HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ndo maana narudia ulitishiwa, polisi hana uwezo wa kukufunga kwa kutengeneza kesi.Mkuu yule alisema kabisa sikuachii hii kesi yangu, nikikuacha hapa kituoni wengine nikikabidhi shift mtamalizana.
Chagua moja unipe changu nikuruhusu au niandike sammans we wa kufungwa tu ili tukose wote.
Namwambia sina hela hapa.
Anasema nyumbani je?nikazuga sina, huna mtu unamjua ukakope ndo ikawa twende.
Nikampa mambo yakaisha.
Ni njaa tu
Wanaweza endapo serikali itaamua