Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Yeye aliimba kutokana na mazingira aliyoyakuta ni tofauti na alivoyaacha. Imagine unakaa kifungoni miaka 10+ huyu mtu wakati anaingia kifungoni hakuacha flat Tv, Smartphone, hata mwendokasi hazikuwepo hapo hatujaongelea mabadiliko ya bei na upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Yan anakutana na maisha tofauti kabisa mtu anatamani arudi jela tu
Siku hizi jela na mahabusu nyingi zina TV hivyo wanajua uhalisia wa nje ulivyo, tofauti na zamani
 
Wazigua wanatamaa tamaa sana
Ni kweli ila yule tabia za uswahili swahili na mapungufu ya kimakuzi ndio yalinishinda kabisa. Yeye alikua anafanya kazi halafu mi nilikua chuo kipindi icho na alikua amenikata zaidi ya miaka 5 kwa iyo alinitaka kuniweka mfukoni mwake kama simu yake. Mi nilishindwa
 
Ni kweli ila yule tabia za uswahili swahili na mapungufu ya kimakuzi ndio yalinishinda kabisa. Yeye alikua anafanya kazi halafu mi nilikua chuo kipindi icho na alikua amenikata zaidi ya miaka 5 kwa iyo alinitaka kuniweka mfukoni mwake kama simu yake. Mi nilishindwa
Kumbe ulikuwa jumbo pack
 
Yeye aliimba kutokana na mazingira aliyoyakuta ni tofauti na alivoyaacha. Imagine unakaa kifungoni miaka 10+ huyu mtu wakati anaingia kifungoni hakuacha flat Tv, Smartphone, hata mwendokasi hazikuwepo hapo hatujaongelea mabadiliko ya bei na upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Yan anakutana na maisha tofauti kabisa mtu anatamani arudi jela tu
Hahahahah ni noma yani
 
Kuna watu huwa wanadhani Jela ni mahala pa watu waovu tu,hawajui kuwa either uwe muovu au usiwe muovu,use na cheo au usiwe na cheo una probability ya kwenda jela haijalishi utasakiziwa au kwa kutenda.
Ogopa jela kama ukoma.
Kweli mkuu unaweza tembea road ukamgusa mtu na magonjwa yake chini kafa!! Lazma utaenda!!
Au umetupiana maneno na jirani kwa hasira ukamwambia nitakuua Mara asubuhi kafa
 
Back
Top Bottom