🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwamba tapeli kakutana na tapeli mwenzakeKuna tatizo gani tapeli akimtapeli tapeli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwamba tapeli kakutana na tapeli mwenzakeKuna tatizo gani tapeli akimtapeli tapeli?
Walimkamata kwa kosa lipi? huyo dalali amesajiliwa kufanya hyo kazi ya udalali? ana ofisi ya kufanyia hyo kazi ya udalali?Anakupeleka polisi na utailipa polis, kuna rafik yang mmoja alimzunguka dalali alivojua akaenda polis jamaa yang akakamatwa akaambiwa alipe hela ya udalal na ya polis
Huyo umemkuta dalal mpole, ungekutana na mtata mbona ungeenda kuitoa polisi, yeye atasema yeye ndio kakuleta hapo means bila yeye usingepajua hapo, napolis wakuda utaitoa tu helabatmanwafez,
Nilishawahi fanya hivyo maan hela ya kumpa sikuwa nayo.....hata kama akijua mimi nachojua yeye anakuwa na makubaliano na mwenye nyumba, kwa hiyo kama akiambiwa na mwenye nyumba kuwa hakuna chumba kesi imeisha hapo, so mimi navyohisi hawezi kukusumbua kwa lolote maan mkataba ni wako na mwenye nyumba
Kama kuna polisi anayafanya haya, basi hatuna polisi kabisa.Huyo umemkuta dalal mpole, ungekutana na mtata mbona ungeenda kuitoa polisi, yeye atasema yeye ndio kakuleta hapo means bila yeye usingepajua hapo, napolis wakuda utaitoa tu hela
We ni Dalali ama UZURI KUWAPA HELA YA ASANTE HAINAGA SHIDA NA HUWA WANAPOKEA WATU WAMGU SANA WALE NAFANYA ISHU YA MAMILIONI KIWANJA UNAMPOOZA TUShida walio wengi wamekaa kumponda dalali wanasahau mada kuu ya mjadala.
Swali ni je ni sawa kumzunguuka dalali???
na vipi kuna utaratibu wowote kisheria endapo ukinaunguuka dalali???
Achaneni na maswala ya kuita mara tapeli mara nini
Mkuu ifike wakati sasa, Kila mtu mzima mwenye akili timamu ana uwezo na utashi wa kuamua kutumia huduma au kuacha. Hii inahusika pia na kwenye huduma ya udalalali wasiosajiliwa. Kwa Sheria zilizopo zinatosha kabisa kushughulika na madalali wa aina hii.batmanwafez,
Nilishawahi fanya hivyo maan hela ya kumpa sikuwa nayo.....hata kama akijua mimi nachojua yeye anakuwa na makubaliano na mwenye nyumba, kwa hiyo kama akiambiwa na mwenye nyumba kuwa hakuna chumba kesi imeisha hapo, so mimi navyohisi hawezi kukusumbua kwa lolote maan mkataba ni wako na mwenye nyumba
Hawa ndio wale madalali wa 10%We ni Dalali ama UZURI KUWAPA HELA YA ASANTE HAINAGA SHIDA NA HUWA WANAPOKEA WATU WAMGU SANA WALE NAFANYA ISHU YA MAMILIONI KIWANJA UNAMPOOZA TU
Kuna jamaa alioneshwa nyumba na dalali hakuipenda baada ya mwezi, mimi nikawa nimehamia kwenye ile nyumba upande mmoja, upande uliobakia nikamwambia yule jamaa yangu aje apacheki, kuja kumbe ni pale pale.Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada.
1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei.
Sasa kuepuka kumlipa ile 10%
Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali.
Je, hiyo ni sawa?
2. Unatafuta chumba cha kupanga ukampata dalali ana chumba kizuri tu na ukakipenda. Bwana dalali akakupeleka kukiona hicho chumba ila mteja ukadai hujakipenda, ukampa elfu 10 yake ya kukuzungusha.
Baada ya muda ukarudi ukaongea na mwenye nyumba direct ukamlipa kodi yake. Hapa ukawa umeruka kumpa dalali kodi ya mwezi mmoja.
Swali kwa wadau (dalali na wateja)
1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?
2. Je, huyu dalali akigundua kuwa umemzunguka atakufanya nini, kuna sheria au taratibu zozote?
Wadau (dalali na mteja) waliowahi kufanya hivi.
Share na sisi tafadhilini.
Nigekuwa ni mimi nisingemlipa na ningemwambia akanishitaki Mahakamani, nyie ndio mnawapa vibuli hao wahuni.Kuna jamaa alioneshwa nyumba na dalali hakuipenda baada ya mwezi, mimi nikawa nimehamia kwenye ile nyumba upande mmoja, upande uliobakia nikamwambia yule jamaa yangu aje apacheki, kuja kumbe ni pale pale.
Akaona isiwe issue, akalipa direct kwa mwenye nyumba.
Yule dalali si akajua, dah ilikuwa shida yan asubuhi na mapema anajihimu pale home kudai chake. Alifululiza kama wiki jamaa akaona bora amlipe tu kuondoa bugudha.
