Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
- Thread starter
- #81
Cjajua pia sikukaa huko muda mrefuNa hii ni dunia nzima watu wanalawitiana jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cjajua pia sikukaa huko muda mrefuNa hii ni dunia nzima watu wanalawitiana jela
Hahahahah kama jela shule mpeleke mwanao 🤣Yule jamaa kwa rika yetu alikua nunda kweli kweli ila alipoenda kule nadhani alinyooshwa
Siku hizi jela na mahabusu nyingi zina TV hivyo wanajua uhalisia wa nje ulivyo, tofauti na zamaniYeye aliimba kutokana na mazingira aliyoyakuta ni tofauti na alivoyaacha. Imagine unakaa kifungoni miaka 10+ huyu mtu wakati anaingia kifungoni hakuacha flat Tv, Smartphone, hata mwendokasi hazikuwepo hapo hatujaongelea mabadiliko ya bei na upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Yan anakutana na maisha tofauti kabisa mtu anatamani arudi jela tu
Kuna mtu hapo kasema kuwa wafungwa hugegeda House HelpsHapana mkuu wala sijawahi gegeda mwanamke kinyume
Ni kweli ila yule tabia za uswahili swahili na mapungufu ya kimakuzi ndio yalinishinda kabisa. Yeye alikua anafanya kazi halafu mi nilikua chuo kipindi icho na alikua amenikata zaidi ya miaka 5 kwa iyo alinitaka kuniweka mfukoni mwake kama simu yake. Mi nilishindwaWazigua wanatamaa tamaa sana
Kumbe ulikuwa jumbo packNi kweli ila yule tabia za uswahili swahili na mapungufu ya kimakuzi ndio yalinishinda kabisa. Yeye alikua anafanya kazi halafu mi nilikua chuo kipindi icho na alikua amenikata zaidi ya miaka 5 kwa iyo alinitaka kuniweka mfukoni mwake kama simu yake. Mi nilishindwa
Mfano wake?Kuna jela za kiroho, hizo hutesa zaidi kuliko jela za serikali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ndio uchungu wa jela huoWale jamaa nyapara na askari celo watakutega ukosee utaratibu wakupasue kukupimia kiburi chako pamoja na kukutoa wenge ujue haupo sebleni kwako ukila kwa Uma😂
PIA USIMDHAMINI MTU KIRAHISI HATA AKIWA NDUGU YAKO, NILIMDHAMIMI KESI YA ALIKATIA KATOTO THEN MSHTAKIWA AKALALA MBELE MI MWISHOE NDANI! KUJICHOMOA NI KUUZA KAKIWANJA KANGU KA MKOPO 😂😂😂😂
Mie mambo ya polisi huwa sitakagi ishu nayo kabisa. Kwenda kituoni tu huwaga naona shida.PIA USIMDHAMINI MTU KIRAHISI HATA AKIWA NDUGU YAKO, NILIMDHAMIMI KESI YA ALIKATIA KATOTO THEN MSHTAKIWA AKALALA MBELE MI MWISHOE NDANI! KUJICHOMOA NI KUUZA KAKIWANJA KANGU KA MKOPO 😂😂😂😂
Hahahahah ni noma yaniYeye aliimba kutokana na mazingira aliyoyakuta ni tofauti na alivoyaacha. Imagine unakaa kifungoni miaka 10+ huyu mtu wakati anaingia kifungoni hakuacha flat Tv, Smartphone, hata mwendokasi hazikuwepo hapo hatujaongelea mabadiliko ya bei na upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Yan anakutana na maisha tofauti kabisa mtu anatamani arudi jela tu
Yep ndo ukweli wenyewe huoNina rafiki yangu aliwahi kuwa Mkuu wa gereza Butimba Mwanza a.k.a huwa ananisimulia hayo uliyayasema.
Usikanyage huko mkuu, tena hizi ishu za kumshtaki mtu polisi na kumweka lockup ni mbaya sana!!Mie mambo ya polisi huwa sitakagi ishu nayo kabisa. Kwenda kituoni tu huwaga naona shida.
Kuna watu huwa wanalazimisha kuwekwa huko hasa hawa tunaowadai na hela hawataki kuzilipa. Akilazwa huko siku mbili tu ya tatu hela analipa zoteUsikanyage huko mkuu, tena hizi ishu za kumshtaki mtu polisi na kumweka lockup ni mbaya sana!!
Kweli mkuu unaweza tembea road ukamgusa mtu na magonjwa yake chini kafa!! Lazma utaenda!!Kuna watu huwa wanadhani Jela ni mahala pa watu waovu tu,hawajui kuwa either uwe muovu au usiwe muovu,use na cheo au usiwe na cheo una probability ya kwenda jela haijalishi utasakiziwa au kwa kutenda.
Ogopa jela kama ukoma.