Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

Glenn

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2015
Posts
69,329
Reaction score
164,730
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
 
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Umasikini ndio mtaji wa ccm lengo la serikali ya ccm nikutengeneza wanyonge wengi ili uweze kutawala kwa miaka mingi
 
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Dunia uwanja wa vita wanasema
 
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira

Halafu wake zao home wakijua kabisa wanaume wao wanakesha nje wanaingiza wanaume ndani, wanawapikia na wanalala nao, mbele ya watoto!

Baadhi ya wanawake ni Malaya Mbwa kabisa, hasa walioolewa, kama umeoa na una hustle una 97% mkeo wana mla, ngumu sana kuamini!
 
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Mbona hayo sio mateso ni kawaida sanaa ata ulaya kuna wanao kesha makazini na hawaruhusiwi hata kusinzia sembuse hao boda boda wanao piga usingizi vizuri, kuna vijana vubarua kwenye viwanda mchana na usiku wanabeba mzigo na kalele za kiwanda juu. Wewe acha utani hujui maisha.
 
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Ndio wao mashoga
 
Mbona hayo sio mateso ni kawaida sanaa ata ulaya kuna wanao kesha makazini na hawaruhusiwi hata kusinzia sembuse hao boda boda wanao piga usingizi vizuri, kuna vijana vubarua kwenye viwanda mchana na usiku wanabeba mzigo na kalele za kiwanda juu. Wewe acha utani hujui maisha.
Mnafananisha kipato cha Ulaya na Afrika ukikesha Ulaya pana nyongeza kutokana na muda kitu ambacho ukikesha Tanzania ni risk tu ya kupokonywa piki piki na kuuawa...
 
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.

Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali

Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...

Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Si kweli. bodaboda kwa siku nafunga zaidi ya 15,000 /- na hapo tajiri anapewa 10,000/-
Bodaboda ana mke, mchepuko na danga lake.
Bodaboda anabeti, anabando kuangalia mpira online na kuvaa vitu vya thamani.

Bodaboda anafanya kazi siku 30 * 15,000= 450,000/=
bodaboda halipi kodi yeyote na tin yake ni ya kuchululia leseni tu.
Hana PAYE,WCF<NSSF,FIRE,Bima wala nini.
Waambie walipe kodi zote alafu watajua mamuzi ya kuwekewa mafuta ya buku tano na kuimba sijui nani anaupiha mwingi kama watarudia.


Mimi nina kijana anauza duka jirani ni Pharamcy analipwa 150,000/- kwa mwezi na analipa kodi zote, analea familia, ana mke na anauguza mkwe wake.
Kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom