewa
Huko comments za juu naona watu wanamtaja huyo konda msafi, nikawa nashangaa ndo Nan huyo na alifanya nn?πŸ€”,
 
Kumbe😁 Sasa ndo nmekuelewa
Huko comments za juu naona watu wanamtaja huyo konda msafi, nikawa nashangaa ndo Nan huyo na alifanya nn?πŸ€”,
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… konda msafi jamaa wa nyuzi za south Africa

ukileta tu uzi kuhusu south africa anauvamia anaanza kusahihisha kama na yeye ulikuwepo naye yani πŸ˜…πŸ˜…
 
Kolwezi nakubali mkuu ni balaa ile mahali asee nakumbuka mm nilienda kupeleka generators nikiwa kama kushoto kwa watubwa malori wanaelewa kushoto ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…