jela mpaka leo watu wanakazwahii ishu kuna mtu alishawahi kusema si kweli kabda uende ukiwa na tabia hzo na akasema kuwa ukifumwa askari mahereza huwa hawatanii
Nenda ukajifunze nawwJela za Africa tu za nje hakunaga hayo maujinga jela ni sehemu ya kutumikia kifungo na kujifunza
Eti enhh ushawah kuingia jela.?Jamaa umetia chumvi mno
Sasa mbona unafangika sana na jeshi la magereza lipo haki za binaadam wapo nini wanafanya.?Hatupaswi kuongea masuala kama haya Kwa muktadha wa kusifiaa.
MATENDO HAYO NI LAZIMA YAPIGWE VITA, NA JESHI LA MAGEREZA NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI, VINAWAJIBIKA KUHAKIKISHA KWAMBA,UHUNI KAMA HUU HAUFANYIKI.
Mkuu umefungwa lini na wapi!?? Ulichokisema umejaza snaa CHUMVI mkuu nani yaan hadi uvuliwe nguo Gerezaa wapi hadi wanakuvua boksa upo tu!?? Wanakusachi yaan upite wasikupekuwe askari sasa wanaenda kusachi nini hao mahabusu au wafungwa!??jela mpaka leo watu wanakazwa
kikubwa njaa inawaponza wengi
fikiria mlo mmoja siku nzima tena tonge tu ,halafu unaona kuna wanaokula milo mitatu ndicho kinachowaponza wengi.
tabia ya pili wale mahabusu kukusachi ukiingia ndani wanakuvua kila kitu labda kuwe na mjela jela maarufu anakujua
Eheeee nmeshtuka watu mna maneno Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MWANAMKE NI JELA TOSHA
Gereza gani mkuu watu wahuni kiasi hicho na Uongozi na Askari wapo tu!??Sasa mbona unafangika sana na jeshi la magereza lipo haki za binaadam wapo nini wanafanya.?
Umeyajuaje hayo ya dogoAsikuongopee mtu jela/mahabusu mpaka leo watu wanabanduliwa
ukiwa mnyonge fastaa wanakufanya demu wao. na akishaanza mmoja wanaambizana msururu watakugombania sana kila mmoja atataka kuchovya
jela/mahabusu unavuliwa ubingwa pale tu unapoingia ,vijana watakuvamia kukusachi kama una chochote kitu wakupore ,watakusachi kila kona wakikosa watakuvua hata boksa wavae wao wakikuona bado mnyonge mnyonge wanakupelekea moto.
jela usiwe na tamaa na vitu vya watu
chakula jela ni mara moja tu kwa siku na tonge moja tu ukipenda vyakula vya watu wanakukaribisha ila usiku jiandae kuliwa utaliwa utaliwa tena utaliwa tena na tena
kuna dogo alikuwa anajifanya muhuni sana mtaani kapelekwa jela wamemla sana mpaka kahamishwa selo maana nyuma papo wazi sana .
Epuka kupelekwa jela epuka makosa ya kijinga jinga kupeleka jela jela hakufai
Labda jela za huko kwenu DRC....Asikuongopee mtu jela/mahabusu mpaka leo watu wanabanduliwa
ukiwa mnyonge fastaa wanakufanya demu wao. na akishaanza mmoja wanaambizana msururu watakugombania sana kila mmoja atataka kuchovya
jela/mahabusu unavuliwa ubingwa pale tu unapoingia ,vijana watakuvamia kukusachi kama una chochote kitu wakupore ,watakusachi kila kona wakikosa watakuvua hata boksa wavae wao wakikuona bado mnyonge mnyonge wanakupelekea moto.
jela usiwe na tamaa na vitu vya watu
chakula jela ni mara moja tu kwa siku na tonge moja tu ukipenda vyakula vya watu wanakukaribisha ila usiku jiandae kuliwa utaliwa utaliwa tena utaliwa tena na tena
kuna dogo alikuwa anajifanya muhuni sana mtaani kapelekwa jela wamemla sana mpaka kahamishwa selo maana nyuma papo wazi sana .
Epuka kupelekwa jela epuka makosa ya kijinga jinga kupeleka jela jela hakufai
Gereza kalila mkoa kataviGereza gani mkuu watu wahuni kiasi hicho na Uongozi na Askari wapo tu!??
Acha uongo!... fikiria mlo mmoja siku nzima tena tonge tu ,halafu unaona kuna wanaokula milo mitatu ndicho kinachowaponza wengi.
Ndio umetoka?pole kwa yaliyokukuta,ungekausha tuAsikuongopee mtu jela/mahabusu mpaka leo watu wanabanduliwa
ukiwa mnyonge fastaa wanakufanya demu wao. na akishaanza mmoja wanaambizana msururu watakugombania sana kila mmoja atataka kuchovya
jela/mahabusu unavuliwa ubingwa pale tu unapoingia ,vijana watakuvamia kukusachi kama una chochote kitu wakupore ,watakusachi kila kona wakikosa watakuvua hata boksa wavae wao wakikuona bado mnyonge mnyonge wanakupelekea moto.
jela usiwe na tamaa na vitu vya watu
chakula jela ni mara moja tu kwa siku na tonge moja tu ukipenda vyakula vya watu wanakukaribisha ila usiku jiandae kuliwa utaliwa utaliwa tena utaliwa tena na tena
kuna dogo alikuwa anajifanya muhuni sana mtaani kapelekwa jela wamemla sana mpaka kahamishwa selo maana nyuma papo wazi sana .
Epuka kupelekwa jela epuka makosa ya kijinga jinga kupeleka jela jela hakufai
Pale maaskari wanakuvua tu mkanda na wanakuandikisha vitu ulivyonavyoMkuu umefungwa lini na wapi!?? Ulichokisema umejaza snaa CHUMVI mkuu nani yaan hadi uvuliwe nguo Gerezaa wapi hadi wanakuvua boksa upo tu!?? Wanakusachi yaan upite wasikupekuwe askari sasa wanaenda kusachi nini hao mahabusu au wafungwa!??
Suala la kuliwa ni unatongozwa na sio eti kinguvu yaan jamaa anakuimbisha kama anavyoimbisha Demu ukilegea anakula
Ulichogusia tena ndio nawasisitiza humu Mwanaume usipende kula kula sana na vyabule utafi.rwa kule!!