Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Yani ni kama utajiri wangu na mafanikio yangu yapo kwa mdada mmoja hata anifai kabisa. Ajatulia kabisa yani awezi kupoa sema awezi niacha, tumeachana tume ludiana a year later kama hatujaachana.
Tatizo ndo mtu pekee nikiongea naye jambo linafanikiwa 100% tatizo Ajatulia kabisa kabisa yani ana genes za prostitution kabisa. 😔 What is this now? Life is a puzzle. Mafanikio yapo kwenye miba. Always a price to pay. MAD
Watu wanaoa vitu vya ajabu nilikuwa nawaona wajinga? 🫥
Tatizo ndo mtu pekee nikiongea naye jambo linafanikiwa 100% tatizo Ajatulia kabisa kabisa yani ana genes za prostitution kabisa. 😔 What is this now? Life is a puzzle. Mafanikio yapo kwenye miba. Always a price to pay. MAD
Watu wanaoa vitu vya ajabu nilikuwa nawaona wajinga? 🫥