Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

Watu wazima wameamua kudanganyana baada ya kushikiwa akili na CNN, FOX NEWS, ABC, BBC.

CC: kahtaan,

mimi nafikiri suala kubwa hapa ni kupingana kwa hoja,ripoti zimeandikwa hivyo na wengi tumeamini hivyo,sasa kama unaona hizo zote ni falacies then bring here your arguments ili tupime na tuone uhalisia wa mambo.Kukashifu tu hakuwezi kuwa suluhisho kwasisi tulioamini kuhusu hili jambo.
 
Last edited by a moderator:
Unaogopa kung'olewa kucha, meno na jicho bila ganzi? Na kama wewe ni akina kajamba nani lazima ufe kwani kwenda kutibiwa sauzi yahitaji kunako vijisent

na nikidanja hata magazeti hayatasumbuka kuandika habari maana hamna atakae nunua :disapointed:
 

ni kweli mkuu jamaa inabidi apinge kwa hoja sio porojo tu bila ya kuweka ukweli wake ili tuuchambue...

Ngojea aje jamaa yake kahtaan aliyempa copy labda ana ukweli wao tuuone..
 
Last edited by a moderator:

Wapi nimekashifu?
 

Osama alizikwa wapi?
 
Last edited by a moderator:

mkuu kama haya unayoyasema umesoma kwenye report mimi naiomba hiyo report au source ya haya maneno yako!! ni maneno mazuri kuyasoma kutoka kwenye chanzo halisi sio kuyasikia!! ntafurahi kama nikipewa hiyo nakala
 
mkuu kama haya unayoyasema umesoma kwenye report mimi naiomba hiyo report au source ya haya maneno yako!! ni maneno mazuri kuyasoma kutoka kwenye chanzo halisi sio kuyasikia!! ntafurahi kama nikipewa hiyo nakala

Anyway, kwa aina ya uandishi wako unaonyesha kuwaunataka ubishi na sio kujua haya mimi nimeyapata wapi. Kuna mtu huko juu kaposthabari za KSM, Al Kuwait na wengine kazitoa kwenye article za New York Times naNBC, lakini hizo ni baadhi tu ya sources ambazo unaweza kuchukua ilahazijaonyesha details ya mambo yalivyokuwa yanaenda kama nilivyoandika mimihapo juu. Source kubwa ya habari nilizoandika mimi hapo juu ni interview zilizofanywana maafiza wa CIA wenyewe pamoja na maagenti wa CIA waliokuwa field na kwenyeInterrogation. Kuna kamati ya ulinzi na usalama ya congress huwa inakuwabriefed na watu wa CIA na FBI mwenendo mzima wa hali ya usalama marekani,tafuta hizo report, kuna kamati iliyoundwa kuchunguza uteswaji wa wafungwakwenye gereza la Abu ghraid Iraq tafuta report zake. Mimi ninazo hizo reportzote na interview zake kwenye video clips nazitumia kwenye masomo yangu,(usiniulize nasomea nini)
 

Hapa huyu ritz atakuwa kapotoka labda hajui source of knowlegde???

Hapa kuna habr ambyo imetoka kwenye authority amboyo osama amekuwa akiish,we utasema n uongo kwa mantiki ipi labda?

Souc nyingne n mtu kusma kama wewe ulivyfanya, napia umetazama kwenye vyomb vya habr ambvyo vina mamlaka ya kuhabarisha watu,yeye anachobshia n chanza habri au mleta habri?

Ritz
 
Last edited by a moderator:
Jamaa atakuwa amesikia habari zile za vijiweni ndio anabisha sasa watu wanaleta na proof yeye bado kama haamini halafu anataka kutuambia sio kweli bila kutuletea mbadala wake tujue ukweli ni upi na tuweze kuuchambua...
 
Baharini wapi? Bahari kubwa.
hata nikikuambia hautonisadiki...
utakuja na swali jingine unaweza kuniuliza nitajie majina ya walio kuwa kwenye msiba wake au utaniuliza alizikwa saa ngapi? au unaweza ukaniuliza hitma yake ilikuwa ni lini?
bwana Ritz unachekesha sana...
 

lazima we utakuwa ni jasusi wa TISS tu,ucnitrace tu,i'm untraceable coz i'm unwatchable more than dogo osama
 
hata nikikuambia hautonisadiki...
utakuja na swali jingine unaweza kuniuliza nitajie majina ya walio kuwa kwenye msiba wake au utaniuliza alizikwa saa ngapi? au unaweza ukaniuliza hitma yake ilikuwa ni lini?
bwana Ritz unachekesha sana...

Jibu swali ndiyo maana ya mijadala kisha na mimi takuja na mashiko yangu.

Osama alizikwa bahari ipi na sehemu gani hayo yote uliyoyasema hayana uhusiano na ninachouliza.

Nipe jibu kisha tupanue mjadala.
 
