Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 We sema kweli🤣🤣🤣Alitaka kuniacha,piga vichwa viwili vya pua akaghairi🤨
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 We sema kweli🤣🤣🤣Alitaka kuniacha,piga vichwa viwili vya pua akaghairi🤨
Kule noma utukutu hakuna, ukijifanya chizi watakupa marungu uchizi utatoka tu😂😂Kuna jamaa yetu kipindi tuko chuo alifanya msala akatiwa hatiani akaswekwa ndani. Jamaa ni nunda tena wale madogo wa chuga. Siku moja tuka jiorganize watu kadhaa tukamtembelee jamaa alikua analia tu kimoyomoyo nikasema huyu keshanyooshwa huko.
Hiyo ilinipa picha halisi namna kule ndani kulivyo. Jela sio poa
Onhoo! 💪🤣🤣🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 We sema kweli
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jela haina baunsa. Ukiingizwa mle lazma utepete yani.Kuna jamaa yetu kipindi tuko chuo alifanya msala akatiwa hatiani akaswekwa ndani. Jamaa ni nunda tena wale madogo wa chuga. Siku moja tuka jiorganize watu kadhaa tukamtembelee jamaa alikua analia tu kimoyomoyo nikasema huyu keshanyooshwa huko.
Hiyo ilinipa picha halisi namna kule ndani kulivyo. Jela sio poa
Daaah hiyo kweli labda ajali 😂😂Kuna jamaa msukuma alienda jela na alikuwa jitu la Miraba aliporudi kitaa akawa anagawa tigo,au hiyo nayo ni ajali
Wazigua wanatamaa tamaa sanaNilikua na binti mmoja mzigua wa Tanga. Alinipa maisha ya namna hii yan hakuna hali yoyote(ugomvi, kukosa hela, kuumwa n.k) itakayofanya akunyime papuchi. Sikuwahi chepuka ila kilichofanya tuachane ni mapungufu mengine tu ya kimakuzi nilishindwa kuvumilia
Jela hakufai we kusikie kwa mtu mwingine uombe yasikukute
Asante 😊😊😊Yeah, that's it
Yeye aliimba kutokana na mazingira aliyoyakuta ni tofauti na alivoyaacha. Imagine unakaa kifungoni miaka 10+ huyu mtu wakati anaingia kifungoni hakuacha flat Tv, Smartphone, hata mwendokasi hazikuwepo hapo hatujaongelea mabadiliko ya bei na upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Yan anakutana na maisha tofauti kabisa mtu anatamani arudi jela tuMbona hussein machozi aliimba bora arudi jela baada ya kuona maisha magumu mtaani?
Siku unaingia lazima wakupasue wakutoe wenge kwanza!!. Kiburi,ubishi vitakuponza🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jela haina baunsa. Ukiingizwa mle lazma utepete yani.
Inatakiwa ukiingia uwe mpole tu🤣 au nayo still watakufumua?Siku unaingia lazima wakupasue wakutoe wenge kwanza!!. Kiburi,ubishi vitakuponza
Yeye aliimba kutokana na mazingira aliyoyakuta ni tofauti na alivoyaacha. Imagine unakaa kifungoni miaka 10+ huyu mtu wakati anaingia kifungoni hakuacha flat Tv, Smartphone, hata mwendokasi hazikuwepo hapo hatujaongelea mabadiliko ya bei na upatikanaji wa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Yan anakutana na maisha tofauti kabisa mtu anatamani arudi jela tu
Wewe umewahi gegedwa na wafungwa?Kuna magereza unakuta wafungwa wanazurura tu freely na uniform zao kwenye viunga vya gereza mara wanakata majani etc.
Hawa hugegeda mabeki tatu wa "kotas".
Wale jamaa nyapara na askari celo watakutega ukosee utaratibu wakupasue kukupimia kiburi chako pamoja na kukutoa wenge ujue haupo sebleni kwako ukila kwa Uma😂Inatakiwa ukiingia uwe mpole tu🤣 au nayo still watakufumua?
Wiki tu inamtosha,akikaangwa kule anapiga magoti yeye badala kupiga mtuTutakuweka mahabusu hata mwezi tu ukitoka akili zitakukaa sawa
Hapana mkuu wala sijawahi gegeda mwanamke kinyumeWewe umewahi gegedwa na wafungwa?
Tatizo movie zinakuharibuHivi jela zetu sijui kwa nini hakuna huduma ya kuruhusu manzi wako aje mnapewa chumba maalumu unamgegeda mkimaliza anaondoka unaendelea na kifungo chako
Yule jamaa kwa rika yetu alikua nunda kweli kweli ila alipoenda kule nadhani alinyooshwaKule noma utukutu hakuna, ukijifanya chizi watakupa marungu uchizi utatoka tu[emoji23][emoji23]
Kule wiki utaona ni miakaWiki tu inamtosha,akikaangwa kule anapiga magoti yeye badala kupiga mtu
Jamaa alitepeta. Alipotoka akawa anatusimulia na anatuonya tuwe makini tusijiingize kwenye mazingira yatakayotufanya tufikishwe kule[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Jela haina baunsa. Ukiingizwa mle lazma utepete yani.