Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kuna siku nilimkuta pale Palestine hosp anafagia mzee Mramba kwakweli niliishiwa pozi,binafsi nikiona mambo ya polisi lazima tumbo liungulume na nguvu kuisha ila nashukuru Mungu hadi hapa Vimeo vyangu God anavimaliza kibabeWe hujaotewa ,
mume wa Kajala mpk leo sijui kaishia wapi, na yule wa Wema?
Mramba aliyesema tule majani ndege inunuliwe jiwe kacheza nae kadance kule mpk kakubali kufagia muhimbili.
Kuna yule mwamba wa kaskazini TRA Enzi zake humgusi sijui wamemalizana nae au vp.
🤣🤣🤣🤸🤸🤐Twende zetu mkuu, alafu ujue kile ni chuo japo hawakupi cheti ukihitimu
Ona hii nyanya 😂Kuna jela za kiroho, hizo hutesa zaidi kuliko jela za serikali
Polisi/mahakama si sehemu poa zakupelekana... pakimbie snaDah kuna siku nilimkuta pale Palestine hosp anafagia mzee Mramba kwakweli niliishiwa pozi,binafsi nikiona mambo ya polisi lazima tumbo liungulume na nguvu kuisha ila nashukuru Mungu hadi hapa Vimeo vyangu God anavimaliza kibabe
Kule hata machizi yameenyokaa hakuna mbabe abadani nakuhakikishia hutamvimbia yeyote kunyooka ni lazma!! 😂😂😂Kuna jamaa baada ya kutoka jela alisema ikitokea amefanya kosa tena la kupelekwa huko, atakimbia hata kaa kusubiri yatakayojiri,watamkamata hata ameshafika uganda ila sio kusubiri
Huyu dogo alikaa huko mwezi mmoja tu
Akijibu nitag mkuu.Mfano wake?
Kiuhalisia binadamu hawezi kufa kwa kula mlo mmoja kwa siku. Na wala hawezi shindwa kufanya kazi kwa sababu ya kula mlo mmoja kwa siku.Ulikaa kule muda gani bro.
Kule hakuna supper. Sasa inakuwaje na kazi ngumu?
Aisee [emoji848]Jela ni kwa ajili ya watu masikini bongo
Duh kuna nn mkuu uko?nimekwenda mahabusu several times , kiufupi hakufai ni kuomba sana MUNGU yasikukute
Hakika mkuu anaetamba haogopi huyo hajawahi kwendanimekwenda mahabusu several times , kiufupi hakufai ni kuomba sana MUNGU yasikukute
Mkuu maliza taratibu ukae salamaDah kuna siku nilimkuta pale Palestine hosp anafagia mzee Mramba kwakweli niliishiwa pozi,binafsi nikiona mambo ya polisi lazima tumbo liungulume na nguvu kuisha ila nashukuru Mungu hadi hapa Vimeo vyangu God anavimaliza kibabe
Kweli mkuu unaweza sekwa lupango kwa faida ya wengine.Niwape kisa kimoja.
Ndugu yangu Mmoja ni Moja ya wale makomandooo walopewa kesi ya uhaini mwaka 2013 na kufungwa jela mwaka 2015.
Ni wale walofugwa wakati wa uchaguzi kile kipindi Mwamnyange kapigwa tukio nahivo kusafirishwa nje .
Walikua Vijana zaidi ya 30.
Jamaa waliachiwa huru Kwa Msamaha wa Rais mwaka 2017 .
Namnukuu "Mdogo wangu Jela ni jela, Mimi nilioitia mafunzo mengi sanaaa ,ni sugu sana, lakini usije kuthubutu kufanya kosa ukaletwa jela hata Kwa mwezi mmoja ".
by the way, Walifukuzwa Kwa uonevu, na hawakuonewa stahiki zao.
najua hata hapa nimeandika wahusika walisoma, wataanza Ohooooo Tupe ushahidi.
ushahidi wa Nyokooo kwani hamjui?? Mmefanya Vijana wa watu wamekua majambazi, wengine wamekimbilia kupigana Urusi .
Kwa sababu ya kuwanyima stahiki zao Kwa kesi za uhuni kabisa
Inspector Babu!Jela jela siyo mchezo watu wanapata mateso kulala kwa marungu ,kula kwa mijeredi ,chechela sege dansi nondo gereza inside ndichi ngombe lupango kunapoteketeza.
Yeyote kumfika hukumu inaweza au mkono wa sheria kidogo kuteleza, wanaokwenda jela siyo wote wana hatia wengine wanakwenda kwa kesi za kusingiziwa....."Hallow afande gewe ebu libambike kesi ya mauaji tupate kidogo kaulaji".