Osama yupo hai na hajafa.
2pac yupo hai na hajafa atarudi
Elvis Presley hajafa
Bruce Lee nae yu hai
JFK amejificha somewhere in south america na hajafa
Daud Balali mzima na hajafa anakata mitaa kule Boston
 
Leta basi we ukweli...
ambaye umeshikiwa akili na story za vijiwe vya kahawa...

Mkuu wa chuo unapo sikiliza habari ambayo huna ushahidi nayo basi kama una busara unaiacha kama ilivyo!
Kwa mfano! Hii habari hapa ! Je wewe Mkuu wa chuo uko tayari kwenda mahakamani kutoa ushahidi kuwa wale wanajeshi walimuua yule usama!?!

Unaweza kuleta opinion zako kutokana na kupima mambo kwa kutumia akili Mungu aliyo kupa!
Lkn sio uuite ushahidi!

Kwa mfano, kwanza tunafahamu usama ni zao la Cia na American secret service na amefanya kazi na Cia kwa miaka kadhaa. Na kazi yake ilikuwa si mchezo! Mambo yalipo geuka baina ya pande hizo mbili (usama na americans
Huyu usama akageuka kuwa ni Number one most wanted man ktk Fbi na Cia na mataifa yoote ya magharibi!

Leo hii auwawe kwa kupigwa risasi halafu kaburi lake liwekwe mafichoni!?
Na istoshe vyombo vya habari vimekata habari zake zoote!

We hata machale hayakuchezi na ukajiuliza nini kinaendelea hapa!?

Basi tu kwasababu Cnn na Abc na Wale paka Fix(fox )news wamesema hivyo baaasi! Sisi huku kwa sababu km unavyosema tuko dunia ya kariakoo tukubali tu!

Alllaaa! Na sie tumeenda shule bwana!

Hawa si walisema wamekwenda mwezini miaka ya 60'
Mbona wametokea scientists kulipinga hilo na mpaka leo 2013 hawajaamua kuuonyesha ulimwengu wakatuma tena wale wanaojifanya kurukaruka kama ndege mwarabu! Angani!

Walikuja wakawaambia mababu zetu! "Fungeni macho tuombe" wazee maskini wakafunga!

Kuja kufungua! Hamadi! Wameondoka na dhahabu na almasi zoote!
Sisi wametuachia "andiko" na nyimbo kwa wingi!


Kwa kuwa na imani kama zako ndio maana hawa jamaa waliweza kutawala na kuwatumikisha ma babu zetu!
Leo tumeamka! Kama kuna habari inautata lzm tuulize!
Kunani paleee!?

Kama alivyo elezea mkuu Ritz

Ni hayo tu Mkuu wa chuo.
 
Last edited by a moderator:
Osama alizikwa baharini...

Teh teh teh teh teh!
Hapo mkuu haki ya nani nimecheka mno!
Unanikumbusha mwalimu wangu wa nursery,
Anaitwa magdalena!
Akisema "a" na mimi nasema "a" akisema " be" na mimi "be". Hata siku moja sijawahi kuuliza kwa nini ni "a" na wala sio "k"?

Yaani wao kusema alizikwa baharini baasi! Wewe umeridhika kabisa! ili siku nyingine usije jiingiza kwenye ushahidi na ukapata matatizo ya kuulizwa ni bora useme"nimeskia wanasema kwenye radio au nimeona kwenye runinga kuwa kazikwa baharini!.

Halafu baharini hawaziki! Wanatupa tu!
Kwa hiyo usimlaumu mkuu Ritz kukukatalia na kukuuliza maswali hayo. Hii inatokana na kauli yako uliyotoa!
Yaani kwa majibu yako ni kama mtu alikuwa kwenye tukio.
We mpira ukipigiwa mpasie huyohuyo aliye kupigia hakuna mtu atakulaumu.
 
Last edited by a moderator:


In an administration riddled by lies, scandal and massive cover-ups, is this the biggest lie ever told to the American people.
 
Jibu swali ndiyo maana ya mijadala kisha na mimi takuja na mashiko yangu.

Osama alizikwa bahari ipi na sehemu gani hayo yote uliyoyasema hayana uhusiano na ninachouliza.

Nipe jibu kisha tupanue mjadala.
inasemekana Osama alizikwa baharini na hata wavuvi hakuna aliyeona hilo tukio...

sasa unaponiuliza sehemu gani nashindwa kukujibu...

labda wewe unaweza kujua ni sehemu gani alizikwa yamkini unaweza kutupa maelezo wewe unafahamu kwani ni bahari sehemu gani?

kwasababu kuna story zilitoka tofauti na hiyo mimi naziita ni za uongo zinasema eti Osama alikufa muda mrefu wala sio kwa ile operation eti ni kwa ugonjwa...

Sasa swali linakuja mbona baada ya ile mission Al Zawahir ikatangazwa kuchukua nafasi ya Osama?

toa darsa kama unaujua ukweli zaidi...

CC: kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…