Maisha ya Hussein Jumbe ni ushuhuda tosha kwamba jamii zetu zina wachawi, watu wenye roho mbaya sana na makatili. Tuwe na Imani kwa Mungu

Mzee wa kilingeni akisema jambo kwenye sector yake, Uzi unatakiwa kufungwa
 
Thibitisha.
Ukitaka uthibitisho kwa hii Sayansi iliyofungwa, haitowezekana. Ni mpaka utakaporuhusu Fikra za uwezekano wa uwepo wa Sayansi beyond the bookish science.

Na ukipata ushahidi wa uwepo wake basi tambua kuwa hicho ndicho tunacholazimishwa kukiita Uchawi na kwamba ni kiovu.
 
Biology ya wapi hio umefundishwa kwamba mtoto anaishi kwa Kula Damu?
Biology ? Nimesema wewe tumboni mwa mama yako chakula chako cha pekee kilikua ni damu ya mama yako, ulikua unakula damu unashiba damu via placenta,
unahitaji kutulia kidogo ili uelewe hili, naona kuna sehemu walikuacha patupu hukuambiwa
 
Chanzo ilikua ni mgogoro na wenzake wa band aliokua anafanya nao kazi kabla ya kuanzishwa kwa band yake ya Talent Band anaturudisha nyuma tangu enzi za uhai wa Mzee Komba na TX Moshi akieleza Visa tofauti tofauti alivyovipitia kwenye masuala ya band, kwa Imani yake aliamini wale waliomzunguka ukiondoa mke na watoto wake walikua hawataki yeye apate mafanikio pamoja na kwamba alikua na kipaji Cha sauti, na alikua akisema pamoja na kwamba ana kipaji kikubwa Cha sauti, utunzi na uimbaji Ila hana mafanikio kiivyo ukilinganisha na wasanii wa sasa hawa wa kizazi kipya maana siku anahojiwa redioni aliulizwa maswali mengi na wachangiaji walikua wengi na alijibu maswali mengi pia, Ila hicho ndio alichokiamini marehemu Hussein Jumbe

Apumzike pahala pema peponi
 
Unapo define neno uchawi, usitumie neno uchawi, kwa sababu neno uchawi ndilo linakuwa defined, ukilirudia neno uchawi katika definition ya uchawi una short circuit definition yako.

Mtu anakwambia anataka umwambie uchawi ni nini, halafu unamwambia uchawi ni uchawi, mpaka hapo ushafeli.

Umeshindwa ku define uchawi, unarudia neno uchawi katika definition ya uchawi!

Hao pepo wabaya unaowasema ukiambiw authibitishe huwezi.

Umeambiwa uthibitishe uchawi ni nini, unaongeza habari z apepo mbaya ambazo nazo huwezi kuthibitisha.
 
Tutajua vipi haya maneno yako ni ukweli na si hadithi za kujidanganya tu?
 
Haya mambo ya shirki ni ya kawaida sana uswahilini na yanatokea mnapochanganyika au kukutana mara kwa mara wanandugu na jamaa. Hapo ndo mnajuana nani anapiga hatua kwenda mbele nani anaenda nyuma na ndo chanzo cha roho za chuki na husuda huanza hapo.

Anaeona hakumudu mchana atakufata usiku yeye mwenyewe au la akutumie watu wake.

Wewe ukiweza ishi maisha yako mwenyewe kuwa na umbali kiasi na ndugu/washkaji jitahidi wasijue saana mambo yako kiundani na hata kama umetoboa kimaisha acha mawoye fanya mambo kimya kimya.

rip mwamba Jumbe.

Nimeskiza kibao chake kimoja matata sana kinaitwa 'pombe'. Sijui alishakirekodi kile wakulungwa?
 
Tutajua vipi haya maneno yako ni ukweli na si hadithi za kujidanganya tu?
Nimesema uzipe Fikra zako kwanza kuwa hujui kuhusu hili, ili kutoa uwezekano wa kuwa kweli ama laa. Ukishajifungia mahali kuwa hili ni uongo na haliwezekani, linageuka kuwa Imani kwako na kimsingi hatuwezi kuhangaika nayo imani yako, maana haina ukomo.
 
Na nyimbo zake 95% zilikuwa za kulalamika kuonewa...
 
Jamii za Kitanzania nyingi kama sio zote zinafanya uchawi ila tunapenda sana kujibaraguza kujifanya hatuamini uchawi!
Siyo nyingi ni jamii zote, ukisoma history kabla ya kuletewa dini na waarabu na wamisionari wazee wetu mpaka machifu waliheshimika na kuogopeka kwa mambo ya kishirikina...
 
Ukishiriki ushirikina huo hautakuacha kamwe
 
Bado hujajibu swali langu, maana na wewe pia unatakiwa uishi kwa kanuni yako uliyonipa.

Kanuni ya kujiwekea kwamba inawezekana ukawa hujui ni nzuri, na mimi ndiyo maana sikukuambia wewe hujui, mimi najua.

Nimekuuliza tu. Tutajuaje (wote) kwamba maneno yako ni ukweli na si hadithi za kujidanganya tu?

Tuweke njia ya uhakiki vizuri ili tusiende kwa mihemko ya kutaka upande fulani ushinde ligi.

Tutajua vipi haya maneno yako ni ukweli na si hadithi za kujidanganya tu?

Hujajibu swali hili.
 
Mtu wa pwani yoyote haingii kazini bila kujipaka sijui madude gani, ukikaa naye karibu harufu inakera lakini kwao bila hayo haingii kazini. Awe amesoma hata P.H.D awe anasali masaa yote lakini manukato hayo yapatikanayo kwa ma sangoma lazima ajipake
Pemba pia
 
Tanga inahusikaje
 
Mkuu ushawahi kukutana nae mkaongea??
Umeongea kwa hisia na kueleza like ulikuwa nae kabisa...ila inasisimua haijalishi ni kweli au umetunga
 
Tatizo letu baadhi yetu hasa waisilamu mtu afanya mziki uchawi ulevi jamari anakula na kutoa riba uzinzi ushoga ubasha akiambiwa haya matendo mabaya ya ibirisi hayafai anachukia kibaya zaidi baadhi yao kutwa wako misikitini kwani mtu usichague 1 tu kuyahepuka kisha akaenda msikitini au kuyaendeleza ukahachana na habari za msikitini?hili tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…