Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna demu wangu aliwahi kulazwa External pale alijifanya kichwa ngumu wakati anataka kuingia Mabibo hostel sijui aliwatukana walinzi 😀😀😀!Jela sio mchezo ndugu zangu. Nilimweka dogo mmoja Rumande tuu siku tatu nilipokwenda kumuona nikafuta kesi. Hapo ni Rumande tuu 😁
Ila kule noma bora ulipe mali ya mtu kablaKuna watu huwa wanalazimisha kuwekwa huko hasa hawa tunaowadai na hela hawataki kuzilipa. Akilazwa huko siku mbili tu ya tatu hela analipa zote
Kule ndugu yangu hakuna Plan sijui useme unaenda vingunguti ukafika.Kuna watu huwa wanadhani Jela ni mahala pa watu waovu tu,hawajui kuwa either uwe muovu au usiwe muovu,use na cheo au usiwe na cheo una probability ya kwenda jela haijalishi utasakiziwa au kwa kutenda.
Ogopa jela kama ukoma.
Mtu yeyote wakati wowote ndaniJela haina mwenyewe.
Wengine si wanajifanyaga viburi yani.Ila kule noma bora ulipe mali ya mtu kabla
Jela za kibongo ni zaidi ya jehanamuUkiweza ishi jela bongo huwezi shindwa ishi jehanamu
Kuna maeneo matatu Hospitali, Mahakamani na Jela. Muda wowote tuu unaweza jikuta upo kwa pilato afu wanakusweka ndichi😁Mtu yeyote wakati wowote ndani
Kule hakuna mjanja lockup tu kasheshe unaweza kuta mmejazwa kachumba kamoja hakuna hewa, ndoo ya mkojo humohumo,ulipokaa hakuna nafasi ya kusogea hata nuktaKuna demu wangu aliwahi kulazwa External pale alijifanya kichwa ngumu wakati anataka kuingia Mabibo hostel sijui aliwatukana walinzi 😀😀😀!
Mpaka kesho hataki kusikia mambo ya kuswekwa ndani.
Hakika Mungu ni mkuu sanaNa wakitoka jela wanaacha kusali. Mtafute Mungu nyakati zote hata zisizo za shida
Ubarikiwe mkuuJela sio mchezo ndugu zangu. Nilimweka dogo mmoja Rumande tuu siku tatu nilipokwenda kumuona nikafuta kesi. Hapo ni Rumande tuu 😁
Ulivyohitimisha inaonekana yaliyosemwa juu ni machache na yameelezwa kiupole ukilinganisha na uhalisia. Funguka mkuu. Wengine ni watarajiwaMaisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule k
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
We hujaotewa ,Jela ni kwa ajili ya watu masikini bongo
Twende zetu mkuu, alafu ujue kile ni chuo japo hawakupi cheti ukihitimu🤭Afu jela tutakwenda wote....maana mi bila kupigwa sioni kama nimeelewa hapo😉
Hawana pesa za kununua UHURU wao.Ukimuona tajiri jela kalichokoza kajiingiza 18 za wenyewe au anakomolewa.We hujaotewa ,
mume wa Kajala mpk leo sijui kaishia wapi, na yule wa Wema?
Mramba aliyesema tule majani ndege inunuliwe jiwe kacheza nae kadance kule mpk kakubali kufagia muhimbili.
Kuna yule mwamba wa kaskazini TRA Enzi zake humgusi sijui wamemalizana nae au vp.