Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mapenz yenyewe,then nakukandaIli uwe unanipiga vichwa, viwiko na mangumi? 😅😅😅
Tushukuru Sana,wengi walioko huko ni wanaume nafikiri pia kesi nyingi chanzo ni mwanamkepoleni mlioenda jela
Mapenzi ya hivyo utaenda jela madam. Ni unyanyasaji wa kimwili 😅😅Ndo mapenz yenyewe,then nakukanda
Pole mkuuTushukuru Sana,wengi walioko huko ni wanaume nafikiri pia kesi nyingi chanzo ni mwanamke
Asante mkuuPole mkuu
Daaaaah pole zake ila sidhani km ni kweli coz hata km celo kumejaa,wakati wa kulala Askari celo anawapanga kichwa juu mwingine chini!!Kuna jamaa aliwekwa mahabusu na alisema wazi ukisinzia tuu unakuta umeloa
Hayo ndio maneno. Mwanamke anapigwa na upande wa khanga, mwanaume anapigwa na papuchi 😅😅😅Natania bhana,mi nakupiga Kwa kukupa dose frequently kuchepuka utake Kwa tamaa tu
Mateso watu wako unyonge kule hawajui wala watatoka liniHuzuni
Yeah, that's itHayo ndio maneno. Mwanamke anapigwa na upande wa khanga, mwanaume anapigwa na papuchi 😅😅😅
Ukitoka unasahau ahadi yakoChangamoto pia ni chawa na kunguni watakuchekecha mpk uhatahaidi "Mungu nisaidie nitoke huku nitaokoka"😇😇😇😇
Na ukitoka huokoki!? Binadam mungu katuumbia kusahau sanaChangamoto pia ni chawa na kunguni watakuchekecha mpk uhatahaidi "Mungu nisaidie nitoke huku nitaokoka"😇😇😇😇
Nilikua na binti mmoja mzigua wa Tanga. Alinipa maisha ya namna hii yan hakuna hali yoyote(ugomvi, kukosa hela, kuumwa n.k) itakayofanya akunyime papuchi. Sikuwahi chepuka ila kilichofanya tuachane ni mapungufu mengine tu ya kimakuzi nilishindwa kuvumiliaNatania bhana,mi nakupiga Kwa kukupa dose frequently kuchepuka utake Kwa tamaa tu