Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
Nakumbuka nilingia mahabusu ijumaa..siku ambayo mahakama inafanya KAZI mwisho saa9..barua za waeka dhamana Wang wawil zote zilikua zimekosewa kdgo..Hakim akasema zikarekebishwe..MDA huo ni saa nane..mpk warud wakakuta nshapelekwa mahabusu teari..nakumbuka siku iyo watuhumiwa wote tulikua wapya Yani tunaingizwa mahabusu mara ya kwanzA baada ya kukosa mdhamana..Yule askar magereza alietupokea siku iyo alikua kalewa kshnz
Anatukana ovyo asa mtuhumiwa mmoja akaulizwa unaitwa nan..akusikia vzur askar bila kupotza MDA alimtoa wenge wa mambata mpk wafungwa na mahabusu wote waligeuka kuangalia nn kimetokea mana lile mbata lilikua kama bomu😁😁..
Kingine kilichoniboa ni Ile biashara ya kuvuliwa nguo zote unabak uchi mnakaguliwa msiingie na vitu vya kuzuru wengne..kingine ni kupimwa Ngoma taka usitake kama unayo unaanzishiwa doz apoapo
Maliwaton Hamna faragha unakata Gogo uku mnaona..nashukuru nlitoka j3 kuanzia siku iyo niliaapa kuwa mtiifu mtaan nisije rud tena mule..kesi yangu ulikua ni Traffic case..
Anatukana ovyo asa mtuhumiwa mmoja akaulizwa unaitwa nan..akusikia vzur askar bila kupotza MDA alimtoa wenge wa mambata mpk wafungwa na mahabusu wote waligeuka kuangalia nn kimetokea mana lile mbata lilikua kama bomu😁😁..
Kingine kilichoniboa ni Ile biashara ya kuvuliwa nguo zote unabak uchi mnakaguliwa msiingie na vitu vya kuzuru wengne..kingine ni kupimwa Ngoma taka usitake kama unayo unaanzishiwa doz apoapo
Maliwaton Hamna faragha unakata Gogo uku mnaona..nashukuru nlitoka j3 kuanzia siku iyo niliaapa kuwa mtiifu mtaan nisije rud tena mule..kesi yangu ulikua ni Traffic case..