Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Hivi jela zetu sijui kwa nini hakuna huduma ya kuruhusu manzi wako aje mnapewa chumba maalumu unamgegeda mkimaliza anaondoka unaendelea na kifungo chako
Kule kuna vyumba spesho kwenda kukubinya mapumbu,kuponda visigino kwa rungu kama la bezbol, kukuwekea nyaya za umeme kene mti na kuchoneka sindano chini ya kucha.
 
Maisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
  • Kupigwa na wababe
  • Kunyang'anywa chakula
  • Kuteswa
  • Kubakwa n.k ni hapana
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
  • Television ipo
  • Draft/bao lipo
  • Mpira wa miguu upo
"Kwaya kwa waimbaji n.k

Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.

Changamoto kubwa ni kisaikolojia
  • Kukosa uhuru
  • Kutoona familia/marafiki
  • Papuchi hakuna
  • Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supper[emoji23]
  • Asubuhi uji bila sugar mwaka
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sana[emoji23][emoji23]

Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.

Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake

MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Alieyeenda jela anieleze vizuri
 
Maisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
  • Kupigwa na wababe
  • Kunyang'anywa chakula
  • Kuteswa
  • Kubakwa n.k ni hapana
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
  • Television ipo
  • Draft/bao lipo
  • Mpira wa miguu upo
"Kwaya kwa waimbaji n.k

Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.

Changamoto kubwa ni kisaikolojia
  • Kukosa uhuru
  • Kutoona familia/marafiki
  • Papuchi hakuna
  • Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supper😂
  • Asubuhi uji bila sugar mwaka
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sana😂😂

Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.

Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa 😂😂😂😂😂

NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake

MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Yote uliyosema ni sahihi.Kule ukiwa unafata taratibu huna tatizo kwa wafungwa wenzako wala askari.Ukijifanya umerukwa na akili hujali yatakukuta,et unamsikia mtu mtaani anasema mi mgumu nakujichosha kupiga pushup kwenye sakafu!!.Niwambiye tu wagumu wapo kule kama nakoz basi nundu kama ya ng'ombe si we boya mtaani huku.
 
Maisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
  • Kupigwa na wababe
  • Kunyang'anywa chakula
  • Kuteswa
  • Kubakwa n.k ni hapana
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
  • Television ipo
  • Draft/bao lipo
  • Mpira wa miguu upo
"Kwaya kwa waimbaji n.k

Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.

Changamoto kubwa ni kisaikolojia
  • Kukosa uhuru
  • Kutoona familia/marafiki
  • Papuchi hakuna
  • Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supper😂
  • Asubuhi uji bila sugar mwaka
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sana😂😂

Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.

Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa 😂😂😂😂😂

NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake

MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Yote uliyosema ni sahihi.Kule ukiwa unafata taratibu huna tatizo kwa wafungwa wenzako wala askari.Ukijifanya umerukwa na akili hujali yatakukuta,et unamsikia mtu mtaani anasema mi mgumu nakujichosha kupiga pushup kwenye sakafu!!.Niwambiye tu wagumu wapo kule kama nakoz basi nundu kama ya ng'ombe si we boya mtaani huku.
 
Na nyie walokole na mambo yenu ya kufikirika,
Unashinda kanisani kila siku,maisha magumu,
Kila siku unaomba Dua tu,harafu unaenda kuomba kazi kwa mchina,asie enda kanisani,ambaye anatumia mbongo yake kutengeneza kampuni,hili wewe unaeshinda unamuomba "Mungu"upate kazi!
Sasa unafikili huyo Mungu akiangalia chini,kati yako wewe na mchina,nani anaonekana wa maana anayeitiisha na kuitawala Dunia!!
Si vema kumtaja Mungu kwenye hoja zisizo na mashiko kama hii yako... mbona mwana wake alisema ITAKUWA VIGUMU KWA MATAJIRI KUINGIA KWENYE UFALME WA MUNGU.,

N.b siutetei umaskini lakini namaanisha Mungu hana ubaguzi. hatoi favour on the basis ya umaskini wala utajiri..
 
Back
Top Bottom