Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Ulitumia uungwanaJela sio mchezo ndugu zangu. Nilimweka dogo mmoja Rumande tuu siku tatu nilipokwenda kumuona nikafuta kesi. Hapo ni Rumande tuu [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitumia uungwanaJela sio mchezo ndugu zangu. Nilimweka dogo mmoja Rumande tuu siku tatu nilipokwenda kumuona nikafuta kesi. Hapo ni Rumande tuu [emoji16]
Isanga kuna nn?Dah wakinitupa isanga miezi miwili kama miaka kumi
🤣🤣🤣🤣🤸Ukishindwa ntavimbisha nundu zako 2[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani
Isanga gereza liko dodomaIsanga kuna nn?
yaani umesema kweli tena hii inafanya mtu anakuwa kichaa bila kujijuaKuna jela za kiroho, hizo hutesa zaidi kuliko jela za serikali
Hizo Ni Ngum balaa na nzito sana(narudia tena nzito sana) na ndio zinawapeleka wengi jela Za KIMWILI ANAZOZIZUNGUMZIA HUYU.Kuna jela za kiroho, hizo hutesa zaidi kuliko jela za serikali
Utoaji wa zaka, sadaka na sala ya toba kwa dhati vyaweza kukurahisishia njia ikawa nyepesi kufunguliwa ingawa kwa Mungu hakuna tambarare.Kuna jera za kiroho hizo ndio unaweza kuwa chizi mana alie Kufunga humuoni na hujui utatoka lini na kama Ndio Sio Muombaji Ndio Imeisha Hiyo Utamaliza Waganga.
KUTOKA JELA HII YA KIROHO NI RAHISI UKIMUOMBA YESU NA USIOMBE KWA KUBIP HAMNAGA JAMBO JEPESI NDUGU.
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
AMINAHizo Ni Ngum balaa na nzito sana(narudia tena nzito sana) na ndio zinawapeleka wengi jela Za KIMWILI ANAZOZIZUNGUMZIA HUYU.
ULIMWENGU WA ROHO NDIO UNAOENDESHA ULIMWENGU WA MWILI HAMNAGA BAHATI MBAYA.
Unakuta Mtu Yupo Kwenye kifungo cha Magonjwa Yani Mpaka Anakufa yupo hospital Au nyumbani.
Mwengine Kifungo Cha Ukichaa Yani Ni Balaa Tupu mtu mpaka Anakufa ni kichaa tu.
Yesu Atusaidie Aise USIOMBE Uangukie Jela Za Kipepo
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Upo Sahihi Kaka Yesu Atusaidie Aise Maana Jela Za Kipepo Hazina Chakula Yani Unakauka Mzima mzima ndio mana Wengi wanao Pitia Hizi mahabusu unakuta mtu anakonda tu maradhi wengine hayaishi Yani mtu ndio Anakufa mdogo mdogo na Kama Sio wa Maombi Ndio Imeisha HiyoUtoaji wa zaka, sadaka na sala ya toba kwa dhati vyaweza kukurahisishia njia ikawa nyepesi kufunguliwa ingawa kwa Mungu hakuna tambarare.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kuna brother mmoja mtaan kwetu alikua mbishi, mgumu na anaogopwa sana mtaan, aliwahi kumchoma kisu mtu mchana kweupe na hakuna aliyetoa msaada.Maisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
- Kupigwa na wababe
- Kunyang'anywa chakula
- Kuteswa
- Kubakwa n.k ni hapana
"Kwaya kwa waimbaji n.k
- Television ipo
- Draft/bao lipo
- Mpira wa miguu upo
Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.
Changamoto kubwa ni kisaikolojia
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sana[emoji23][emoji23]
- Kukosa uhuru
- Kutoona familia/marafiki
- Papuchi hakuna
- Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supper[emoji23]
- Asubuhi uji bila sugar mwaka
Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.
Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake
MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Yeah nadhani ule wimbo una zaidi ya miaka 10 mpaka sasa kama sijakoseaSiku hizi jela na mahabusu nyingi zina TV hivyo wanajua uhalisia wa nje ulivyo, tofauti na zamani
[emoji23][emoji23][emoji23] acha tu mkuuKumbe ulikuwa jumbo pack