Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Kuna jamaa yetu kipindi tuko chuo alifanya msala akatiwa hatiani akaswekwa ndani. Jamaa ni nunda tena wale madogo wa chuga. Siku moja tuka jiorganize watu kadhaa tukamtembelee jamaa alikua analia tu kimoyomoyo nikasema huyu keshanyooshwa huko.

Hiyo ilinipa picha halisi namna kule ndani kulivyo. Jela sio poa
 
Natania bhana,mi nakupiga Kwa kukupa dose frequently kuchepuka utake Kwa tamaa tu
Nilikua na binti mmoja mzigua wa Tanga. Alinipa maisha ya namna hii yan hakuna hali yoyote(ugomvi, kukosa hela, kuumwa n.k) itakayofanya akunyime papuchi. Sikuwahi chepuka ila kilichofanya tuachane ni mapungufu mengine tu ya kimakuzi nilishindwa kuvumilia


Jela hakufai we kusikie kwa mtu mwingine uombe yasikukute
 
Back
Top Bottom