Fanya hivyo ila usiombe ukakutana na madalali wakorofi!
Na nyie madalali muache tabia ya kusifia nyumba/gari wakati hata hujaliona.Hiyo imetokea juzi dalali mwenzangu ameonyeshwa nyumba na dalali mwengine dalali mm nikipata mteja hapa JF nikampgie yule dalali mwenzangu ambaye nafanya naye kazi tukauza nyumba tunagawana mtu bee.
Mteja alivyolipia nyumba akunitafuta tena kunijulisha kwamba amefanikisha maana mm nikipata mteja nampgia agent (jamaangu) anaenda kuuza nyumba harafu usiku tunakutana bar kufanya mgawo kifupi tunaaminiana sana.
Ss yule dalali wa 3 tuliyemzunguka na aliyemuonyesha mshikaji nyumba akapeleka mteja anakuta Mali ishauzwa akapagawa akaanza msako kwa madalali akupata jibu ikabidi amtaiti amdai mteja ,mteja ikabidi anipigie mm ,hapo ikabidi niende kuongea na madalali wenzangu akiwamo yule tuliyemzunguka,kumbe kihistoria aluwahi kutuzunguka xo kesi ikaishia hapo tukampiga Castle Lite with a bite mbili akatulia ila vinginevyo mteja angelipa hela ya udalali mara mbili.
Hapo umenena...ndo maana Luna wenye nyumba wanafahamu hili,unakuta anamlipa Dalali na bado Dalali anazunguka anachukua na kwako.Na hata hio ya kulipa mwezi mmoja kiutaratibu anatakiwa alipe mwenye nyumba. Amuachie dalali mwezi mmoja katika ile 6!
Ila ujanja unatumika kumtwisha mpangaji gunia la misumari.
Huyo umemkuta dalal mpole, ungekutana na mtata mbona ungeenda kuitoa polisi, yeye atasema yeye ndio kakuleta hapo means bila yeye usingepajua hapo, napolis wakuda utaitoa tu hela
Very simple, imagine wewe ndio dalali, ukifanyiwa hivyo utajisikia powa? If yes, then go on, if not basi tenda wema1. Je, ni sawa mteja kumzunguka kutumia mbinu hizo?
Ndio ushakuwa mkataba boss vifungu unavijua kumbe ss we ndio inatakiwa uwaelimishe watu ,Kama mteja amekutana na dalali au madalali mteja akatoa kazi kwa ahadi ya kulipa kiasi fulani cha pesa hiyo kazi itafanyika hapo mteja anapaswa kulipa.Mkuu tukubaliane jambo moja kwamba, Kwa Maelezo yako hapo juu yanaweza yakawa ni makubaliano tu na sio mkataba. Ili Ijulikane ya kwamba mikataba yote ni makubaliano ila sio makubaliano yote ni mikataba isipokuwa yamekidhi vigezo vya kimkataba. Vigezo hivyo vimewekwa na sharia ya mikataba ya Tanzania kwa jina la The Law of Contract Act, [R.E 2002]. Kwenye kifungu cha 10 cha sheria hiyo kinataja baadhi ya vigezo ambayo ni lazima yawepo kwenye makubaliano fulani ili yaweze kuwa mkataba. Vigezo hivyo ni kama vile lazima kuwe na makubaliano huru baina ya pande zinazohusika katika mkataba. Na makubaliano hayo hayapaswi kufikiwa kwa kushawishiwa na rushwa, kulazimishwa au nguvu.
Kama demu ni wako unaachaje kumsifia kwanza ,na wewe mpaka upelekwe kwenye nyumba na ukalipia na ukaingia thus means umeipenda.Na nyie madalali muache tabia ya kusifia nyumba/gari wakati hata hujaliona.
Inatia aibu sana tukifika eneo la tukio
Hio ndio inatakiwa yani, hawa madalali wanahisigi hela ni nyepesi sana. Yani nikupe laki 2 kwa kunionesha nyumba tu! Na labda usinikutanishe na mwenye nyumba maana nikikutana nae tu umeisha!
Kwenye nyumba/Mali hawakubali kupokea pesa directly kutoka kwa mteja mpaka dalali awepo.
Na wao wanawategemea madalali kuwaletea wateja kabla yako na baada yako.
Kama unahisi madalali wanafanya kazi rahisi yaani spoon feeders kwa nn utafute dalali akusadie ,tafuta nyumba mwenyewe we jamaa wa ajabu kweli kwani umekatazwa kutafuta pambana kama unaona 200k yako ni big ishu hizo akili za kimasikini mwnye hela hata awazi ,ndio maana binafsi siku hizi mtu akinipigia sim anataka nyumba ya kupanga nikiona anaanza kulia Lia mara ooh 20k au 50k ya service charge sina Nina dusiko namjibu jeuri namuuliza boss unataka nyumba ya 100M harafu hauna 50k ya maji twende site are you serious naachana naye au nampgia dalali mwnzng mmoja njaa njaaa sana namwambia Kuna mteja kimeo njoo upige naye kazi.